nipo online
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,039
- 2,657
Sasa mkuu natapeliwa vip wakati yeye kazi yake ni kutuma tu? Silipii chochote na akisema nilipie situmi kitu kwanza mimi maskini sina ela hata sentWewe utatapeliwa.
Huyo ndugu yako ni Mtanzania au ndio wale marafiki wa mtandaoni?
Vip boss process zake?tumia posta na kua makini
Ni ndugu yako au mmejuana online?Kuna ndugu mmoja yupo Marekani California amepark mzigo wenye device mbali mbali wenye thamani dola 26000. Kwa wazoefu naomba kujua namna ya kuupata huu mzigo Asante.
Sawa naweza pata namna gani naweza kua makini?tumia posta na kua makini
Kaka unanipiga maswali badala ya kuniasaidia maarifaNi ndugu yako au mmejuana online?
Kuna utapeli ndio maana ana kuuliza mkuuKaka unanipiga maswali badala ya kuniasaidia maarifa
Mbna unapanic mapema hvo? Kwani kunijibu swali langu kungekupunguzia nini? Au unajua n nn nahitaj nikwambie?Kaka unanipiga maswali badala ya kuniasaidia maarifa
Nafahamu mkuu siwezi tuma chochote kwa yeyote bila mzigo hii ndo kanuni yangu siku zoteKuna utapeli ndio maana ana kuuliza mkuu
Wewe unataka kunidiskareji mara ooh matapeli nimesema siwezi tuma chochote kwa yeyote bila mzigo.Mbna unapanic mapema hvo? Kwani kunijibu swali langu kungekupunguzia nini? Au unajua n nn nahitaj nikwambie?
Anakuuliza sababu anataka kukusaidia. Kama ndio wale wa online jiandae kupigwa.Kaka unanipiga maswali badala ya kuniasaidia maarifa
Hahah maisha magumu yanatupa utundu kila uchaoDogo unaonekana ni mjasirianali,utafika mbali sana usipokengeuka!
Sio kirahisi hivyoAnakuuliza sababu anataka kukusaidia. Kama ndio wale wa online jiandae kupigwa.
Duh eeeh kazi ipo kwelikweliWewe unataka kunidiskareji mara ooh matapeli nimesema siwezi tuma chochote kwa yeyote bila mzigo.
Rejea katika uzi nimead somethingMzee jibu maswali wanayokuuliza hao jamaa. Wengi tumeshakutana nao hadi picha ya mzigo wanakutumia ukiwa tayari kutumwa.
Story ni hizo hizo za device mbalimbali.