Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah wapi! Tena nahisi zamani walikulana kuliko sasa hivi maana walikuwa wanavurugana humu jukwaani balaa🤣🤣🤣Jamaniii hawa member wa zamani si wanasema ya mwanzo jf ilikuwa haina vijana wa hovyo imekuwaje tena 😁😁😁😁
We hapo🤣🤣Kwani ameshafahamika huyo mhanga wa tukio?
Naweza kuwa nahusishwa na kila Ke wa humu sasa🤣🤣🤣We hapo🤣🤣
Hukuwa mmoja wa waliokuwa wanavurugana?🤣Aaah wapi! Tena nahisi zamani walikulana kuliko sasa hivi maana walikuwa wanavurugana humu jukwaani balaa🤣🤣🤣
Walipangwa hadi sio poa.
Uko vizuri🤣Naweza kuwa nahusishwa na kila Ke wa humu sasa🤣🤣🤣
Hukuwa mmoja wa waliokuwa wanavurugana?🤣
Kuna mtu niliwahi mwambia kuwa hizo "good old days" watu walichapana balaa.
Uko na 10+yrs humu, hizo mambo zilitisha sana kipindi hicho. Sema ukweli tumshinde shetty🤣🤣Mimi sio mkongwe 🤣🤣🤣
Na walitifuana sana jukwaani.
dah pole sana aise,nilikutana naye humu humu jamiiforums, nakiri nilimpenda sana sana anajua hili, ghafla tulitofautiana padogo bas akanibwaga,nikajaribu kumcheki kwenye email, hangout, sjui wasap kibaya akabadili id nakiri siijui id yake ya sasa,ila kwakipindi kile nilijitahidi kufanya jitihada nyingi mwisho nikawa naomba misamaha bas tuyajenge lakini mnajua mumivu ya kua ignored? hakuna majibu, sijjibiwa chohote nikajiongeza mtoto wa kike nikaendelea na maisha yangu, mwanzoni niliishi kwa tabu sababu bado nilijua kuna siku atanitafta ilipofika mwaka nikasema huyu si wangu tena.
nikaendelea na maisha yangu, et baada ya ten good fucking years huyu kiumbe amerejea with a just simple excuse, jaman sijalala nina hasira mpaka muda huu nawezaje kuondoa kinyongo nawezaje, najua utasoma hii thread, kinachoniumiza ni kuona naonewa mwenzenu, i tried to search a version of him kwa watu ambao nimekutana nao baada yake, hakuna aliemfikia, he was so special lakini kwa alionitendea sina ham naye
D, nilikupenda ukanilipa unayostahili, ni heri usingejileta umenifanya napata flashbacks kibao najitahidi kukusahau lakini nashindwa kinachoishi moyon mwangu ni hasira na chuki, nawezaje kuondoa hii hali wenzangu nisaidieni.
Ndio my 😂Duuh hivi humu huwa mnapendana kabisa na kujamiiana???
Hata wewe ni swala la kuamua tu, kujamiiana limekuwa swala la kawaida tu mkuu, tena na stranger inanoga sana🤣Duuh hivi humu huwa mnapendana kabisa na kujamiiana???
Umesema vyema upendo ukiisha huenda na chuki, jisamehe uanze upyaD hakufai hakukupenda huo ndio ukweli na umekasirika kwa sababu bado unampenda.
Ndio uhalisia wa mambo japo wengi ni ngumu kukubaliUmesema vyema upendo ukiisha huenda na chuki, jisamehe uanze upya
I wanted to ask the same question, 10 good years na bado hana mtu! Haja move on, yaani ni kama alikua anamngojea mwamba arudi.Miaka 10 bado mnatujazia threads?
Si mtoto angekuwa anamaliza shule ya msingi ?
Sababu zipo ila silazima uambiwe. Halafu huwezi mchagulia mtu muda wa kukusamehe. Yaani kukosea ukosee wewe halafu unichukie mimi kwakutokukusamehe huo si utoto huo. Ukiharibu umeharibu huna haja ya kujitetea.kilichonifanya niumie yan the way mtu aanakubwaga bila sababu of course najua hanistahili hata hivo nimebeba ushaur wako
Nakataa, namimi ni mwanaume. Yaani ufanye makosa useme kwasababu nakupenda basi siwezi kukuacha, labda kama sijapewa moyo wa nyama na nafsi. Wasioweza ni kijana ambaye bado hajakuwa na kuona mapenzi ni kila kitu wakati kuna maisha zaidi ya hayo.Naomba nikwambie ukweli huu mchungu Mwanaume hawezi kumuacha Mwanamke anayempenda kirahisi hawezi huyo wako hakuwahi kukupenda hata sasa alivyorudi.
Yaani hiyo kataa ndoa mnapeana mpaka vitengo? 😂😂😂😂😂Kwanini
Tatizo bado hamjifunzi, mipaka inawekwa ili iheshimiwe, wewe kwako ni madogo lakini kwake ni makubwa ila sijui kwanini mnapenda kuchukulia vitu for granted hasa kwaupande wetu wanaume. Ndio maana hata kuoa sikuizi mtu anaona ni upuuzi, everything is mind games to you. Bado hujajifunza na still unaliona hilo kosa dogo[emoji23][emoji23][emoji23]. Ukiwa na msimamo haki huwezi kuishi na mke.sasa ndio huyo d et akanuna baba zima na ndevu zake kaa mbuzi maisha haya
😂😂😂Yaani hiyo kataa ndoa mnapeana mpaka vitengo? 😂😂😂