Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mpaka ampe ndio atangaze ndoa?Alishakupa?
We nikikuambia nna kuku huku namuuza 20 utatoa tu hela?kwani mpaka ampe ndio atangaze ndoa ?
Kwako wee natoa hadi ya kutoleaWe nikikuambia nna kuku huku namuuza 20 utatoa tu hela?
Aibu naona mimi....
Hautaki kumuona kwanza?kwako wee natoa hadi ya kutolea
Hivi ukienda dukani ukinunua soda utataka uionje ndo ununue au unanua kisha utaonja ukishalipia ?Hautaki kumuona kwanza?
Naiona, nanunua, naonja, nakunywa.....Hivi ukienda dukani ukinunua soda utataka uionje ndo ununue au unanua kisha utaonja ukishalipia ?
Wewe inaonekana unaishi kwa kaka yako pamoja na huyo mdogo mtu na kwa sababu wewe ni domo zege na unapenda vya kunyonga ukaamua kuchekacheka na yeye akachekacheka mkajikuta mmeduuu, yaani hiyo inaitwa hakuna kutongoza... Toka nenda kaanze maisha ya kujitegemea utaona mali mpya sokoni acha kudowea hapo home kwa bro wako.Habari za muda huu wana jf!
Niende moja kwa moja kwenye mada kama kichwa kinavyojieleza hapo.
Nimempenda mdogo wake na mke wa kaka yangu. Je naweza kuoa??
Kimaadili imekaaje hii?
Msaada tafadhali
Unajua hata Mussa aliiona nchi ya ahadi ila hakufikaNaiona, nanunua, naonja, nakunywa.....
Utanifungiaje tu huko kwenye mfuko sijaiona, ukiniwekea whitedent badala ya soda!
Alifanya jitihada zozote lakini?! Au alikaa kusubiri muujiza?unajua hata Mussa aliiona nchi ya ahadi ila hakufika
Ngoja nikasome upyaAlifanya jitihada zozote lakini?! Au alikaa kusubiri muujiza?