Blood of Jesus Christ
JF-Expert Member
- May 3, 2014
- 538
- 984
Hii ID imenichekesha Mto..... what??ππππNichukue mimi kibu deee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ID imenichekesha Mto..... what??ππππNichukue mimi kibu deee
ππππππππππ bora hata kina rickboyMm nafikir Hao ndo wakuogopwa kuliko Hawa kina mzabzabππ
Yaani mkisha achana ni kila mtu na lakeYani akitokea live waweza mmwagia maji ya dagaa, pakashume hilo
Ni Bora mara elfu kuliko Hao πππππππππππππ bora hata kina rickboy
πππ hapo yaani anatakiwa amchangamkie akiona jamaa kaitikia anampotezeaAtaenda kujiliza leo na ata-to-mbwa tena. Ndivyo ilivyo
Kujiendekeza akiamua anaweza mbonarahisi kusema, ngumu kutekeleza
Mimi Mungu sijui alinipa moyo gani jamani mhhhhnilikutana naye humu humu jamiiforums, nakiri nilimpenda sana sana anajua hili, ghafla tulitofautiana padogo bas akanibwaga,nikajaribu kumcheki kwenye email, hangout, sjui wasap kibaya akabadili id nakiri siijui id yake ya sasa,ila kwakipindi kile nilijitahidi kufanya jitihada nyingi mwisho nikawa naomba misamaha bas tuyajenge lakini mnajua mumivu ya kua ignored? hakuna majibu, sijjibiwa chohote nikajiongeza mtoto wa kike nikaendelea na maisha yangu, mwanzoni niliishi kwa tabu sababu bado nilijua kuna siku atanitafta ilipofika mwaka nikasema huyu si wangu tena.
nikaendelea na maisha yangu, et baada ya ten good fucking years huyu kiumbe amerejea with a just simple excuse, jaman sijalala nina hasira mpaka muda huu nawezaje kuondoa kinyongo nawezaje, najua utasoma hii thread, kinachoniumiza ni kuona naonewa mwenzenu, i tried to search a version of him kwa watu ambao nimekutana nao baada yake, hakuna aliemfikia, he was so special lakini kwa alionitendea sina ham naye
D, nilikupenda ukanilipa unayostahili, ni heri usingejileta umenifanya napata flashbacks kibao najitahidi kukusahau lakini nashindwa kinachoishi moyon mwangu ni hasira na chuki, nawezaje kuondoa hii hali wenzangu nisaidieni.
ππππNi Bora mara elfu kuliko Hao πππ
Ndiyo maisha yenyewe mkuu...Kila mtu na sahani yakeDaaah!
Mbona unaongea kwa maumivu hivi! π₯±
Nawe unapita kwenye moto kama huu
HakikaDuh hili jibu ndiyo lenyewe naona na likes zimekiri kuwa jibu mujarabu.
π€Sema ww uko real sana...ππππ
π€Ninae wa kitaa mkuuπKumbe wanaume wa humu wako hivyo na hovyo?Ala!Japo najua sio wote.Lakini sasa To yeye to your age bado wanakupa shida kuwajua?
Daah pole sanaa mkuuhivi unajua hatukuwah kukutana kimwili?
π€£π€£πNjoo PM nikusaidie kitu