johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
CCM ina wapiga kura milioni 22 ( 22,000,000)
Mwisho unaenda kutafuta nini bwashee?Amen, usisahau kumpigia kura Lissu jina lipo mwisho kabisa bwashee.
Achana na jitu linaloogopa hadi keyboard.M
Mwisho unaenda kutafuta nini bwashee?
CCM ni nambari One
Dr Magufuli ni nambari One
Hiyo ni michezo ya Ufipa bwashee!Achana na jitu linaloogopa hadi keyboard.
Wahi mapema ukapige kura yako!Mungu ambariki lissu.
Ila taarifa za awali nilizopata zimeniuma sanaaaa, yani uchaguzi ni maigizo,matokeo yametengenezwa tayari.
Eee Mungu wewe wajua CHADEMA yangu ipo ktk namna gani mioyoni mwa watu
Bila moyo unaishije?!Kuna watu wana moyo sana
CCM ina wapiga kura milioni 22 ( 22,000,000)
Amina!Asante mkuu. Na kwako pia.
Source ya taarifa yako Tafadhali!
Kumekucha bwashee kapige kura!Endeleeni kujifariji