MADAXWEYNE
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 1,562
- 3,380
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala sijawa mkali nimekuuliza, jibu lilikuwa ndio au hapana, wanasifiwa marehemu ijekuwa mgonjwa au hujui sifa nzuri ni tiba ya kisaikolojia
Nimekuelewa mkuuWala sijawa mkali nimekuuliza, jibu lilikuwa ndio au hapana,, wanasifiwa marehemu ijekuwa mgonjwa au hujui sifa nzuri ni tiba ya kisaikolojia
Pole Fatma.View attachment 1452915hyo ndo hali yangu jaman
Kama upo Tanga shauriana na Daktari wako kuhusu hizi dawa..mimi sio daktari...
NEW IDHabari zenu jamani naombeni msaada mimi nawashwa kwenye makalio na nmefanya kama mashilingi ni mwezi wa6 sasa npo na hilo tatizo nmetumia dawa kibao za ngozi za kupaka na kunywa lakin hadi leo hamna nafuu naombeni mnisaidie
Tumia vitunguu swaumu na asali.View attachment 1452915hyo ndo hali yangu jaman
Unaweza kunitumia picha ya tatizo Pm nione ni changamoto gani, ?? Pengine naweza kukushauri natural remedies za kukusaidia. Maana naona umetumia sana antifungal na antibitiocs bila mafanikio.
NB:nipo serious
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa avatar yako na picha ya tatizo la Fatma simshauri akufwate inbox....!Unaweza kunitumia picha ya tatizo Pm nione ni changamoto gani, ?? Pengine naweza kukushauri natural remedies za kukusaidia. Maana naona umetumia sana antifungal na antibitiocs bila mafanikio.
NB:nipo serious
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzi bila picha ni polojo tu
Imeisha hiyoo
View attachment 1452915hyo ndo hali yangu jaman
Umelitendea haki jukwaaa, hakika naamini utakuwa unemsaidia hata kumpa matumainifatma pole sana.mi nilikuwa na tatizo kama lako miaka miwil imepita tena bora hata ww (nmeangalia pcha ulotuma)Mimi ilikuw jua tu likiwaka mwili ukianza kupata joto nawashwa hadi damu inatoka.nikikaa muda mrefu nawashwa ,nikimaliza kuoga nawashwa hatari,nikilala nawashwa ,hii hali ilipekekea nikawa najitenga na watu...
paka whitefields ointment inasaidia, kwa muonekano hio fungus ni kama ile ya pumbu erosion.Nilishazitumia hizo nilikuw nakunywa hivyo hazikunisaidia hadi nkawa nakunywa mbili mbili pia hazikunisaidia
Ni sehemu gani katika makalio, sio tunduni?Habari zenu jamani naombeni msaada mimi nawashwa kwenye makalio na nmefanya kama mashilingi ni mwezi wa6 sasa npo na hilo tatizo nmetumia dawa kibao za ngozi za kupaka na kunywa lakin hadi leo hamna nafuu naombeni mnisaidie
Pole sana dada mungu akusaidie uponeView attachment 1452915hyo ndo hali yangu jaman