Nawezaje kuacha kuishi na kinyongo kwa mtu huyu

Nawezaje kuacha kuishi na kinyongo kwa mtu huyu

Ukiona Bado unabeba long-term Grudges Juu ya Mtu Fulani ambaye mlikwazana naye kitambo .......Kaa ukijua haukujipa Muda wa Ku Heal yourself!.....hauja Move On hata kama ni 1000years imepita[emoji38].

"They are your Ex for a Reason", it wasn't a Coincidence!

Piga hatua Moja nyuma .... Observe, Observe and Observe!

Mahusiano Mengi ya Dunia ya Sasa ni Narcissistic relationships ......Mahusiano ya kimaslahi na si Upendo wa kweli!


Kwa Mimi FALSAFA yangu Ex akirudi Huwa najua amekuja na Mikakati ya Kuni Destroy Nipotee Mazima !

Piga Chini ......Heal yourself/Cutdown spiritual ties.

Kinachokuunganisha wewe na Ex wako ni Energies zakingono tu nothing else!
 
Hahahaa 😂😂 Koo anampaa...umwamba utakua wapii saa. Ila kama alimfukunyua huyo hastahili kunyimwa maku tayari anaishi nae kwenye chain ya Maisha yake!
 
nilikutana naye humu humu jamiiforums, nakiri nilimpenda sana sana anajua hili, ghafla tulitofautiana padogo bas akanibwaga,nikajaribu kumcheki kwenye email, hangout, sjui wasap kibaya akabadili id nakiri siijui id yake ya sasa,ila kwakipindi kile nilijitahidi kufanya jitihada nyingi mwisho nikawa naomba misamaha bas tuyajenge lakini mnajua mumivu ya kua ignored? hakuna majibu, sijjibiwa chohote nikajiongeza mtoto wa kike nikaendelea na maisha yangu, mwanzoni niliishi kwa tabu sababu bado nilijua kuna siku atanitafta ilipofika mwaka nikasema huyu si wangu tena.

nikaendelea na maisha yangu, et baada ya ten good fucking years huyu kiumbe amerejea with a just simple excuse, jaman sijalala nina hasira mpaka muda huu nawezaje kuondoa kinyongo nawezaje, najua utasoma hii thread, kinachoniumiza ni kuona naonewa mwenzenu, i tried to search a version of him kwa watu ambao nimekutana nao baada yake, hakuna aliemfikia, he was so special lakini kwa alionitendea sina ham naye

D, nilikupenda ukanilipa unayostahili, ni heri usingejileta umenifanya napata flashbacks kibao najitahidi kukusahau lakini nashindwa kinachoishi moyon mwangu ni hasira na chuki, nawezaje kuondoa hii hali wenzangu nisaidieni.
Maandiko matakatifu yanatuasa tusamehe 7 mara sabini shusha kinyongo na usamehe muyajenge.
 
Hakukupenda ila saizi anakupenda kweli na wewe bado unampenda kwaiyo mnapendana [emoji16]
 
nilikutana naye humu humu jamiiforums, nakiri nilimpenda sana sana anajua hili, ghafla tulitofautiana padogo bas akanibwaga,nikajaribu kumcheki kwenye email, hangout, sjui wasap kibaya akabadili id nakiri siijui id yake ya sasa,ila kwakipindi kile nilijitahidi kufanya jitihada nyingi mwisho nikawa naomba misamaha bas tuyajenge lakini mnajua mumivu ya kua ignored? hakuna majibu, sijjibiwa chohote nikajiongeza mtoto wa kike nikaendelea na maisha yangu, mwanzoni niliishi kwa tabu sababu bado nilijua kuna siku atanitafta ilipofika mwaka nikasema huyu si wangu tena.

nikaendelea na maisha yangu, et baada ya ten good fucking years huyu kiumbe amerejea with a just simple excuse, jaman sijalala nina hasira mpaka muda huu nawezaje kuondoa kinyongo nawezaje, najua utasoma hii thread, kinachoniumiza ni kuona naonewa mwenzenu, i tried to search a version of him kwa watu ambao nimekutana nao baada yake, hakuna aliemfikia, he was so special lakini kwa alionitendea sina ham naye

D, nilikupenda ukanilipa unayostahili, ni heri usingejileta umenifanya napata flashbacks kibao najitahidi kukusahau lakini nashindwa kinachoishi moyon mwangu ni hasira na chuki, nawezaje kuondoa hii hali wenzangu nisaidieni.
Kama unampenda we funika kombe mrudie yaishe wanaume wote tuko hivyo hyvyo tu Gubu la 1500 na Kuzira kwa 10000 msikilize yaishe ikiwezekana mnialike kwenyr harusi
 
[emoji15][emoji15]mmmh mapenz sametimes ni kupoteana mda tu
 
Back
Top Bottom