Nawezaje kuacha kutumia dawa za kupunguza mapigo ya moyo

Nawezaje kuacha kutumia dawa za kupunguza mapigo ya moyo

Ryder2

Member
Joined
Sep 11, 2021
Posts
81
Reaction score
88
Habari za jion wana JF,

Nimekua nikitumia dawa za kupunguza mapigo ya moyo kwa muda wa miezi 6 sasa ,mwanzoni niliandikiwa dawa aina ya BISOPROLOL nikatumia kwa muda wa mwezi mmoja tu nikaacha then kutokana na side effects mbaya nikabadilishiwa dawa nikapewa NEBIVOLOL ambayo ndio natumia hadi sasa ila nameza nusu kidonge.

Sababu za kutumia dawa hizi ni kua, tokea nakua katika utoto wangu yani tokea nipo secondary (nikiwa na miaka 13-17) nilikua nikicheza mpira ila kuna muda moyo ulikua unavuta then unaachia yani kama unataka kusimama kudunda, ila kwa kipindi hicho sikuona shida yoyote ile nikawa naendelea na shughuli zangu kama kawaida, ila mwaka jana hali ikwa imechange (hapa nimefika miaka 24) nikawa napamua kwa shida, mikono na miguu inakua ya baridi, mapigo yanaenda mbio.

Halii hii ilinichanganya sana ila nikapata akili fasta nikaingia google na kuanza kutafuta shida ni nini, nilifanikiwa kugoogle matunda yanayoshusha mapigo ya moyo ambaya ni ndizi, machungwa , parachichi na nk. nilivyokua natumia haya matunda Hali yangu ilikua kawaida ila bado nikawa kama sijazuia shida ya kupumua kwa tabu.

Mwaka jana huo huo nikaona niende MUHIMBILI NATIONAL HOSPITAL nikafika nikafanya vipimo vingi sana ambavyo ni:

1. ECG ( Bordeline Abnormal ecg kipimo kikaandika sinus tachycardia) hakukua na majibu mengine zaidi ya tachycardia
2. ECHO ( Hiki kilisoma normally essentially ECHO findings lakini TACHYCARDIA NOTED ambapo majibu yalikua ifuatavyo)

ECHO FINDINGS
NORMAL SIZED CARDIAC CHAMBERS,
LV-UNIFORM CONTRACTILITY,
NORMAL SYSTOLIC FUNCTION WITH LVEF 71%
NORMAL DIASTOLIC FUNCTION
ALL VALVES ARE NORMAL IN STRUCTURE AND FUNCTIONS
IVC-NORMAL, NO SHUNT/THROMBUS, NORMAL PERICARDIUM

3. Pia nilipima fasting glucose nikakutwa na 5.3mmol/l
4. Blood urea nitrogen (NIkakuta normal )
5. Serum creatinine (nayo normal)
6. Full blood picture (normal )
7. Serum cholesterol (nayo normal)
8. X RAY chest pain (nayo normal)

Kutokana na majibu hayo juu dokta akaniandikia dawa nilizotaja hapo juu nitumie ili nipunguze mapigo ya moyo lakini mwezi huu kwenye clinic ameniambia niziache hizi dawa, ila mimi kabla ya hapo nilijaribu kuziacha lakini nakua najisikia vibaya sana. kama kuna njia za kuacha hizi dawa niambieni wakuu wangu wa JF.

Lakini pia mbona kama sijatibu tatizo la moyo kuvuta maana huwa linanitokea na sijajua shida ni nini maana nimepima mpaka nimechoka wakuu, kama kuna mtu ameshawahi kupatwa na tatizo hili anisaidie wakuu, maana nimechoka na haya matatizoo mpaka dunia naiona chungu.

NAWASILISHA.
 
Habari za jion wana jf!
Nimekua nikitumia dawa za kupunguza mapigo ya moyo kwa muda wa miezi 6 sasa ,mwanzoni niliandikiwa dawa aina ya BISOPROLOL nikatumia kwa muda wa mwezi mmoja tu nikaacha then kutokana na side effects mbaya nikabadilishiwa dawa nikapewa NEBIVOLOL ambayo ndio natumia hadi sasa ila nameza nusu kidonge.

Sababu za kutumia dawa hizi ni kua, tokea nakua katika utoto wangu yani tokea nipo secondary( nikiwa na miaka 13-17) nilikua nikicheza mpira ila kuna muda moyo ulikua unavuta then unaachia yani kama unataka kusimama kudunda, ila kwa kipindi hicho sikuona shida yoyote ile nikawa naendelea na shughuli zangu kama kawaida, ila mwaka jana hali ikwa imechange (hapa nimefika miaka 24) nikawa napamua kwa shida, mikono na miguu inakua ya baridi, mapigo yanaenda mbio.

Halii hii ilinichanganya sana ila nikapata akili fasta nikaingia google na kuanza kutafuta shida ni nini, nilifanikiwa kugoogle matunda yanayoshusha mapigo ya moyo ambaya ni ndizi, machungwa , parachichi na nk. nilivyokua natumia haya matunda Hali yangu ilikua kawaida ila bado nikawa kama sijazuia shida ya kupumua kwa tabu.

Mwaka jana huo huo nikaona niende MUHIMBILI NATIONAL HOSPITAL nikafika nikafanya vipimo vingi sana ambavyo ni:
1.ECG ( Bordeline Abnormal ecg kipimo kikaandika sinus tachycardia ) hakukua na majibu mengine zaidi ya tachycardia
2.ECHO ( Hiki kilisoma normally essentially ECHO findings lakini TACHYCARDIA NOTED ambapo majibu yalikua ifuatavyo)
ECHO FINDINGS
NORMAL SIZED CARDIAC CHAMBERS,
LV-UNIFORM CONTRACTILITY,
NORMAL SYSTOLIC FUNCTION WITH LVEF 71%
NORMAL DIASTOLIC FUNCTION
ALL VALVES ARE NORMAL IN STRUCTURE AND FUNCTIONS
IVC-NORMAL, NO SHUNT/THROMBUS, NORMAL PERICARDIUM

3.Pia nilipima fasting glucose nikakutwa na 5.3mmol/l
4.Blood urea nitrogen (NIkakuta normal )
5.Serum creatinine ( nayo normal)
6.Full blood picture ( normal )
7.Serum cholesterol ( nayo normal)
8.X RAY chest pain ( nayo normal)

Kutokana na majibu hayo juu dokta akaniandikia dawa nilizotaja hapo juu nitumie ili nipunguze mapigo ya moyo lakini mwezi huu kwenye clinic ameniambia niziache hizi dawa, ila mimi kabla ya hapo nilijaribu kuziacha lakini nakua najisikia vibaya sana. kama kuna njia za kuacha hizi dawa niambieni wakuu wangu wa jf.

Lakini pia mbona kama sijatibu tatizo la moyo kuvuta maana huwa linanitokea na sijajua shida ni nini maana nimepima mpaka nimechoka wakuu, kama kuna mtu ameshawahi kupatwa na tatizo hili anisaidie wakuu, maana nimechoka na haya matatizoo mpaka dunia naiona chungu,

NAWASILISHA.
EF ipo normal 71% punguza Chumvi na Mafuta, afu Kuna dawa za kienyeji za Moyo wahaya wanazo sana
 
Huwezi acha. You are in forever. Huo ni ugonjwa sugu. Sio malaria utakunywa dawa upone.
Jiandae kunywa hizi dawa maisha yako yote.
Duuh na umri wangu 24 years sasa ntameza hadi lini bora hata ningekua na 35 kwa kweli
 
Jaribu pia atenolol Hilo jina sijui kama nimeandika vizuri ila ukiwaambia wanijua
Sawa mkuu, lakini me natafuta alternatively ya vidonge mkuu, nishavichoka na kama vinatibu mbona tatizo la moyo kuvuta haliishi bado lipo pale pale shida ni nini hapo?
 
Habari za jion wana jf!
Nimekua nikitumia dawa za kupunguza mapigo ya moyo kwa muda wa miezi 6 sasa ,mwanzoni niliandikiwa dawa aina ya BISOPROLOL nikatumia kwa muda wa mwezi mmoja tu nikaacha then kutokana na side effects mbaya nikabadilishiwa dawa nikapewa NEBIVOLOL ambayo ndio natumia hadi sasa ila nameza nusu kidonge.

Sababu za kutumia dawa hizi ni kua, tokea nakua katika utoto wangu yani tokea nipo secondary( nikiwa na miaka 13-17) nilikua nikicheza mpira ila kuna muda moyo ulikua unavuta then unaachia yani kama unataka kusimama kudunda, ila kwa kipindi hicho sikuona shida yoyote ile nikawa naendelea na shughuli zangu kama kawaida, ila mwaka jana hali ikwa imechange (hapa nimefika miaka 24) nikawa napamua kwa shida, mikono na miguu inakua ya baridi, mapigo yanaenda mbio.

Halii hii ilinichanganya sana ila nikapata akili fasta nikaingia google na kuanza kutafuta shida ni nini, nilifanikiwa kugoogle matunda yanayoshusha mapigo ya moyo ambaya ni ndizi, machungwa , parachichi na nk. nilivyokua natumia haya matunda Hali yangu ilikua kawaida ila bado nikawa kama sijazuia shida ya kupumua kwa tabu.

Mwaka jana huo huo nikaona niende MUHIMBILI NATIONAL HOSPITAL nikafika nikafanya vipimo vingi sana ambavyo ni:
1.ECG ( Bordeline Abnormal ecg kipimo kikaandika sinus tachycardia ) hakukua na majibu mengine zaidi ya tachycardia
2.ECHO ( Hiki kilisoma normally essentially ECHO findings lakini TACHYCARDIA NOTED ambapo majibu yalikua ifuatavyo)
ECHO FINDINGS
NORMAL SIZED CARDIAC CHAMBERS,
LV-UNIFORM CONTRACTILITY,
NORMAL SYSTOLIC FUNCTION WITH LVEF 71%
NORMAL DIASTOLIC FUNCTION
ALL VALVES ARE NORMAL IN STRUCTURE AND FUNCTIONS
IVC-NORMAL, NO SHUNT/THROMBUS, NORMAL PERICARDIUM

3.Pia nilipima fasting glucose nikakutwa na 5.3mmol/l
4.Blood urea nitrogen (NIkakuta normal )
5.Serum creatinine ( nayo normal)
6.Full blood picture ( normal )
7.Serum cholesterol ( nayo normal)
8.X RAY chest pain ( nayo normal)

Kutokana na majibu hayo juu dokta akaniandikia dawa nilizotaja hapo juu nitumie ili nipunguze mapigo ya moyo lakini mwezi huu kwenye clinic ameniambia niziache hizi dawa, ila mimi kabla ya hapo nilijaribu kuziacha lakini nakua najisikia vibaya sana. kama kuna njia za kuacha hizi dawa niambieni wakuu wangu wa jf.

Lakini pia mbona kama sijatibu tatizo la moyo kuvuta maana huwa linanitokea na sijajua shida ni nini maana nimepima mpaka nimechoka wakuu, kama kuna mtu ameshawahi kupatwa na tatizo hili anisaidie wakuu, maana nimechoka na haya matatizoo mpaka dunia naiona chungu,

NAWASILISHA.

Habari, pole kwa kuumwa.
Kwenye suala lako, bado naona kulikuwa na nafasi ya kujua hii sinus tachycadia inasababishwa na nini:
1: mis-behaving ya sinus yenyewe?
2: lifestyle kama: matumizi ya kahawa, anxiety, stress??
3: kitu kingine nje ya moyo kama hormones: thyroid/adrenaline nk.

Kama ni 2 na 3, vinaweza kuwa controlled na kuwa sawa na kuacha dawa.

Kama ni 1 hapo juu, inategemea na kiasi cha tachycardia/kiasi cha kasi yenyewe, kwani kama inafikia kupata maumivu na kuchoka/kizunguzungu. Hii inaonyesha kuna wakati moyo haupati sukari na oxygen ya kutosha ndo maana misuli ya moyo inalalamika kwa hayo maumivu, ambacho si kitu kizuri pia viungo vingine kutolishwa vyema.

Ombi langu ni kuwaona Cardiologist ambao ni very experienced ili upate mawazo yao hata kama ni zaidi ya wawili.

Wakati mwingine unaweza kufanya vipimo, unaenda navyo kwa specialist zaidi ya mmoja na kupata mawazo yao na kulipa consultation tu kama kuna ugumu kwenye kurudia vipimo.

Mwenyezi Mungu akusimamie katika yote.
 
Habari, pole kwa kuumwa.
Kwenye suala lako, bado naona kulikuwa na nafasi ya kujua hii sinus tachycadia inasababishwa na nini:
1: mis-behaving ya sinus yenyewe?
2: lifestyle kama: matumizi ya kahawa, anxiety, stress??
3: kitu kingine nje ya moyo kama hormones: thyroid/adrenaline nk.

Kama ni 2 na 3, vinaweza kuwa controlled na kuwa sawa na kuacha dawa.

Kama ni 1 hapo juu, inategemea na kiasi cha tachycardia/kiasi cha kasi yenyewe, kwani kama inafikia kupata maumivu na kuchoka/kizunguzungu. Hii inaonyesha kuna wakati moyo haupati sukari na oxygen ya kutosha ndo maana misuli ya moyo inalalamika kwa hayo maumivu, ambacho si kitu kizuri pia viungo vingine kutolishwa vyema.

Ombi langu ni kuwaona Cardiologist ambao ni very experienced ili upate mawazo yao hata kama ni zaidi ya wawili.

Wakati mwingine unaweza kufanya vipimo, unaenda navyo kwa specialist zaidi ya mmoja na kupata mawazo yao na kulipa consultation tu kama kuna ugumu kwenye kurudia vipimo.

Mwenyezi Mungu akusimamie katika yote.
Hapo kwenye matumizi ya kahawa nimetumia zamani sana, hivyo sizani kama ni sababu.

Kuhusu anxiety na stress, kwa kua hii shida ya moyo kuvuta nilianza nayo tokea utotoni ilikua inanifanya niwaze sana, na labda hii inaweza kua shida pia kutokana na kuwaza sana imenifanya sometimes nakua na wasi wasi yani nakua na mawazo ya kufa kufa tu

Kuhusu hormones alinishauri nipime ila mwezi ujao nitapima nione shida ni nini mkuu?

Mwisho
inamaanisha kama shida ni sinus tachycardia naweza nikaishi bila hizi dawa mkuu? Maana watu wengi wamekua wakinambia kua ni ngumu kuacha.
Pia nyumbani hatuna history ya magonjwa chronic kama haya sasa najiuliza Hii hali shida itakua ni nini mkuu?
 
Back
Top Bottom