Mmgemuachia maisha yake ili tumlaumu kwa hakiNawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?
Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na Sgr ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Hiyo ni miradi ya watanzania hakuuziwa mwarabuNawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?
Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na Sgr ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?
Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na Sgr ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Mbona unachanganya machungwa na mananasi? Bi Kinyogoli Mkwere!Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?
Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na Sgr ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
So unataka kujustify nn labda!!Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?
Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na Sgr ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Tujuze mkuu yaliyomo kwenye hiyo miradi, maana ya Bandari tumejuzwa na waungwana japo wapigaji wanalaum mtumbwi kuingiza maji.Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?
Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na Sgr ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Bibi mdini kwenye ubora wako.Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?
Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na Sgr ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
SGR kasaini Rais?Nakwambia ingekuwa patashika nguo kuchanika.
SGR Dar - Moro tuliwanyima wachina tukawapa waturuki waislamu. Angefanya hii Mama Samia sijui wale wakristo wenzangu ingekuwaje
Kuwa na hekma katika maongezi/uandishi maneno ya kudharau au kudhihaki ustaarabu wa jamii fulani sio uungwana.Hv hamuoni tofauti Kati ya hiyo mikataba uliyotaja na mkataba wa kuuza bandari!!??
vilemba vimefunika mpaka akili zenu!!