Nawatazama hawa Wanawake waliofanikiwa kimaisha Clouds Tv, ila Shuhuda zao za Mafanikio hazinishawishi

Mwanamke gani kafanikiwa bila mkono wa mwanaume?Mimi ndio siwasikilizagi kabisa.wale wanawezeshwa.baada ya hapo wanavua pichu
Nitoe tu mfano,
Kuna mwanamke mmoja alikuwa ana pika chakula kama mama lishe, kila mteja aliyekuwa anaenda kula pale aliitwa shemeji na wahudumu wake, halafu ikitolewa elfu kumi change hairudi, kitumbua kinagawanywa kwa shift, siku mtu kama huyu atadanganya wenzake siku moja kwamba ni malkia wa nguvu. Hatari sana. Hii ni sawa na zile hadithi za kusema watu waliuza karanga mara kushona viatu kumbe kuna pazia lililoficha mengi.
 
Wengi ni fix yaani ni sawa na mie wakati nasubiri matokeo ya form 6 nilipiga kazi mbalimbali kama zile za kumwaga zege alafu nikifanikiwa najifanya nilianzia kwenye kumwaga zege wakati ukweli kule ilikuwa napita tu mara moja huku lengo langu ni kuendelea na masomo kuliko kupoteza miezi karibu 16 (enzi zile tulikuwa tunakaa zaidi ya mwaka kusubiri kwenda chuo)
 
Hasa huyo anaejiita mchungaji.
Mavazi yake na muonekano wake...mhh..!!
 
ukisema mtaji mkubwa unakatisha tamaa maskini...

kuna biashara kwa mtaji mdogo zinawezekana kama kuuza juice... kwa kuwapa moyo maskini lazma useme mtaji mdogo ambao hata wao wanao
 
Mkuu uwezi amini nilitaka kuanzisha mada kama hii ya hii dhana ya uongo au kuwadanganya watu kuwa kila aliyefanikiwa alianza na mtaji mdogo hasa kwa wana wake.....ngoja nikuletee nyama kidogo uweke hapo juu ...naleta nukuu zao
Mkuu unaweza kuwa ni mtizamo wako binafsi
Ila mimi pia ni mmoja wa hao walioanza na mtaji mdogo sana
Na unaendelea kukua.
Sijui ni kwa nini uone ni fake story!

Labda ungesema backups na changamoto za kurudisha mtu chini hazikosekani.
 
Kuna mmoja wa Mwaka jana (ana mwili mkubwa hivi); ni boya haswa ila kama unavyojua mkurugenz mwezeshaji akafanya yake sijamsikia tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…