Naweza kuomba uhamisho wa ndani ya Halmshauri bila ya kuthibitishwa kazini?

Naweza kuomba uhamisho wa ndani ya Halmshauri bila ya kuthibitishwa kazini?

Wababa13

Senior Member
Joined
Dec 27, 2017
Posts
105
Reaction score
70
Habari ya muda huu wadau na Heri ya Mwaka Mpya 2023

Samahani nauliza ivi Mtumishi wa Umma unaweza kuomba uhamisho wa ndani mfano toka Kijiji kimoja kwenda Kijiji kingine na huku bado haujathibitishwa kazini ndani ya Halmshauri iyo iyo unayofanyia kazi?
 
Huwez kupata hata ukipata wa kubadilishana nae, hadi uthibitishwe
 
Habari ya muda huu wadau na Heri ya Mwaka Mpya 2023

Samahani nauliza ivi Mtumishi wa Umma unaweza kuomba uhamisho wa ndani mfano toka Kijiji kimoja kwenda Kijiji kingine na huku bado haujathibitishwa kazini ndani ya Halmshauri iyo iyo unayofanyia kazi?
💯 Yes.

Sasa hiyo si sawa tu na kuhama eneo lako la kazi kwenda jingine.

Ni process ya siku moja tu, Tena masaa.

Nenda tu kwa Mkuu wako wa idara, mwambie. Anakuandikia barua tu ya kwenda kwenye kituo chako kipya.
 
[emoji817] Yes.

Sasa hiyo si sawa tu na kuhama eneo lako la kazi kwenda jingine.

Ni process ya siku moja tu, Tena masaa.

Nenda tu kwa Mkuu wako wa idara, mwambie. Anakuandikia barua tu ya kwenda kwenye kituo chako kipya.
Asante sana kwa Ushauri, nitafanyia kazi.
 
Habari ya muda huu wadau na Heri ya Mwaka Mpya 2023

Samahani nauliza ivi Mtumishi wa Umma unaweza kuomba uhamisho wa ndani mfano toka Kijiji kimoja kwenda Kijiji kingine na huku bado haujathibitishwa kazini ndani ya Halmshauri iyo iyo unayofanyia kazi?
Unaweza nenda kwa Deo
 
Hapana ndugu yangu, sio chanzo icho.. wala uko mimi sipo

Ilikuwa ni kuwaelewesha wananchi kuhusiana na Sheria na Miongozo ya Serikali.. sasa ikaonekana kuwa mimi napinga taratibu zao walizojiwekea ambazo zipo Kinyume na Serikali, mfano Ardhi ya Kijiji inagawiwa na Serikali ya Kijiji sasa wao wanaforce Chifu awe anagawa Ardhi alafu mimi VEO naandika barua ya Kuthibitisha kuwa ni kweli Chifu amegawa ardhi ivyo ni kama namtambulisha mtu aliyepewa ardhi ya Kijiji Kinyume na sheria.. ndugu yangu nikaanza kushambuliwa kana kwamba mimi napinga mila zao akati akati Sheria ya Ardhi ya Vijiji no 5 ya 1999 haizungumzi kuwa Chifu anagawa Ardhi, bali Kijiji ndo kilichopewa ardhi kwa niaba ya Rais.. inafikia hatua mpaka Viongozi wa Kijiji wanaanza kuonesha chuki, akati mimi nawasaidia wao kwa kutafsiri Sheria.
wapi huko kwenye machifu
muone afisa utumishi atakusaidia rafiki
 
Uhamisho wa ndani ya halmashauri una wezekana, ila wakutoka nje ya halmashauri ndio una mashart mengi hasa ukiwa unaomba wewe binafsi

Ila kama serikali yenyewe ikitaka tu unaamishwa kwenda popote nchi kufanya kazi (NB: ila kwa taratibu na mamlaka waliyonayo wenye mamlaka ya kufanya hivyo)

Ukicheza unaweza poteza kibarua, hizo kesi za ardhi zina ondoa watu maofisini. Na moja ya matatizo makubwa ktk vijiji ni migogoro ya ardhi, kwa kuwa ndio rasilimali pekee wanayo itegemea ktk uzalishaji mali

Kama kilimo, ufugaji nk...!

13DAB2E1-604C-46BC-9A32-9318ADD4124E.png
 
Back
Top Bottom