SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Huyo ajuza anaegemea kwenye udini na ushirikina tuSo unataka kujustify nn labda!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ajuza anaegemea kwenye udini na ushirikina tuSo unataka kujustify nn labda!!
Issa anakuwa mpagani?
Awamu ya Pili kuna mtu alikuwa anaitwa Mama Siti sasa huyu amemzidi yuleKwa vipi?
Kwani ubaya wa hiyo mikataba ni ipi?Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?
Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Tuoneshe wewe usiye na dini akili zako ziko wapi?Waislamu udini unaonyesha kabisa akili zao hamna kitu kabisa yani khaa serikali inatakiwa ipambane kufuta dini zote za kigeni Tanzania. Dini ni chazo cha ujinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Comment ya kijinga kutoka kwa mjingaNaona Kanisa lingehamia humu.
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?
Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Huna hoja.Comment ya kijinga kutoka kwa mjinga
Tuoneshe wewe usiye na dini akili zako ziko wapi?Waislamu udini unaonyesha kabisa akili zao hamna kitu kabisa yani khaa serikali inatakiwa ipambane kufuta dini zote za kigeni Tanzania. Dini ni chazo cha ujinga
Sent using Jamii Forums mobile app
FafanuaUzi wa kijinga kabisa
Huna hoja kaa kimya.Vipi kumbe nawe uko so low kimawazo kiasi hiki! You have disappointed me greatly.
Kafa Nyerere aliyoiuwa TANU kuu fsnya CCM.Japo unacholinganisha ni tofauti kabisa kwa kila hali (mkataba na uwekezaji), jambo moja litakumbukwa: CCM itafia mikononi mwake kama huo mkataba utatekelezwa jinsi ulivyo. Ukakasi ulioko kwenye huo mkataba utawapa nguvu wapinzani kuiondoa CCM madarakani. Hata fedha ya mafuta ikitumika, kurubuni wapiga kura kupitia wagombea, haitasaidia kuondoa kichechefu cha bandari kugeuzwa lango la Tanzania kutawaliwa tena.
kwamba nyinyi akili ni ndogo zaidi mnaongozwa na udini mnakasirika!Naona Kanisa lingehamia humu.
Ule utapeli wa dhalimu tulikuwa tunamkosoa humu humu jukwaani kuwa ni mpika data mkubwa, na ushahidi tulikuwa tunaweka. Sio kila mtu alimtetea kwa ukristo wake. Na uzuri ukosoaji wetu kwa dhalimu upo humu jukwaani.Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?
Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?