Naweza kuoa mwanamke kutoka nyumba alipooa kaka yangu?

Naweza kuoa mwanamke kutoka nyumba alipooa kaka yangu?

UnawazA that means tayari upo nae kwenye mahusiano au ndo unataka kukurupuka kuoa bila kujali lolote kisa kaka yako anapata matunzo mazuri kwa shemeji yako basi na wewe unataka ukayapate kwa mdogo wake.

Ndugu wawili wanaweza kuwa na tabia tofauti.Jifunze zaidi kutongoza labda mawazo yako yatapotea siku moja.Maana unachokifanya ni kutaka kuleta mjadala wa kifamilia ambao hauna ulazima.
 
Inategemea na utamaduni wa jamii husika.

Kuna baadhi ya Koo na Makabila huruhusiwi kuoa shemeji yako na ni mwiko, maana yake ni kuwa Ndugu yako akishaoa mahali nyie wengine mnabaki kuwa familia tu na huruhusiwi kuoa

Ila pia kuna baadhi ya Koo na Makabila mna ruhusiwa kuoa wake kutoka familia Moja Yani wewe , kaka yako na ndugu zako wengine mnaruhusiwa kuoa Sehemu Moja au familia Moja kama wapo wadada wa kutosha na mmependana kweli

Cha Msingi fatilia au uliza KWA wazee kama inaruhusiwa then take action
All the best
Nashukuru sana mkuu, nitafanya hivyo
 
UnawazA that means tayari upo nae kwenye mahusiano au ndo unataka kukurupuka kuoa bila kujali lolote kisa kaka yako anapata matunzo mazuri kwa shemeji yako basi na wewe unataka ukayapate kwa mdogo wake..

Ndugu wawili wanaweza kuwa na tabia tofauti.Jifunze zaidi kutongoza labda mawazo yako yatapotea siku moja.Maana unachokifanya ni kutaka kuleta mjadala wa kifamilia ambao hauna ulazima.
Ndo nataka kuona kama inawezekana, na nimeona ni busara kuuliza kwenye hili jukwaa lililojaa watu wenye mitizamo na fikra tofauti tofauti
 
Kwani kaka yako anasemaje? Na Hugo shemeji yako anasemaje? Maana tusije ongea kumbe hao hawana hata wazo na wewe
Wana wasi wasi na mimi pengine nipo kwenye mahusiano na shemeji na huenda nisioe
 
Hivi ukienda dukani ukinunua soda utataka uionje ndo ununue au unanua kisha utaonja ukishalipia ?
Miaka yote soda ufanana ndio maana hatuonji lkn ile dah!, kwan uliwahi kunywa soda ukakuta ina maji mengi?
 
Back
Top Bottom