Dogo kweli umeshindikana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbona hilo jambo dogo sana..mwingine anaoa hadi huyo mke wa kaka yake
Kabla sijaoa ndo nauliza ni sahihi.Oa tu mkuu. Wakibisha sana mpe uja wepesi watamleta tu.
Ndio tushawahai kuishi pamojaKama ushawahi kuish nao hapo nyumbani aipendez
Mhhh! Hii kali sasaMbona hilo jambo dogo sana..mwingine anaoa hadi huyo mke wa kaka yake
Nashukuru sana mkuu, nitafanya hivyoInategemea na utamaduni wa jamii husika.
Kuna baadhi ya Koo na Makabila huruhusiwi kuoa shemeji yako na ni mwiko, maana yake ni kuwa Ndugu yako akishaoa mahali nyie wengine mnabaki kuwa familia tu na huruhusiwi kuoa
Ila pia kuna baadhi ya Koo na Makabila mna ruhusiwa kuoa wake kutoka familia Moja Yani wewe , kaka yako na ndugu zako wengine mnaruhusiwa kuoa Sehemu Moja au familia Moja kama wapo wadada wa kutosha na mmependana kweli
Cha Msingi fatilia au uliza KWA wazee kama inaruhusiwa then take action
All the best
Nini?Alishakupa?
Ndo nataka kuona kama inawezekana, na nimeona ni busara kuuliza kwenye hili jukwaa lililojaa watu wenye mitizamo na fikra tofauti tofautiUnawazA that means tayari upo nae kwenye mahusiano au ndo unataka kukurupuka kuoa bila kujali lolote kisa kaka yako anapata matunzo mazuri kwa shemeji yako basi na wewe unataka ukayapate kwa mdogo wake..
Ndugu wawili wanaweza kuwa na tabia tofauti.Jifunze zaidi kutongoza labda mawazo yako yatapotea siku moja.Maana unachokifanya ni kutaka kuleta mjadala wa kifamilia ambao hauna ulazima.
Wana wasi wasi na mimi pengine nipo kwenye mahusiano na shemeji na huenda nisioeKwani kaka yako anasemaje? Na Hugo shemeji yako anasemaje? Maana tusije ongea kumbe hao hawana hata wazo na wewe
Ahahahahaha.Oa tu mkuu. Wakibisha sana mpe uja wepesi watamleta tu.
Hautaki kumuona kwanza?
Alishakupa, Go ahead....??Nini?
MO11 ananunua bila kuona ππ€£π€£π€£π€£π€£nionyeshe Kuku Evelyn Salt mie napenda nimuone kwanza πππ
UmeadimikaaaDogo kweli umeshindikana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nipo nimejaa tele son.Umeadimikaaa
mie mwenyewe nimegoma kuonyeshwa itakuwaje nimruhusu akuonyeshe weweHahahahahahaha MO11 hebu acha roho mbaya ili nionyeshwe kuku, kwani nimesema namchukua? si namuangalia tu kisha naondoka zangu?
πππ
Miaka yote soda ufanana ndio maana hatuonji lkn ile dah!, kwan uliwahi kunywa soda ukakuta ina maji mengi?Hivi ukienda dukani ukinunua soda utataka uionje ndo ununue au unanua kisha utaonja ukishalipia ?