Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAkina manufaa yoyote kwenye taifa zaidi ya kutunyonya tu. Unachangia nini katka taifa la Tanzania wewe? Au umechangia jina tu ambalo muda wowote linaweza kubadilika kama ilivyo Eswatini sasa hiviBila Zanzibar utaipata wapi Tanzania?
Kwa hiyo unainjoi kwa kuwa ni jirani yako?? Msoga na Zanzibar wapi na wapi hakuna cha kupiga mruzi, ni bara na kisiwani tena zaidi ya km 200 kabisa.Akipiga mruzi kwao Zanzibar wanasikia.
Kabisa maana kuna rais alifariki sijui 1972 huko. Kazi ya Mungu haina makosaKazi ya Mungu haina makosa.
Wewe na baadhi ya waislam wenzako ndiyo mna inferiority complex. Kila rais muislam apatapo urais, akipata challenge ni lazima akimbilie kwenye chaka la udini... ohoo ni kwa sababu ni muislam! Mama Abdul kadanganywa na elimu yake ya kuungaunga, kaingia mkataba wa kijinga kabisa, akikosolewa anakimbilia kwenye chaka la uislam.Kumbe tatizo lako ni Waislam?
Mwenye kula nyingi hakufa!! Ndo ujue Mungu fundi anajua nani bado sijaamua kumuitaHuyo alikula shaba. Kidogo kuliko alizokula lussu.
Anataka kujustify kwamba mkataba wa DPW unapingwa kwasababu wawekezaji hao ni waarabu na waislam.So unataka kujustify nn labda!!
Na kimsingi watu wanapinga kwa hoja za kimkataba ila wao wanataka ujinga uhalalishwe kisa tu uarabu! Waarabu wenyewe wanao umoja wao na nchi ya huyu dada haimo ila mishipa inavyomkaza kutetea ushubwada uleAnataka kujustify kwamba mkataba wa DPW unapingwa kwasababu wawekezaji hao ni waarabu na waislam.
What a shame.
Huyo bi MKORA ni mdini san na hatufai Tanzania bora arudi kwao Abu Dhabi!!Anataka kujustify kwamba mkataba wa DPW unapingwa kwasababu wawekezaji hao ni waarabu na waislam.
What a shame.
Faiza Foxy, kama kawaida yenu, wenzako uko Nyamagana - Mwanza tayari wamerudi kwenye fani yenu ya kugombania misikiti. Hivi kweli akili zenu zimegota? Wenzenu katoliki wanafikiria kupanua huduma za shule na hospital nyie mnagombea miskiti na flame za maduka.Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?
Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?
Excuse na variation za kufa mtuYule kichaa angekuwapo, miradi yote hii ingekuwa imeshakamilika. Unafanya maskhara wewe; hakuna mradi uliokwama chini yake. Alikuwa anajua kusimamia watendaji wake, jambo ambalo mama haliwezi na hivyo kuwapo excuses za kila siku. Makamba kusimamia ujenzi wa bwawa lile ilikilikuwa ni kichekeso cha karne. SGR kusimamiwa na Mbarawa ndiyo basi tena; hawa watu hawakuwamo katika kabineti ya kichaa yule kwani aliwapima na kuwaondoa kutokana na madhaifu yao ambayo mama ameyarudisha na kusababisha uzembe na ucheleweshaji wote pamoja matatizo ya miradi hiyo sasa. Angalia jinsi zile flyovers zilivyojengwa in time; hata terminal 3 iliyokuwa imeshakwama wakati wa Kikwete, alipoisimamia ikakamilika.
Nyamagana inahusiana nini na uzi huu?Faiza Foxy, kama kawaida yenu, wenzako uko Nyamagana - Mwanza tayari wamerudi kwenye fani yenu ya kugombania misikiti. Hivi kweli akili zenu zimegota? Wenzenu katoliki wanafikiria kupanua huduma za shule na hospital nyie mnagombea miskiti na flame za maduka.
Kwanza uzi wako ni wa kimajungu majungu na kibaguzi kwa misingi ya Udini na Uzanzibar. Hii iliyotokea Nyamagana inahusu dini na majungu yenu dhidi ya maendeleo ya dini nyingine hasa katoliki. Nilitaka uone jinsi msivyo wa maana!!Nyamagana inahusiana nini na uzi huu?
Au umekosa hoja unahamisha magoli?
Umekosa hoja unaanza viroja.Kwanza uzi wako ni wa kimajungu majungu na kibaguzi kwa misingi ya Udini na Uzanzibar. Hii iliyotokea Nyamagana inahusu dini na majungu yenu dhidi ya maendeleo ya dini nyingine hasa katoliki. Nilitaka uone jinsi msivyo wa maana!!
Machungwana mananasiyote ni matundaMbona unachanganya machungwa na mananasi? Bi Kinyogoli Mkwere!
Zile ni tenda tunamchagua nani afanye kazi.
Bandari - Ni Funguo ya lango la nchi
wala hatukatai DPW wakabidhiwe, tusahihishe zile terms. Full stop
NaaminiFaizaFoxy umepitia "video clip" hii na kama bado isikilize uwe wazi kusema yaliyo ya ukweli na ya uwongo.Nawaza ingekuwa Mama Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR na Waturuki na Mkataba wa bwawa la kufulia umeme na Waarabu wa Misri. Pangetosha kweli?
Hivi tuliahidiwa na mwendazake Umeme wa bwawa la Steigler utaanza kufuliwa lini? Na SGR ya kwenda Morogoro ilitakiwa ianze lini?