Fatma Abrahman1
Member
- May 11, 2020
- 41
- 42
- Thread starter
- #101
Sio tundunNi sehemu gani katika makalio, sio tunduni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio tundunNi sehemu gani katika makalio, sio tunduni?
Astaghfirullah mungu atanisamehe kwa tako gani nililokuwa nalo hadi niibe hao wanaume za watu dah jamn kwanza kaka angu mimi sina shida ya mume wa mtu kabisa.Ila pia Bi. Fatma ujifikirie juu ya mwenendo wako wa maisha hapo kabla, endapo tako lako ulilitumia kama silaha ya kuiba waume za watu pengine kuna waja wametumia mziziology kukukomesha.
Michezo hio kwa Tanga sio kitu cha ajabu.
NitashukuruPole sana mķuu ilo tatizo nakushauri upambane nalo kwa miti shamba litatoka tu niliwahi kuwa na mdada na ana experience hio situation haswa anapokaa hivo ilimpa tabu sana ila alipambana akapona kwa dawa za miti kama nitampata nitakujulisha aniambie alitumia nini mana sasa ni X
Sawa shukranpaka whitefields ointment inasaidia, kwa muonekano hio fungus ni kama ile ya pumbu erosion.
Nimetumia dawa za fungus lakini sijapata nafuu
Mtajie Ili Eneo Analoishi Kama upo Atumie
Sabuni Nazo HazikusaidiaNimetumia dawa za fungus lakini sijapata nafuu
Mashaallah kama umeishika dini. Mungu atakufanyia wepesi Inshaallah.Astaghfirullah mungu atanisamehe kwa tako gani nililokuwa nalo hadi niibe hao wanaume za watu dah jamn kwanza kaka angu mimi sina shida ya mume wa mtu kabisa.
Na namuogopa huyo mume wa mtu siwezi na Mungu ananiona na mimi nafunga Ramadhan subhanna Allah niibe mume wa mtu jamn
Tumia unipe mrejesho.Sawa shukran
Sina maneno mengi tafuta mgomba unaanza kuchanua kutoa watoto asubuhi chini mgomba utaona vimeanguka okota kadri uwezavyo tafuta chungu au kigae weka jikoni vikaange mpaka visagake vitakua vyeusi chukua unga wako changanya na mafuta ya nazi orijino ila mchanganyiko uwe mzito kidogo paka sehemu ulizo athirika asubuhi na jioni kama usipo pata nafuu kwa siku 7 uje ukanushe hapahapa.Habari zenu jamani,
Naombeni msaada mimi nawashwa kwenye makalio na nimefanya kama mashilingi ni mwezi wa 6 sasa nipo na hilo tatizo nmetumia dawa kibao za ngozi za kupaka na kunywa lakini hadi leo hamna nafuu naombeni mnisaidie.
Sikia nakupa dawa ya asili ila usichanganye na ya hospitali jaribu kwa siku 7 alafu uje kutoa ushuhuda hapa uku tayali au ushapata tiba!Habari zenu jamani,
Naombeni msaada mimi nawashwa kwenye makalio na nimefanya kama mashilingi ni mwezi wa 6 sasa nipo na hilo tatizo nmetumia dawa kibao za ngozi za kupaka na kunywa lakini hadi leo hamna nafuu naombeni mnisaidie.
Picha ipo nmetumaCome on leta picha touone.
SawTumia unipe mrejesho.
Saw nipeSina maneno mengi tafuta mgomba unaanza kuchanua kutoa watoto asubuhi chini mgomba utaona vimeanguka okota kadri uwezavyo tafuta chungu au kigae weka jikoni vikaange mpaka visagake vitakua vyeusi chukua unga wako changanya na mafuta ya nazi orijino ila mchanganyiko uwe mzito kidogo paka sehemu ulizo asilika asubu na jioni kama usipo pata nafuu kwa siku 7 uje ukanushe hapahapa...
Aameen rabbil alaminMashaallah kama umeishika dini. Mungu atakufanyia wepesi Inshaallah.
View attachment 1452915hyo ndo hali yangu jaman
Nnaoga na detol siku zote labda sabuni gani waweza nishauri?Sabuni Nazo Hazikusaidia
Sina hiyo tabia ya kuvaliana nguo na mtu kabisa yaniAisee pole dada ngoja nikuulizie kwa wataalam wa ngozi, unavaliana nguo na watu ? sababu hao kama fungus alafu wamekolea kweli kweli
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sina hiyo tabia ya kuvalian nguo na mtu kabisa yani