[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nomaHawana dawa! Wanauwezo wa kuwa living na non living! Wana uwezo wa kukimbia speed kubwa zaidi ya bus la superfeo waenda 230km/h
Wana uwezo wa kunyonya damu bila kung'ata injection!
Kwahiyo dawa ya hao ni kuchoma vyote vilivyomo chumbani halafu upake rangi upwa!
Bei ni sh ngapTumia LAVA aliyoweka jamaa juu hapo kuna ya kila kizibo kimoja na nusu unachanganya Lita moja ya maji mwagia kila Arch kitandani na chumbani kote sumu yake kali inauwa mpaka mayai mbu utaona wamedondoka chini
Bei ni sh ngap
Hawa wadudu wengi wanapatikana kwenye dalalala na hz guest bubu za 5000 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uliwapata kwenye shule ya bweni au kwenye daladala?? Tehtehteh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanawakumbusha sioUtamaliza dawa zote hizo, Dawa yao ni moja tu kuoa tu!OA kijana hawa wadudu huwakumbusha mabachela kuwa time ya useja imekwisha.
Walio jaribu mbinu hiyo waulize Kilichowakuta, hakuna Wadudu Wanaweza vumilia njaa muda mrefu kama kunguni...hiyo siku utakayorudi ndio Wanafufuka sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hakuna rangi utaacha onaSema unakuta unawaua ndio lakini huangamizi mayai yao ndo maana mzunguko wa maisha yao bado unaendelea
Dawa ni kuwasusia kitanda na godoro lao kama miezi minne au mitatu utakuta wamehama wote mimi nilifanya ivo ni wasusia vyote kujakurudi na lala kwa raha zote.
For sureHawa wadudu ni shidaa... kando ya mbu , kunguni ndo mdudu nisiyempenda hata kumuona , harufu ya damu yake ni ya kufisha .... Wakikuingilia kuwatoa inahtaji kazi ya ziada , usafi wa hali ya juu ndo kitu pekee kinachoweza kukuweka mbali na hawa viumbe , pia ndani usirundike vitu vingi hasa nguo nyingi ambazo zinakaa mda mrefu bila kufuliwa , in short vumbi na mrundikano wa nguo hasa zisizofuliwa na eneo kuwa na mzunguko mdog wa hewa pamoja na joto ni vyanzo vikuu vya kuwepo Kwa kunguni
Ukifika Njombe utakuta guest house yenye hadhi na Bei ya juu bado Kuna kunguni na chawa. Hasa chawaHawa wadudu wengi wanapatikana kwenye dalalala na hz guest bubu za 5000 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dooh ! Bhac Hali n mbaya SanaUkifika Njombe utakuta guest house yenye hadhi na Bei ya juu bado Kuna kunguni na chawa. Hasa chawa
Pia wewe kumuua yeye ndio nature yenyewe ushawai ona prey anakubali kuliwa na predator tu kirahisiSasa mnataka hizo parasites zile Nini nawakati main diet yao Ni human blood! Halafu haziambukizi maradhi Kama mbu!
Acheni nature ifanye kazi yake,huko kuchemsha maji na ma akheri powder Ni ku break laws of nature!
Jifunze kutofautisha Kati ya prey na host!!Pia wewe kumuua yeye ndio nature yenyewe ushawai ona prey anakubali kuliwa na predator tu kirahisi
Ukisema unamuua kunguni pasipo kupata mlo wowote kwake unasemaje Ni nature inafanya kazi!Pia wewe kumuua yeye ndio nature yenyewe ushawai ona prey anakubali kuliwa na predator tu kirahisi
Huu ubovu wa keybord unaninyima uhuru sanaUkisema unamuua kunguni pasipo kupata mlo wowote kwake unasemaje Ni nature inafanya kazi!
Manake hata Simba haui prey bila sababu Ni kwaajili ya mlo!
Ili na yeye afe aliwe either na fisi au microorganisms!
Ukimuua kunguni una play part gani kwenye ecology zaidi ya kupunguza miwasho tu!!
Tatizo binadamu hatupendi hata vikero vidogo vidogo!!
Pamoja mkali nilitaka kuku challenge kidogo!Huu ubovu wa keybord unaninyima uhuru sana
Yaani simba akitaka muua nyati kwa msosi nyati anaturn kutaka kumua simba ili kujirinda
Sisi ni prey kwa kunguni tunauwa kunguni kama nyati ana;
Natural hakuna prey anakubali kuliwa na predator ni hitajio la kila prey kumuuwa predador for their prote
Sasa swala ajapewa uweo huwo kumuua simba nyati kidogo kspewa binadamu kapewa full ndio maana utaposikia simba kala mtu huyó kifo kinamuhusu kaingilia spishi yenye full power ya kiji protekti
Keyborad mbovu nimejitahidi
labda urudi naoWalio jaribu mbinu hiyo waulize Kilichowakuta, hakuna Wadudu Wanaweza vumilia njaa muda mrefu kama kunguni...hiyo siku utakayorudi ndio Wanafufuka sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hakuna rangi utaacha ona