Nawatafuta watu hawa kwa udi na uvumba. Zawadi nono itatolewa msimu huu wa sikukuu

Nawatafuta watu hawa kwa udi na uvumba. Zawadi nono itatolewa msimu huu wa sikukuu

Ila tambaza walikuwa wanawaonea watu wa dar. Wangekutana na njema za Mbeya,Rukwa,Iringa,Knjaro miaka hiyo shukenza boarding.ndo watu walikuwa wamepinda kweli kweli.

Tambaza boy waliiharibu Minaki sana kwani baada ya kuchoma moto shule yao qengi walipelekwa pale, wale watoto walikuwa hawafai kabisa
 
Safi sana. Kambosonic jina si geni.

Six 1999 na kina Kambosonic, Murad, Bujhu, Mwinyigunz, Musa Mwaiposa Chancellor Wise, Michael Mahenge na we kibao
 
Ila tambaza walikuwa wanawaonea watu wa dar. Wangekutana na njema za Mbeya,Rukwa,Iringa,Knjaro miaka hiyo shukenza boarding.ndo watu walikuwa wamepinda kweli kweli.

weeee uliza huko mikoani baada ya ule uhamisho, ilikuwa shida huko kuanzia walimu mpaka wanafunzi... Kile kilikuwa kikosi cha watukutu..
 
Sasa mimi walifikia hatua walimu wakasema huyu bwana tumemshindwa akasome huko huko alikotoka. Sielewi nlikuaje miaka ile. Sielewi mpaka leo. Kweli ile shule wakisikia mwanaume anasoma sangu wanamwona kama mchumba tu.ni bora ndembela lakini si sangu. Au bora Iyunga Tech


Hahahah!kuna dent alipigwa na polisi had kudead..nadhan alikua wa Sangu ikatoka had magazetin..nyie mlikua hamfai kbs aisee!
 
weeee uliza huko mikoani baada ya ule uhamisho, ilikuwa shida huko kuanzia walimu mpaka wanafunzi... Kile kilikuwa kikosi cha watukutu..
Kuna mmoja alikua anaitwa Baraka..ndo hao waliokua Tambaza hahhaa jaman yle kaka alikua amepindaaa!
 
Kuna mmoja alikua anaitwa Baraka..ndo hao waliokua Tambaza hahhaa jaman yle kaka alikua amepindaaa!

Sidhani kama kuna shule ilijaa watukutu kuliko Tambaza zama zile, pale ilikuwa zaidi ya utukutu kulikuwa na mpaka washika bunduki na komando yosso wasomi... Wazamia meli wengi sana zama hizo walisoma tambaza..hahahaaaa dah siku zinaenda kasi sana mama..
 
Sidhani kama kuna shule ilijaa watukutu kuliko Tambaza zama zile, pale ilikuwa zaidi ya utukutu kulikuwa na mpaka washika bunduki na komando yosso wasomi... Wazamia meli wengi sana zama hizo walisoma tambaza..hahahaaaa dah siku zinaenda kasi sana mama..


🤣🤣🤣kuna kaupepo kalipita mno kakuzamia meli enzi hizo/kwenda kwa madiba😃😃😃! Enzi za penpals🤣🤣
 
Kuna mmoja alipelekwa Lutengano. Siku anafika alipokelewa na jamaa huyo jamaa analia.yaani amefika stand akatokea jamaa kwenda mpokea mabegi yake anambebea huku analia sana.

Mtemi wa Tambaza akashindwa elewa.jamaa akiwa analia akaomba apewe pesa ya fegi.akamwambia dogo nipatie pesa ya fegi. Tambaza boy akamind sana anaitwa dogo na mtu wa kijijini halafu anaambiwa atoe pesa ya fegi. Akamchana sana jamaa kuwa yeye siyo boya atamfanya kitu mbaya.

Yule jamaa alilia kama amepata habari za kifo.akapiga ukunga ile mbaya.tambaza boy akabeba godoro lake kuelekea shuleni. Yule bwana mdogo anamfuata nyuma analilia pesa ya fegi.baadaye akapotelea huko njian.

Usiku jamaa anasema alifuatwa na mtu mmoja bwenini kuwa wakamsaidie kuna mtu mgonjwa.tambaza boy akafuatana na yule mwanafunzi.only kwenda ishia kwenye kichaka.huko walimchapa sana.akawa anadumbukizwa kwenye dimbwi la maji machafu azame akiibuka viboko na lile baridi la kule.

mpaka saa nne ndo kuachiwa akikutwa na wanafunzi wametoka kujisomea na mizunguko mingine.kesho yake asubuhi yule bwana aliondoka na nguo zake tu.maana alikuta godoro lake limemwagiwa maji lote. Hakuweza hata kulala.

weeee uliza huko mikoani baada ya ule uhamisho, ilikuwa shida huko kuanzia walimu mpaka wanafunzi... Kile kilikuwa kikosi cha watukutu..
 
Sodoku,
Mtu mwingine akisoma hya anaona uongo🤣!jamani boardn zilikua km selo!mie nilikua mkomeshaji wa wachoyo🤣🤣..tukigundua ww mchoyo ukiletewa vitu na majuice tunaiba tranka zima tunaenda kunywa porini...kuna sistaduu mmoja alitoka Marekani akawa mchoyo anakula mibiskuti alone na mijuice ya enzi ile aseee(in nyaki voic) tulimuadabisha fresh!popte ulipo Ntamahungilo Alice holaa to u🤣🤣🤣🤣!
 
Watoto wa siku hizi ndo maana hata wanaume unawakuta wapo nyororo.😂😂😂 Imagine hizi fujo ulifanya wewe manengelo. Ukiwaambia watu wanaweza dhani ni movie au stories tu. Zamani tulijifunza ukakamavu shuleni. Unamkuta mdada mzuri ila usijaribu kutaka kumbull anaweza kuku chenjia ukakimbia. Hasa form two walikuwa ndo wamenyongorota sana.siyo kupinda.

Mtu mwingine akisoma hya anaona uongo🤣!jamani boardn zilikua km selo!mie nilikua mkomeshaji wa wachoyo🤣🤣..tukigundua ww mchoyo ukiletewa vitu na majuice tunaiba tranka zima tunaenda kunywa porini...kuna sistaduu mmoja alitoka Marekani akawa mchoyo anakula mibiskuti alone na mijuice ya enzi ile aseee(in nyaki voic) tulimuadabisha fresh!popte ulipo Ntamahungilo Alice holaa to u🤣🤣🤣🤣!
 
Waliiharibu kitabia sio kuonea mkuu
Ila tambaza walikuwa wanawaonea watu wa dar. Wangekutana na njema za Mbeya,Rukwa,Iringa,Knjaro miaka hiyo shukenza boarding.ndo watu walikuwa wamepinda kweli kweli.
 
Mbona umetaja madada tu, ili uwagegede?
 
huu uzi wako hauna maana wala mantiki hivi mtu uliyesoma naye unashindwaje kumpata? au ndio darasa zima mlikuwa 2 tu-siku hizi watu wana magroup ya whatsupp waliosoma na kuhitimu Elimu ya chekechea!.
 
Back
Top Bottom