Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Wafungulie jarada mkuu itakua rahisi kwakoNaweza kuwa nahusishwa na kila Ke wa humu sasa🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wafungulie jarada mkuu itakua rahisi kwakoNaweza kuwa nahusishwa na kila Ke wa humu sasa🤣🤣🤣
Weeeh hivi nimefikisha 10 kumbe🤣🤣🤣Uko na 10+yrs humu, hizo mambo zilitisha sana kipindi hicho. Sema ukweli tumshinde shetty🤣🤣
Nimependa jibu lako my.. 😀Ndio my 😂
Ukute ni gay alafu umu Jf kuna ukwara😂Nimependa jibu lako my.. 😀
Hamna bana..ni mdadaUkute ni gay alafu umu Jf kuna ukwara😂
Dondosha pisi apa alafu ujipigie makofiHamna bana..ni mdada
Uyu kapigwa fimbo ya mbali 😂Kwendraaa
😁Uyu kapigwa fimbo ya mbali 😂
Kwann umemfanyia hivo
Maandiko matakatifu yanatuasa tusamehe 7 mara sabini shusha kinyongo na usamehe muyajenge.nilikutana naye humu humu jamiiforums, nakiri nilimpenda sana sana anajua hili, ghafla tulitofautiana padogo bas akanibwaga,nikajaribu kumcheki kwenye email, hangout, sjui wasap kibaya akabadili id nakiri siijui id yake ya sasa,ila kwakipindi kile nilijitahidi kufanya jitihada nyingi mwisho nikawa naomba misamaha bas tuyajenge lakini mnajua mumivu ya kua ignored? hakuna majibu, sijjibiwa chohote nikajiongeza mtoto wa kike nikaendelea na maisha yangu, mwanzoni niliishi kwa tabu sababu bado nilijua kuna siku atanitafta ilipofika mwaka nikasema huyu si wangu tena.
nikaendelea na maisha yangu, et baada ya ten good fucking years huyu kiumbe amerejea with a just simple excuse, jaman sijalala nina hasira mpaka muda huu nawezaje kuondoa kinyongo nawezaje, najua utasoma hii thread, kinachoniumiza ni kuona naonewa mwenzenu, i tried to search a version of him kwa watu ambao nimekutana nao baada yake, hakuna aliemfikia, he was so special lakini kwa alionitendea sina ham naye
D, nilikupenda ukanilipa unayostahili, ni heri usingejileta umenifanya napata flashbacks kibao najitahidi kukusahau lakini nashindwa kinachoishi moyon mwangu ni hasira na chuki, nawezaje kuondoa hii hali wenzangu nisaidieni.
Kama unampenda we funika kombe mrudie yaishe wanaume wote tuko hivyo hyvyo tu Gubu la 1500 na Kuzira kwa 10000 msikilize yaishe ikiwezekana mnialike kwenyr harusinilikutana naye humu humu jamiiforums, nakiri nilimpenda sana sana anajua hili, ghafla tulitofautiana padogo bas akanibwaga,nikajaribu kumcheki kwenye email, hangout, sjui wasap kibaya akabadili id nakiri siijui id yake ya sasa,ila kwakipindi kile nilijitahidi kufanya jitihada nyingi mwisho nikawa naomba misamaha bas tuyajenge lakini mnajua mumivu ya kua ignored? hakuna majibu, sijjibiwa chohote nikajiongeza mtoto wa kike nikaendelea na maisha yangu, mwanzoni niliishi kwa tabu sababu bado nilijua kuna siku atanitafta ilipofika mwaka nikasema huyu si wangu tena.
nikaendelea na maisha yangu, et baada ya ten good fucking years huyu kiumbe amerejea with a just simple excuse, jaman sijalala nina hasira mpaka muda huu nawezaje kuondoa kinyongo nawezaje, najua utasoma hii thread, kinachoniumiza ni kuona naonewa mwenzenu, i tried to search a version of him kwa watu ambao nimekutana nao baada yake, hakuna aliemfikia, he was so special lakini kwa alionitendea sina ham naye
D, nilikupenda ukanilipa unayostahili, ni heri usingejileta umenifanya napata flashbacks kibao najitahidi kukusahau lakini nashindwa kinachoishi moyon mwangu ni hasira na chuki, nawezaje kuondoa hii hali wenzangu nisaidieni.
Huu uzi una maana gani labda nyoosha[emoji15][emoji15]mmmh mapenz sametimes ni kupoteana mda tu