Nawaza ingekuwa Rais Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR...

Nawaza ingekuwa Rais Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR...

Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?

Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
SGR haina condition za mkataba kama hizo za waarabu. waturuki pamoja na kwamba ni ndugu wa waaarabu kiimani, hawakuhitaji kutuletea condition hizo kwasababu wao wana ustaarabu wa ulimwengi wa kwanza.
 
Wale wanaopinga mkataba huu maarufu, nimeona hoja nying9 sana mchanganyiko, mpaka inakuwa kama ni sauri inapazwa, ili watu iwaningie kuwa hili dili siyo zuri. Nataka tuchambuwe hoja na yeyote anaetaka mjadala wenye tija.

Sema wewe unaepinga, unachokipinga ni:

1) Mkataba wa mashirikiano baina ya Dubai na Tanzania?
2) Mkataba wa uendeshaji bandari?
3) Kampuni ya uendeshaji bandari?
4) Waarabu wa Dubai kuuziwa bandari?
5) Sheria za Tanzania?
6) Mama Samia kama Mzanzibari?
7) Mama Samia kama Muislam
8) Waarabu kama wa Islam?


Chaguwa unayoyapinga hapo tujadili, kama hakuna katika hapo andika kwa mstari mmoja unachokipinga, tuwache ngonjera na mapambio.
 
Kwenye makinikia tulifanyiwa magilini laiv laiv tena bila chenga
haawalioni hilo.

Makinikia hayo yakapanda meli yakaondoka. Yamepita hapo hapo bandarini au ndicho kinachoogopwa, yatabunburuka?
 
Usijifariji kwa kuanzisha mada zinazokuhusu wewe mwenyewe Mama muki..., maoni ya watu yatazidi kukuumiza. Kubali kwamba nafasi uliyopo ni kubwa sana kuimudu inakushinda! Kila tukiomba appointment ya mazungumzo tukupe yetu ya moyoni na tukuelekeze unatuchapa kalenda na hatupati barua pepe za majibu. UNAYUMBA!
 
Hiyo ni miradi ya watanzania hakuuziwa mwarabu
Kwa hiyo wewe pingamizi lako ni kuuziwa Waarabu? Ulitaka auziwe nani?

Sasa kuna kosa lipi Wakiuziwa Waarabu na Mwarabu mwenzao? Kwa faida yako Mstaarabu? Au wewe siyo mstaarabu?
 
Usijifariji kwa kuanzisha mada zinazokuhusu wewe mwenyewe Mama muki..., maoni ya watu yatazidi kukuumiza. Kubali kwamba nafasi uliyopo ni kubwa sana kuimudu inakushinda! Kila tukiomba appointment ya mazungumzo tukupe yetu ya moyoni na tukuelekeze unatuchapa kalenda na hatupati barua pepe za majibu. UNAYUMBA!
Bado hapo hujaeleweka, unachokipinga wewe ni nini? Wacha kubwabwaja bila mpango, maoni ya watu yanakuhusu nini wewe? Kila mmoja wetu atabeba msalana wake. Wewe beba msalaba wako hapa, achana na wa wengine.

Sema wewe unachokipinga nini?
 
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?

Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Hacha kuuliza maswali ya kijinga,Hawamu ya tano kila kitu kilikuwa kinafanyika tena kwa wakati,Tangu JIWE afariki kila kitu kimesimama alafu huyu mama anakuja kuuza Bandari....Alaaniwe aliyetuondolea Magufuri na kutuletea huyu Fisadi.
 
Samia kauza Tanganyika kwa wajomba zake hiyo miradi unayosema wewe kunguru tumekopa ni mali yetu.
 
Hacha kuuliza maswali ya kijinga,Hawamu ya tano kila kitu kilikuwa kinafanyika tena kwa wakati,Tangu JIWE afariki kila kitu kimesimama alafu huyu mama anakuja kuuza Bandari....Alaaniwe aliyetuondolea Magufuri na kutuletea huyu Fisadi.
Haya nimehacha, nimekuhelewa.

Mkataba wa ushirikiano kimaendeleo na Dubai unauhungaga mkono au unahupingaga?
 
Jifundishe kupunguza maandiko, unafikiri nani ana muda wa kukusoma jiandiko refu namna hiyo wakati hauna utam wa kuandika. Kwani unaandika historia hapa? Nenda kwa Mohamed Said ukajifundishe kuandika historia.

Hapa unasukuma ujumbe wako mistari miwili mitatu mifupi fupi,tosha. Ni current events.

Nini kilichokuudhi kuhusu mkataba wa bandari? Ni mama Samia, au Uislam wake au Uzanzibari wake au Vifungu vya mkataba? Au Waaeabu wa Dubai, Au Uislam wao au Kampuni yao ya DP World?Maana hamueleweki.
Nijifundishe nini kwa mfia dini Kama wewe?

Kwani weye ndie unaye eleweka?

Msimfiche huyo Raisi kwenye chaka la Udini...ona picha hiyo Ujumbe upo hapo...
20141018_MAP004_0.jpg
 
Tena Mungu mkubwa sana, Kikwete tayari ile mikataba, SGR ilikuwa kishawapa China, Bwawa kishawapa Brazil, bandari ya bagamoyo alishawapa China na Oman, jamaaa alipoingia tu akaipiga chini yote.
Kwani Kuna kesi yoyote ya tu kivunjiwa mkataba wa SGR au JNHPP
 
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?

Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Kwa miaka nimekuwa ni msomaji wa michango yako hapa jukwaani. Nilitokea kupenda ujengaji wako wa hoja iwe ni kwenye mada za dini (ukitetea uislamu) ama za kijamii.

Lakini kwa hapa unautukana uislamu, unatumia nguvu nyingi mno kutengeneza mpasuko wa kidini kupitia suala hili la mkataba.

Unajua wazi kabisa wanaopinga wanaopinga nini japo hujui wanaokubali wanaokubali nini. Sie Watanzania siyo exceptional kwamba yalowapata waliofanya hivyo ulivyoanza hayawezi kutupata siye.

Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
 
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?

Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Magufuli alisaini mikataba na Waarabu hakuna aliyelalamika kama ni udini kwa sababu ina maslahi kwa taifa ila huu wa bandari ni wizi wa mchana kweupe.
 
Back
Top Bottom