Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Nimekuuliza kuwa huyo mtumaji ni ndugu yako wa damu?Sasa mkuu natapeliwa vip wakati yeye kazi yake ni kutuma tu? Silipii chochote na akisema nilipie situmi kitu kwanza mimi maskini sina ela hata sent
Mzigo utakuja moja kwa moja adi nilipo ndo maelekezo yake hakuna mambo ya kenya,Nimekuuliza kuwa huyo mtumaji ni ndugu yako wa damu?
Maana kuna wale matapeli wa Facebook na Instagram wanatuma then kesho wanakuambia mzigo uko Kenya wasiliana nao . Kisha jamaa wanakupiga ya chap.
Mambo ya diplomatic parcel
It wiill absolutely end in tears.Rejea katika uzi nimead something
MI hawawezi nitapeli nishakutana nao hawa hapa namzoom tuKwa ufupi hapo hamna mzigo. Ni biashara ya utapeli inayofanywa na vijana wa gen Z wa Kenya
I understand everything, it won'tIt wiill absolutely end in tears.
Umekutana na matapeli wanataka kukupiga. Watanzania hamjifunzi kila siku njia ile ile. Bila shaka ulikutana naye facebook. Baadaye watakwambia mzigo umefika nchi karibu na tz sasa 8nabd ufike tz ila gharama za kuutoa pale utume wewe.Kuna ndugu mmoja yupo Marekani California amepark mzigo wenye device mbali mbali wenye thamani dola 26000. Kwa wazoefu naomba kujua namna ya kuupata huu mzigo Asante.
Your package contains
26000/USD money
4 coverage cameras
2HP computer set
6toshiba laptops
5 iPads
5 Iphone
25 samsung tabs
2black berry smartphone
5 golden watchs
18 Jowereries
18 photos of my self
9 T-shirt having USA map
6 power banks 3000vlts
Devices alizolist ndo nilizowahi kupewa list yake. Huyu ndugu yetu tunamuuliza maswali muhimu anahisi kama tunamchora.Nimekuuliza kuwa huyo mtumaji ni ndugu yako wa damu?
Maana kuna wale matapeli wa Facebook na Instagram wanatuma then kesho wanakuambia mzigo uko Kenya wasiliana nao . Kisha jamaa wanakupiga ya chap.
Mambo ya diplomatic parcel
Hapana hajasema hivyoUmekutana na matapeli wanataka kukupiga. Watanzania hamjifunzi kila siku njia ile ile. Bila shaka ulikutana naye facebook. Baadaye watakwambia mzigo umefika nchi karibu na tz sasa 8nabd ufike tz ila gharama za kuutoa pale utume wewe.
Kaka mbona nimekujibu?Devices alizolist ndo nilizowahi kupewa list yake. Huyu ndugu yetu tunamuuliza maswali muhimu anahisi kama tunamchora.
Ndicho kitafuata yani msg hiyo ndio wanatumiwaga watu wengi hivyo hivyo ikibadilika badala ya hp wanaweka appleHapana hajasema hivyo
Akileta izo pigo nablokNdicho kitafuata yani msg hiyo ndio wanatumiwaga watu wengi hivyo hivyo ikibadilika badala ya hp wanaweka apple
Kuwa makini P Diddy ana mbinu nyingi sana 50 Cent alipigwa ofa ya shopping akastuka.Kuna ndugu mmoja yupo Marekani California amepark mzigo wenye device mbali mbali wenye thamani dola 26000. Kwa wazoefu naomba kujua namna ya kuupata huu mzigo Asante.
Your package contains
26000/USD money
4 coverage cameras
2HP computer set
6toshiba laptops
5 iPads
5 Iphone
25 samsung tabs
2black berry smartphone
5 golden watchs
18 Jowereries
18 photos of my self
9 T-shirt having USA map
6 power banks 3000vlts