Nawaza ingekuwa Rais Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR...

Nawaza ingekuwa Rais Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR...

Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?

Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na Sgr ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Nakuona unazidi kutapatapa na unazidi kulegea mishale ni mingi sana pole ndio ukubwa mkataba wa uuzaji wa bandari umekushinda kuutetea
 
Naona Kanisa lingehamia humu.
Tena Mungu mkubwa sana, Kikwete tayari ile mikataba, SGR ilikuwa kishawapa China, Bwawa kishawapa Brazil, bandari ya bagamoyo alishawapa China na Oman, jamaaa alipoingia tu akaipiga chini yote.
 
Mbona unachanganya machungwa na mananasi? Bi Kinyogoli Mkwere!

Zile ni tenda tunamchagua nani afanye kazi.

Bandari - Ni Funguo ya lango la nchi

wala hatukatai DPW wakabidhiwe, tusahihishe zile terms. Full stop
Una point ila akili ndogo hawawezi elewa
 
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?

Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na Sgr ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Japo unacholinganisha ni tofauti kabisa kwa kila hali (mkataba na uwekezaji), jambo moja litakumbukwa: CCM itafia mikononi mwake kama huo mkataba utatekelezwa jinsi ulivyo. Ukakasi ulioko kwenye huo mkataba utawapa nguvu wapinzani kuiondoa CCM madarakani. Hata fedha ya mafuta ikitumika, kurubuni wapiga kura kupitia wagombea, haitasaidia kuondoa kichechefu cha bandari kugeuzwa lango la Tanzania kutawaliwa tena.
 
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?

Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na Sgr ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Hebu soma tena ujinga ulioandika halafu ujicheke.
 
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?

Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na Sgr ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Unawashwa sana
 
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?

Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na Sgr ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?

Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?

Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na Sgr ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
mkataba ungekuwa ni mauziano ya SGR, nawazia tu hiyo IGA yake ingekuwaje? duties zote ni JMT za kujenga na wakimaliza ujenzi waanze kutoza toza kwa muda watakapo jisikia.
 
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?

Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na Sgr ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?

IMG_7387.jpg




NDO MANA NAKUAMBIAGA KUWA WEWE NI KILAZA

HIIYO NI NINI.
 
Nakwambia ingekuwa patashika nguo kuchanika.
SGR Dar - Moro tuliwanyima wachina tukawapa waturuki waislamu. Angefanya hii Mama Samia sijui wale wakristo wenzangu ingekuwaje
Kuna arguments nilikuona a learned man. Ila unaposhindwa kutenganisha mambo hapo ni questionable. you have to differentiate between “concept“ against garbage, I mean metaphors
 
Back
Top Bottom