Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Nimekuuliza kuwa huyo mtumaji ni ndugu yako wa damu?Sasa mkuu natapeliwa vip wakati yeye kazi yake ni kutuma tu? Silipii chochote na akisema nilipie situmi kitu kwanza mimi maskini sina ela hata sent
Maana kuna wale matapeli wa Facebook na Instagram wanatuma then kesho wanakuambia mzigo uko Kenya wasiliana nao . Kisha jamaa wanakupiga ya chap.
Mambo ya diplomatic parcel