Nawashwa kwenye makalio, yametokea kama mashilingi naombeni ushauri

Nawashwa kwenye makalio, yametokea kama mashilingi naombeni ushauri

Pole mkuu.

Nenda Hospitali onana na specialist wa magonjwa ya ngozi.

Sijajua uko wapi, kama uko Dsm kaonane na Profesa Mgonda...
Kama upo Tanga shauriana na Daktari wako kuhusu hizi dawa..mimi sio daktari.
Ila hizo dawa zilinisaidia kipindi flani nilikuwa mgongo unawasha.
Profesa mgonda alinipa hizo dawa nimetumia tatizo limeisha sasa mda.

Hiyo ndefu ni cream unapakaza na hilo boksi lingine vidonge unameza kwa siku kimoja.

Nasisitiza shauriana na daktari wako kwanza huko ulipo kuhusu hizo dawa.
Pole.
1589742846338.jpeg
1589742878533.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama upo Tanga shauriana na Daktari wako kuhusu hizi dawa..mimi sio daktari.
Ila hizo dawa zilinisaidia kipindi flani nilikuwa mgongo unawasha...
Shukrani asante sana ndugu yangu nitamuuliza hyo docta asante sana mungu akulipe
 
Ushajaribu kupaka alovera? Namaanisha lile jani lenyewe kwa kusugulia?
 
Back
Top Bottom