Nawaza tu, kama mwenye haki ya matangazo angekua DSTV!

Nawaza tu, kama mwenye haki ya matangazo angekua DSTV!

Sasa yeye Azam ana hasara Gani wakati ameshauza vifurushi Tena kwa bei kubwa kwa watanzania wenzake. Waliopata hasara hapo ni wananchi walionunua vifurushi na wengine kusafiri kutoka mbali kuja kuona mechi hiyo.
Acha utani aisee bila Matangazo na Udhamini mwengine Azam hawezi rudisha hela yake kwa kutumia Vifurushi, Bilioni 250, makamera, wafanyakazi etc ni hela nyingi mno.
 
Utopolo vyura mmemuogopa Elia mpanzu asiwabandue
Wote tungekua na akili nani angeishabikia simba? Hamna akili nyie mashabiki wa simba kifurahia uongozi wenu kugomea kupeleka timu kwa sababu za kitoto kabisa. Mmewatia watu hasara bado mnakenua meno hapa
 
Tunachukuliana poa kwakua mmiliki wa haki ya matangazo ni MTanzania mwenzetu. Lakini proffessionally, financially hata socially anaenda kulilia chooni kwa hasara anayoingia na anafanya hivyo asiwakere waliompa tender.

Pole sana Azam, nia yako ni njema ila waliokupa kazi hawathamini jasho lako.
CAF CHAMPIONS LEAGUE fainali Esperance walishawahi kugomea mechi, timu ya taifa ya Nigeria mwaka jana waligomea mechi DSTV walifanya nini
 
Azam kama mrusha matangazo hajapata hasara, wananchi waliolipia vifurushi na makampuni yaliyopeleka matangazo yao ili yarushwe wakati wa mechi ndio wamepata hasara na pesa hairudishwi.
Mechi kuahirishwa haishushi brand ya Azam labla kama wao ndo mana walishindwa kurusha na sio vinginevyo mana sio mara ya kwanza kuonyesha derby.

Tangazo moja pale wakati wa mechi ya derby n 2M+
Mechi kuahirishwa haina athari kwa Azam sio? Hivi nyie mnadhani Azam biashara yake ipo tu kwenye kuuza vifurushi? Yaan akae tu anasubiri kuuza vifurushi kila mwezi ndio itakua big deal kwake. Kuna online streaming, kuna highlight za mechi anauza youtube, hata hao ambao wameshaingia mkataba wa matangazo ya kabla, wakati na baada ya mechi wewe unahisi hela zao ndio zimeenda hivyo hivyo lazima makubaliano yapo ikitokea incidence kama hizi,

unadhani kwa wakati mwingine biashara inaweza kuwa sawa kama matukio kama haya inaweza pelekea kukosa wadhamini. Sasa wewe akili yako imekaa tu kwenye kuuza vifurushi si angekua ameshafunga biashara kitambo karudi zake Oman kuvua samaki.
 
Bila shaka umeshamaliza kufuturu, au unasubiri daku ndo unirudie?
Mmekariri wanaofuturu ni waislamu peke yao. Sisi hatunaga daku mdogo wetu.

Acha kukurupuka tena hizi biashara ni zaidi ya uonavyo, tafuta maafisa masoko, maafisa biashara, wanasheria, wahasibu na hata ma PRO wa mataasisi mbalimbali wakueleze mziki ulivyo kuendesha taasisi hasa hizi binafsi ilivyo mtiti.
 
CAF CHAMPIONS LEAGUE fainali Esperance walishawahi kugomea mechi, timu ya taifa ya Nigeria mwaka jana waligomea mechi DSTV walifanya nini
Waligomea kwa sababu zipi? Wengi mnashindwa kuelewa kitu kidogo sana. Sababu iliyofanya mechi kuahirishwa ni ya kipuuzi hata mtoto wa darasa la saba atakwambia. Kwahiyo sio tu kugomea unagoma kwa sababu gani kuelekea kususia mechi?
 
In business wise

Hii match imeleta hasara sio tu kwa wananchi Ila hata kwa Azam .

Kuna Ambao wansema Azam tayari ameshapata hela yake

Jibu ni hapana kapata hasara isipokuwa hawezi kuongea. Wala kulalamika kwakuwa anaijua vizuri serikali ya Ccm.

Njia anzotumia Azam kuingiza pesa Sio kuuza Vingamuzi tu.

Ila kupitia online , kupitia matangazo ya wadhamani n.k

Na kupita huko na anapata Good prophet.

Ni ukosefu wa uelewa wa baadhi ya waswahili kutokujua mnyororo wa thamani katika Biashara.

Unfortunately nchi imebarikiwa low thinkers wengi ambao huwa hawaangalii mambo kwa upana wake zaidi ya kukurupuka.
 
Mechi kuahirishwa haina athari kwa Azam sio? Hivi nyie mnadhani Azam biashara yake ipo tu kwenye kuuza vifurushi? Yaan akae tu anasubiri kuuza vifurushi kila mwezi ndio itakua big deal kwake. Kuna online streaming, kuna highlight za mechi anauza youtube, hata hao ambao wameshaingia mkataba wa matangazo ya kabla, wakati na baada ya mechi wewe unahisi hela zao ndio zimeenda hivyo hivyo lazima makubaliano yapo ikitokea incidence kama hizi,

unadhani kwa wakati mwingine biashara inaweza kuwa sawa kama matukio kama haya inaweza pelekea kukosa wadhamini. Sasa wewe akili yako imekaa tu kwenye kuuza vifurushi si angekua ameshafunga biashara kitambo karudi zake Oman kuvua samaki.
Ww bado huna akili, hv unaelewa maana ya maneno yaliyo nje ya uwezo wetu? Hy incident Ingekuwa hasara kwa Azam kama wao ndo wameshindwa kurusha matangazo na sio team au TFF kuahirisha mechi.

Ety unasema highlights ya mechi 😂 sasa unasemaje highlights wakati mechi haijachezwa.

Yani ww unachosema n sawa na kusema kupata hasara kwenye biashara ambayo bado hujaanza kuifanya.
 
Sasa yeye Azam ana hasara Gani wakati ameshauza vifurushi Tena kwa bei kubwa kwa watanzania wenzake. Waliopata hasara hapo ni wananchi walionunua vifurushi na wengine kusafiri kutoka mbali kuja kuona mechi hiyo.
Kheeee..!!! Unadhani maandalizi yake hayana gharama???
 
In business wise

Hii match imeleta hasara sio tu kwa wananchi Ila hata kwa Azam .

Kuna Ambao wansema Azam tayari ameshapata hela yake

Jibu ni hapana kapata hasara isipokuwa hawezi kuongea. Wala kulalamika kwakuwa anaijua vizuri serikali ya Ccm.

Njia anzotumia Azam kuingiza pesa Sio kuuza Vingamuzi tu.

Ila kupitia online , kupitia matangazo ya wadhamani n.k

Na kupita huko na anapata Good prophet.

Ni ukosefu wa uelewa wa baadhi ya waswahili kutokujua mnyororo wa thamani katika Biashara.

Unfortunately nchi imebarikiwa low thinkers wengi ambao huwa hawaangalii mambo kwa upana wake zaidi ya kukurupuka.
Nadhani hakuna mtu anayepinga Azam kupata hasara, ila tunaangalia hasara kubwa ipo kwa nani kati ya Azam na wengineo, Azam hana hasara kubwa.

Kampuni imeshakula pesa za matangazo na mechi haijachezwa kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wa Azam afu utasemaje amepata hasara? Ingekuwa mechi imefanyika ila Azam hajayarusha ndo angetakiwa kurudisha pesa za watu mana kurusha matangazo yapo ndani ya uwezo wake ila mechi kuahirishwa n nje ya uwezo wake.
 
Mmekariri wanaofuturu ni waislamu peke yao. Sisi hatunaga daku mdogo wetu.

Acha kukurupuka tena hizi biashara ni zaidi ya uonavyo, tafuta maafisa masoko, maafisa biashara, wanasheria, wahasibu na hata ma PRO wa mataasisi mbalimbali wakueleze mziki ulivyo kuendesha taasisi hasa hizi binafsi ilivyo mtiti.
Kwa taarifa yako, mm nafanya kazi Azam tv.

Poor Brain em mthibitishie Huyu Fala.

Acha kiherehere kwenye kampuni za wanaume.
 
Me
Azam kama mrusha matangazo hajapata hasara, wananchi waliolipia vifurushi na makampuni yaliyopeleka matangazo yao ili yarushwe wakati wa mechi ndio wamepata hasara na pesa hairudishwi.
Mechi kuahirishwa haishushi brand ya Azam labla kama wao ndo mana walishindwa kurusha na sio vinginevyo mana sio mara ya kwanza kuonyesha derby.

Tangazo moja pale wakati wa mechi ya derby n 2M+m

Nadhani hakuna mtu anayepinga Azam kupata hasara, ila tunaangalia hasara kubwa ipo kwa nani kati ya Azam na wengineo, Azam hana hasara kubwa.

Kampuni imeshakula pesa za matangazo na mechi haijachezwa kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wa Azam afu utasemaje amepata hasara? Ingekuwa mechi imefanyika ila Azam hajayarusha ndo angetakiwa kurudisha pesa za watu mana kurusha matangazo yapo ndani ya uwezo wake ila mechi kuahirishwa n nje ya uwezo wake.
Una akili ndogo sana wewe ng'ombe



Watu wamelipia Matangazo unasema hawajapata hasara ?



Last consumer alielipia king'amuzi amepata hasara ya kutoona mechi ya Simba na Yanga tu ila king'amuzi ni cha mwezi anaweza kuona mechi zingine.


Vipi wafanyabiashara ambao walilipa matangazo na inabidi walipe Kodi serikalini Kwa kutegemea revenues zinazotokana na hiyo mechi.


Idiot wewe
 
Endelea kuwaza tu.
KAZI ni kipimo cha utu
 
Tunachukuliana poa kwakua mmiliki wa haki ya matangazo ni MTanzania mwenzetu. Lakini proffessionally, financially hata socially anaenda kulilia chooni kwa hasara anayoingia na anafanya hivyo asiwakere waliompa tender.

Pole sana Azam, nia yako ni njema ila waliokupa kazi hawathamini jasho lako.
Naomba ueleze hasara aliyopata Azam kwa kutoonyesha mpira wa jana
 
Back
Top Bottom