Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bukuku alikuja kuinyoosha ile shule.nasikia ilibadilika sana.
Duh!hahha...jaman enzi zile Mbeya shule zilikua ni hatari tupu..shule zilizokuwa bora kwa ustaarabu ni Manow..Mbalizi kidg...!sasa uje Meta, Mbeya day🤣, sangu, uwiii!
Weee!! Tukidondoka halafu nikakudondokea je....?
Manow ya misheni kama sikosei. Na mbalizi pia.
Hizo cha mtoto shule zilikuwa
NDEMBELA
LUTENGANO
Nlisoma miezi 6 lutengano wakanifukuza.
Unapakua tu
@Manengelo
Manow ya misheni kama sikosei. Na mbalizi pia.
Hizo cha mtoto shule zilikuwa
NDEMBELA
LUTENGANO
Nlisoma miezi 6 lutengano wakanifukuza.
Huyo ni kaka ujue mkuu!hawez nipakua kamwe!shindwa![emoji21]
Ndembela alisoma my sis😅😅!lutengano walikua wana vurugu jaman..wakijua mnasoma shule ya madon mtakoma🤣🤣!Mbeya tumesoma kwa hofu mno jaman!
Ngoja waje watoto wa down town kitambo.
Wale wazee wa Tambaza aka shemeji zake na Mzee wetu Mwinyi..
Watoto wa Aza Boy..
RIP Puza boy..
Six 1999 na kina Kambosonic, Murad, Bujhu, Mwinyigunz, Musa Mwaiposa Chancellor Wise, Michael Mahenge na we kibaoUmemaliza sangu mwaka gani kidato cha ngapi?
Tambaza boy waliiharibu Minaki sana kwani baada ya kuchoma moto shule yao qengi walipelekwa pale, wale watoto walikuwa hawafai kabisa