Tambaza boy waliiharibu Minaki sana kwani baada ya kuchoma moto shule yao qengi walipelekwa pale, wale watoto walikuwa hawafai kabisa
Ila tambaza walikuwa wanawaonea watu wa dar. Wangekutana na njema za Mbeya,Rukwa,Iringa,Knjaro miaka hiyo shukenza boarding.ndo watu walikuwa wamepinda kweli kweli.
Sasa mimi walifikia hatua walimu wakasema huyu bwana tumemshindwa akasome huko huko alikotoka. Sielewi nlikuaje miaka ile. Sielewi mpaka leo. Kweli ile shule wakisikia mwanaume anasoma sangu wanamwona kama mchumba tu.ni bora ndembela lakini si sangu. Au bora Iyunga Tech
Kuna mmoja alikua anaitwa Baraka..ndo hao waliokua Tambaza hahhaa jaman yle kaka alikua amepindaaa!weeee uliza huko mikoani baada ya ule uhamisho, ilikuwa shida huko kuanzia walimu mpaka wanafunzi... Kile kilikuwa kikosi cha watukutu..
Kuna mmoja alikua anaitwa Baraka..ndo hao waliokua Tambaza hahhaa jaman yle kaka alikua amepindaaa!
Sidhani kama kuna shule ilijaa watukutu kuliko Tambaza zama zile, pale ilikuwa zaidi ya utukutu kulikuwa na mpaka washika bunduki na komando yosso wasomi... Wazamia meli wengi sana zama hizo walisoma tambaza..hahahaaaa dah siku zinaenda kasi sana mama..
weeee uliza huko mikoani baada ya ule uhamisho, ilikuwa shida huko kuanzia walimu mpaka wanafunzi... Kile kilikuwa kikosi cha watukutu..
Mtu mwingine akisoma hya anaona uongo🤣!jamani boardn zilikua km selo!mie nilikua mkomeshaji wa wachoyo🤣🤣..tukigundua ww mchoyo ukiletewa vitu na majuice tunaiba tranka zima tunaenda kunywa porini...kuna sistaduu mmoja alitoka Marekani akawa mchoyo anakula mibiskuti alone na mijuice ya enzi ile aseee(in nyaki voic) tulimuadabisha fresh!popte ulipo Ntamahungilo Alice holaa to u🤣🤣🤣🤣!
Ila tambaza walikuwa wanawaonea watu wa dar. Wangekutana na njema za Mbeya,Rukwa,Iringa,Knjaro miaka hiyo shukenza boarding.ndo watu walikuwa wamepinda kweli kweli.
Unawatafuta wake za watu ili iwejeNami nawatafuta hawa wafuatao...
Dina Saada Ngoshani
Aichi Kilewo
Wendi Lugenge
Chausiku Kadunda
Raheli Kaduguda
Unawatafuta wake za watu ili iweje
Yuko shemeji yangu hapoKuna mkeo nini hapo?
Yuko shemeji yangu hapo