Nawashwa kwenye makalio, yametokea kama mashilingi naombeni ushauri

Nawashwa kwenye makalio, yametokea kama mashilingi naombeni ushauri

Kama unatumia choo Cha kukaa Basi umepata maambukiz yanayo sababishwa na bakteria watokanao na mkojo ulio oza
Habari zenu jamani,

Naombeni msaada mimi nawashwa kwenye makalio na nimefanya kama mashilingi ni mwezi wa 6 sasa nipo na hilo tatizo nmetumia dawa kibao za ngozi za kupaka na kunywa lakini hadi leo hamna nafuu naombeni mnisaidie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ugwanjwa ni mateso sana. Nilipata ushauri humu ndani natumia Septrin vidonge kumi nasaga nachanya na mafuta ya kupaka Petroleum Jelly napata mkorogo safi kisha napakaa sehemu husika matokeo mpaka sasa naona ni mazuri ,dose ninayomeza ni Grisactin

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ugwanjwa ni mateso sana
Nilipata ushauri humu ndani natumia Septrin vidonge kumi nasaga nachanya na mafuta ya kupaka Petroleum Jelly napata mkorogo safi kisha napakaa sehemu husika matokeo mpaka sasa naona ni mazuri ,dose ninayomeza ni Grisactin

Sent using Jamii Forums mobile app
Achukue Huu Ushauri Wako Akufanyie Kazi
Unajua Kama Huna Shida Yote Sawa Sawa
LakiniMgonjwa Anaweza Kufanya Lolote Ili Apate Tiba
 
Hiyo inaonekana kama fungus. Jaribu kutumia Clotrimazole cream au Whitfield's ointment. Pia unaweza ukachanganya na ya kumeza kama tatizo lina mda mrefu e.g. oral fluconazole
 
Hiyo inaonekana kama fungus. Jaribu kutumia Clotrimazole cream au Whitfield's ointment. Pia unaweza ukachanganya na ya kumeza kama tatizo lina mda mrefu e.g. oral fluconazole
Siyo inaonekana manake kama ni mashiringi that is typical fungal infection na inaitwa tinea corporis au body ringworm...atumie tu what ulichomshauri apo juu mkuu
 
kutana na specialists wa magonjwa ya ngozi.full stop.vinginevyo utumiaji wa hizi antibiotics unaweza kukuharibia hata figo au ini maana umetumia dawa muda mrefu.
 
kutana na specialists wa magonjwa ya ngozi.full stop.vinginevyo utumiaji wa hizi antibiotics unaweza kukuharibia hata figo au ini maana umetumia dawa muda mrefu.
Vitu vingine ni vipo clear kama ni mashiringi that's fungal brouh na na STG inatoa miongozo kaka lakini kutumia antibiotics itategemea na state ya infection sababu zinaweza kuwa infected na staphylococcus aureus ambaye ni normal flora kwenye outer skin akaleta Shida...na hapo ndo role ya antibiotic inapoingia na siyo kila antibiotic inampiga aureus zipo zinajulikana na unatumia tu kama prophylaxis kuzuia secondary bacterial infection wakati anatumia antifungal regimes basi mambo yanakaa vizuri
 
Naomba unitumie hata picha ya hayo majani ndugu yangu niyatafute au ukijua jina
Mimi pia nilipatwa na challenge ya kutoka vipele makalioni na mapajani ilikuwa vinawasha sana nilikuwa mikono nilikuwa nashinda nimeweka ndani ya suruali kujikuna tu ukivikuna vinatoka maji maji tu.

Nilitumia majani ya mjoholo nilikuwa nachemsha naoga na kunywa kiasi kidogo yalikuwa yalinisaidia baadae yakapona. Ili kupunguza muwasho nilikuwa napaka povu la Sabuni Tetimoso atleast ilikuwa inasaidia kupunguza muwasho.

Ulikuwa mtihani mzito sana
 
Back
Top Bottom