Mimi mwenyewe ushauri wangu ungekua ni huo..Hata kama mtu una one ya 7 ,Nenda Diploma,chukua ujuzi pita hivi.
Japo hii ni kwa wenye mpunga,maana unafuu wa Advance-Chuo ni kwamba walau makabwela wanapata mwanya wa kuja kuomba mkopo.
N.b Kwa sasa mkopo wa diploma kweli wanatoa,ila kwa wachache sana.