Nawaza ingekuwa Rais Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR...

Nawaza ingekuwa Rais Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR...

Kwa miaka nimekuwa ni msomaji wa michango yako hapa jukwaani. Nilitokea kupenda ujengaji wako wa hoja iwe ni kwenye mada za dini (ukitetea uislamu) ama za kijamii.

Lakini kwa hapa unautukana uislamu, unatumia nguvu nyingi mno kutengeneza mpasuko wa kidini kupitia suala hili la mkataba.

Unajua wazi kabisa wanaopinga wanaopinga nini japo hujui wanaokubali wanaokubali nini. Sie Watanzania siyo exceptional kwamba yalowapata waliofanya hivyo ulivyoanza hayawezi kutupata siye.

Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
Ngonjera.


Wewe unapinga unakubali? Unachopinga nini, unachokubali nini?

Mada umeiona. Unanini cha kusema kuhusu mada? Ndiyo hiyo ngonjera?
 
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?

Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Kwani wa SGR ni wa milele kama wa Bandari?
 
Magufuli alisaini mikataba na Waarabu hakuna aliyelalamika kama ni udini kwa sababu ina maslahi kwa taifa ila huu wa bandari ni wizi wa mchana kweupe.
Ulichoibiwa banadarini ni nini?


Sasa kwa kukujuza, kama ulikuwa huelewi, hayta huo mkataba wa bandari ulianzia kwa Magufuli.


Kazisome tarehe za MoU ya 2020.


Magufuli alikufa mwaka gani vile?
 
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?

Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Kwani kulikuwa na IGA (Intergovernmental agreement) kati ya serikali yetu na serikali ya Utruki ya kujenga SGR yetu? Au IGA kati ya serikali yetu na serikali ya Misiri ya kujenga Bwawa la Umeme la Nyerere? Au IGA kati ya serikali yetu na ile serikali ya wazungu watakaochimba LNG yetu ya Mtwara kwa gharama ya shilingi trillion 100?

Hii Standard Geji Harbour ya DSM inahitaji IGA kabla ya ujenzi - kwa sababu zisizojulikana kwa walio wengi.
 
Bado hapo hujaeleweka, unachokipinga wewe ni nini? Wacha kubwabwaja bila mpango, maoni ya watu yanakuhusu nini wewe? Kila mmoja wetu atabeba msalana wake. Wewe beba msalaba wako hapa, achana na wa wengine.

Sema wewe unachokipinga nini?
Nakupinga wewe na sera zako za hovyo za uongozi. Maliza tu hiki kipindi kifupi cha ngekewa ukapumzike, na uendelee kula pesa ulizochuma na ukae na wajukuu kwenye hekalu lako la Masaki na Mikocheni.
 
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?

Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Mimi ni Muislam lakini hili SIKUBALIANI nalo kabisa. Hapa hoja sio Uislam wa waarabu. najUA WENGI HUMU TUNASUKUMWA NA HISIA ZA UDINI NA UKABILA. Ukwli ni kuwa mkataba wa BANDARI una kasoro nyingi na za hovyo sana. SGR hakuna masharti ya kumili mito na maziwa ya nchi zaidi ya kutenegeneza reli na kulikuwa na muda maalum wa mkataba. Huyu mama ndio amechelewesha kumalizika kwa mradi tofauti na ilivyotakiwa hapo awali.
Kivuli cha Uwarabu na udini hakiondoi ukweli kuwa huu mkataba nin wa kishenzi na hauna matokeo chanya kwa nchi yetu.
 
I
Mimi ni Muislam lakini hili SIKUBALIANI nalo kabisa. Hapa hoja sio Uislam wa waarabu. najUA WENGI HUMU TUNASUKUMWA NA HISIA ZA UDINI NA UKABILA. Ukwli ni kuwa mkataba wa BANDARI una kasoro nyingi na za hovyo sana. SGR hakuna masharti ya kumili mito na maziwa ya nchi zaidi ya kutenegeneza reli na kulikuwa na muda maalum wa mkataba. Huyu mama ndio amechelewesha kumalizika kwa mradi tofauti na ilivyotakiwa hapo awali.
Kivuli cha Uwarabu na udini hakiondoi ukweli kuwa huu mkataba nin wa kishenzi na hauna matokeo chanya kwa nchi yetu.
Isome hiyo post uliyoijibu, kuna nini humo Kilichokufanya uuingize Uislam?


Myislam. Usiyejuwa kusoma mzigo kwa UIslam. Nakushauri siku nyingine usiingize ujinga wako.

Punguani wahed.
 
umechemka kwenye kutetea bandari

umehamia kungine kusiko na madhara ya mojakwamoja ,kwenye ardhi yetu na bahari yetu ,mitoyetu na ulinzi na usalama wetu
 
Kuna mtaalamu yoyote tunaweza shirikiana kutengeneza ka ndege / drone remote control inayoweza beba risasi na ma greenade inayoweza leta maafa iwe na uwezo wa kwenda speed
 
Umeiona mikataba?

Unasema alikuwa nini? Wewe unamuona smart? Kwi Kwi kwi teh teh teh.

Msome mama alisema nini[emoji1484]

Lazima umuamini mke mwenza
 
Ni watu wajinga tu ndio hupenda kuingiza mambo ya Dini kwenye mambo ya uchumi.Rais kuwa Dini Fulani hakuna uhusiano na hoja ya mkataba.Hivi tujiulize Magufuli alikuwa mkristo akawapa tender waturuki ambao ni waislamu mbona hakukua na nongwa.Hata hili la DP world nadhani tukikite kwenye hoja.Habari ya kukumbilia Dini ni ujuha tu.Hata kama ikiwa kweli kuwa mahisiano ya kidini huweza kua kivutio mojawapo hasa kwa nchi zenye itikadi za kidini lakini tukijadili hoja Dini zitajitenga na siasa/uchumi automatically.Tunatumia Dini ama kukataa hi hoja au kuunga mkono hoja ili kuficha udhaifu wetu wa kujenga hoja.
 
SGR na JNHPP hazijauziwa mtu. Wale wamepewa kazi ya ujenzi wa miundombinu ikikamilika wanaondoka.

Huyu kauza bandari yetu kwa waarabu waitumie miaka wanayotaka hadi mwisho wa Dunia.

Leo waziri mkuu kasema sheria ya TPA ya mwaka 2004 inaipa TPA mamlaka ya bandari zote nchini, sasa iweje za Zanzibar hazijahusika na DP World? Wazanzibari wao hawataki ufanisi ama bandari yenye ufanisi mdogo ni ya Tanganyika tu?

Samia na Mbarawa wakauze bandari za kwao, waache bandari zetu.

Samia hawezi kua anaipenda Tanganyika kuliko anavyoipenda Zanzibar na hata yeye alishajutambulisha kama Mzanzibari. Akauze bandari za kwao Zanzibar za kwetu Tanganyika aziache kama zilivyo.
Well said apeleke maendeleo kwao Zanzibar sisi hatumtaki
 
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?

Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Acha upotoehaji..Magufuri alisainisha kampuni iliyotebder bei ndogo kujenga SGR Dar..Moro...harafu Moro makutopora..na mwanza to Isacka harafu Samia kasaininsha mikataba WA ujenzi Kati ya Makutopora to Tabora na Tabora Hadi Isacka na Tabora Hadi Kugoma..
Lakini maikataba yote hii ilikuwa wazi Kwa ni ya ujenzi siyo uwekezaji
 
Acha upotoehaji..Magufuri alisainisha kampuni iliyotebder bei ndogo kujenga SGR Dar..Moro...harafu Moro makutopora..na mwanza to Isacka harafu Samia kasaininsha mikataba WA ujenzi Kati ya Makutopora to Tabora na Tabora Hadi Isacka na Tabora Hadi Kugoma..
Lakini maikataba yote hii ilikuwa wazi Kwa ni ya ujenzi siyo uwekezaji
Andika vizuri basi ueleweke.
 
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?

Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Jinga mkubwa wewe, SGR na Bwawa zimekodishwa?
 
Back
Top Bottom