We nawe usituchoshe na maswali yako ya kipuuzi wakati tunajua target yako ni udini na uzanzibar wenu.Huo mkataba wa mauziano ni upi na uko wapi?
Acha udiniUnauliza vitu kama vile huna kichwa,? Serikali ya SSH ilisaini ile IGA ya bandari kuuziana mbuzi? Kwann mswada wa kubadilisha sheria ya kulinda raslimali za nchi uliondolewa bungeni baada zile kelele? Tulikuwa tukielekea kukabidhi nchi kwa ndugu zako Waarabu ingawa bado yale makubaliano mengine 30 yaliosainiwa sambamba na hayo ya bandari hayajawekwa wazi, nadhani nayo ni majanga tu.
Hivi unashupalia haya kwasababu ya Uzanzibar wako na aliyetaka kufanya haya ni Mzanzibar mwenzako? au kwasababu aliyetaka kukabidhiwa nchi ni Muislam kama wewe?
Ndio rais kwa sasa, na faiza ni ndugu yake mama samia katika imani, pamoja na waislamu wote kwa ujumla ni ndugu, kwa lugha nyingine "MUISLAM NDUGU YAKE MUISLAM"aliyetaka kukabidhiwa nchi ni Muislam kama wewe?
We nawe usituchoshe na maswali yako ya kipuuzi wakati tunajua target yako ni udini na uzanzibar wenu.
Mbona nyie wazanzibari hamjiamini pamoja na kupewa nafasi kubwa? Always mnajiona mnanyanyaswa au kutengwa wakati mnajinyanyasa na kujiweka pembeni wenyewe?
Mnaishi kwa fadhila na jasho la Bara, hamtaki sii muombe talaka!
Mkataba unahusu wao kujenga bwawa na kua supplier wa umeme kwa mda hadi mda usio eleweka?, ujenzi wa sgr na umiliki kwa mda hadi mda usio eleweka?Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?
Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Mradi upi ambao haukuchelewa wakati yeye yupo?Yule kichaa angekuwapo, miradi yote hii ingekuwa imeshakamilika. Unafanya maskhara wewe; hakuna mradi uliokwama chini yake. Alikuwa anajua kusimamia watendaji wake, jambo ambalo mama haliwezi na hivyo kuwapo excuses za kila siku. Makamba kusimamia ujenzi wa bwawa lile ilikilikuwa ni kichekeso cha karne. SGR kusimamiwa na Mbarawa ndiyo basi tena; hawa watu hawakuwamo katika kabineti ya kichaa yule kwani aliwapima na kuwaondoa kutokana na madhaifu yao ambayo mama ameyarudisha na kusababisha uzembe na ucheleweshaji wote pamoja matatizo ya miradi hiyo sasa. Angalia jinsi zile flyovers zilivyojengwa in time; hata terminal 3 iliyokuwa imeshakwama wakati wa Kikwete, alipoisimamia ikakamilika.
Kwani sgr mikataba mingapi aliisaini mwendazake na ilitakiwa iishe lini, na mingapi ilisainiwa kisha ondoka na inatakiwa iishe lini?Mkataba unahusu wao kujenga bwawa na kua supplier wa umeme kwa mda hadi mda usio eleweka?, ujenzi wa sgr na umiliki kwa mda hadi mda usio eleweka?
Mnatafta pa kupumzikia kwa kusahau msingi wa hoja za waleta maswali
Shida yako unatanguliza dini kufikiria kuliko kutanguliza akili. Halafu waturuki ni waislamu saaafi ndo maana watanzania huingia kule kutengeneza figure, waturuki hawaishi tamaduni za kiarabu. Nimekaaa uturuki hizi taabu za kufunika nyuso zao kama hawakuumbwa kwa mfano wa Mungu hawapendelei saana.Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?
Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Mdini "unatoa uamzi kwa mlengo wa dini uliyopo na siyo by reality of things"Kwa mdini" unamaanisha nini?, tuanzie hapo kwanza.
Hayo ya ndege, hayakuanzia kwa pombe".
Umeshindwa hoja unaanza viroja. Ndiyo zenu hizo.We nawe usituchoshe na maswali yako ya kipuuzi wakati tunajua target yako ni udini na uzanzibar wenu.
Mbona nyie wazanzibari hamjiamini pamoja na kupewa nafasi kubwa? Always mnajiona mnanyanyaswa au kutengwa wakati mnajinyanyasa na kujiweka pembeni wenyewe?
Mnaishi kwa fadhila na jasho la Bara, hamtaki sii muombe talaka!
Ustaarabu huwa haudhihakiwi aisee labda kwa jinsi ulivyotafsiri wewe!! Mjinga mpe kilemba uujue mwendoweKuwa na hekma katika maongezi/uandishi maneno ya kudharau au kudhihaki ustaarabu wa jamii fulani sio uungwana.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Huna hoja!! Hujui kutofautisha kati ya mpewa tenda ya kutengeneza then anakabidhi ndo analipwa na mnunuaji wa mali za nchi kiholela!!Umeshindwa hoja unaanza viroja. Ndiyo zenu hizo.
Mpende sana!! Lakini hakuzuii watu kumpa ukweli wa madudu yakehuyu mama samia kila siku namuombea katika dua zangu nampenda mnoo
Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?
Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
wakristo wenzako wa wapi? Acha ujingaNakwambia ingekuwa patashika nguo kuchanika.
SGR Dar - Moro tuliwanyima wachina tukawapa waturuki waislamu. Angefanya hii Mama Samia sijui wale wakristo wenzangu ingekuwaje
Na hakuna anayetaka utoke huko!! Alisema udini na Uislamu siyo udini ni dini. Unavyojitapa utafikiri ukihamia kwingne watafaidika saaana kumbe kunguni hakuna impact yoyoteAnhaa, hukumaanisha Uislam?
Kama hukumaanisha Uislam umekosea sana, mimi ni Muislm na dini kwangu ni Uislam pekee.
NImefunika bichwa lote na akili zimefunikwa pia ndo maana naongea usivyovielewaHiyo ndiyo maana yako ya udini na Uzanzibar? Au una akili za samaki?
Mimi sina dini? Acha nicheke kwanza kwa vile nakuelewa misimamo yako na uelewa wako.Umeshindwa hoja unaanza viroja. Ndiyo zenu hizo.
Unataka kunilinganisha na wewe usiye na dini? Mimi Muislam na maisha yangu ya kila siku ni Uislam.