Nawasisitiza walezi na wanafunzi, Form 5 na 6 ilishapitwa na wakati, kuanza chuo baada ya form 4 ni maamuzi sahihi na hupanua zaidi goli la ajira

Nawasisitiza walezi na wanafunzi, Form 5 na 6 ilishapitwa na wakati, kuanza chuo baada ya form 4 ni maamuzi sahihi na hupanua zaidi goli la ajira

Kuna vijana wengi wana hivyo vyeti tupo nao kijiweni tunaendesha boda boda huku tukisikilizia mikeka🐼
Ni kweli, sio wote wanapata kazi walizosomea vyuoni lakini walioajirwa wana vyeti.
 
Mimi mwenyewe ushauri wangu ungekua ni huo..Hata kama mtu una one ya 7 ,Nenda Diploma,chukua ujuzi pita hivi.

Japo hii ni kwa wenye mpunga,maana unafuu wa Advance-Chuo ni kwamba walau makabwela wanapata mwanya wa kuja kuomba mkopo.

N.b Kwa sasa mkopo wa diploma kweli wanatoa,ila kwa wachache sana.
 
Back
Top Bottom