- Thread starter
- #41
Hofu yangu mim ni kuonekan sina nidham, ila kama haina shida kwa tamaduni zetu basi mi naoaInawezekana watu wanaoa mpka binamu sembuse huyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hofu yangu mim ni kuonekan sina nidham, ila kama haina shida kwa tamaduni zetu basi mi naoaInawezekana watu wanaoa mpka binamu sembuse huyo
Miaka yote soda ufanana ndio maana hatuonji lkn ile dah!, kwan uliwahi kunywa soda ukakuta ina maji mengi?[\b]
Unadhani kila aliyoko hapa yuko TzHujawahi kunywa soda za buguruni wewe
Haina shida kabisaHofu yangu mim ni kuonekan sina nidham, ila kama haina shida kwa tamaduni zetu basi mi naoa
Swali lenye Akili mingi.Alishakupa?
Eeh linapikiwa, vipi?!!Swali lenye Akili mingi.
Hivi Eve, jiko lako linapikiwa?
Nakuagiza ufanye kuni-dip ili niku-miss-call na ili mambo yasiwe mengi,Eeh linapikiwa, vipi?!!
Nina shughuli zangu mbona mkuuNyie mashemeji huwaga nuksi sana huoni pengine unakomalia kwa kaka yako tu
Hebu acha kula ugali wa shemeji yako toka ukatafte kwako utawaona wengi tu acha habari za kusema moyo umedondokea.
Sawa mkuu nimepokeaHaina shida kabisa
Kwa maoni ya wengi humu naona kabisa naweza kuoa,Oa tu
Shaka ondoa bossNakuagiza ufanye kuni-dip ili niku-miss-call na ili mambo yasiwe mengi,
Namaanisha.
Promises in lie....🥲Shaka ondoa boss