Nawezaje kuiokoa familia yangu na mateso ya jini huyu?

Mtoa mada anaonekana ni muislamu na hataki kujaribu upande wa pili wa kanisa. Ni yeye n visomo na masheikh tu. So dump
 
jina lako tu ni jini
 
Mimi nacheka sana kazi ya nusu saa,unahangaika miaka 7?
Pole
Kama unapenda kuwa huru na mateso.
Piga kura za comment, ukipata kura nyingi nenda huko.
Kama utatumia ufahamu binafsi basi jiulize miaka yote ulienda wapi...
Basi toa walau mwezi mmoja uende kule ambako haukwenda.
Asipopona basi sikio la kufa.
 
Pole sana huo ni mtihani mkubwa ushauri wangu ni kuwa Kuna watu wengi wanajiita masheikh ila wamejiingiza kwenye ushirikina usijaribu kujihusisha nao katika kutafuta suluhisho

Lakin pia Kuna watu wengi wanajiita manabii pia usijaribu kujihusisha nao katika kutafuta suluhu eti ukaombewe kwa jina la binaadam, hakuna binadam aliezaliwa na mwanamke ambae utaombewa kwajina lake na ukapona huo ni upotofu na ni ushirikina mkubwa.

Fanya ibada na umuombe mwenyezi Mungu na utafute tiba sahihi ambayo haijihusishi na shirki na inategemea uwezo wa mwenyezi Mungu kwa asilimia 100%, matatizo ni Kipimo cha Imani usijaribu kumshirikisha Mungu kwaajili ya matatizo
 
Wewe huyo Yesu alishawahi kukusaidia kukutoa majini au umekariri?

Mwenzako ana matatizo halafu wewe ulivyo punguani unamshauri mtu aende kwa matapeli kama Gwajiboy, Zumaridi..etc? Uko vizuri kichwani?
Mimi sio punguani na kama unaona ushauri wangu hauna mshiko basi toa ushauri mbadala.
 
Wewe ndo hicho kiumbe umeandika hapa ili uachiwe mke.... Huoni hata haya ... Yaani unamkatisha tamaa jamaa na kutoa ushuhuda wako wa uongo. Ili akate tamaa akuchie. Jini wewe......




 
Reactions: amu
Huyo siyo mgalatia na hawezi kuja huko mnakotaka.
Hicho ni kibwengo kinatengenezwa Pemba ni kigumu kupambana nacho Hadi apatikane mwenye hicho kibwengo.
Nakwambia ni hatari Sana, Hadi Mkapa (RIP) aliondoka Pemba saa 9 usiku!

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Mtoa mada anaonekana ni muislamu na hataki kujaribu upande wa pili wa kanisa. Ni yeye n visomo na masheikh tu. So dump
Sasa huko si itabidi aweke imani kwa Yesu ndipo aweze kupokea uponyaji na yeye ni imani tofauti.
 
Ila huwa mnarahisisha mambo sana wakuu.
 
Ukitulia tu, mwisho wako hautakuwa mzuri kama utaendelea kuishi na huyo mkeo.
Mpeleke kwenye maombi;- jaribu kwenda arusha umpeleke ngurumo ya upako, kwa sababu kuna wengine hutoka nje ya nchi na kwenda pale kwa msaada.
Kisongo tena mkuu
Daah basi sawa
 
Nenda kwa Mwamposa burudoza
Mimi naona watu huko badala ya kwenda na kutatuliwa shida zao kwa haraka matokeo wanakuwa watu wa kwenda kila wiki kwa imani siku watapona shida zao kutokana na zile shuhuda wanazozisikia, sasa hapo si bora umuombe Mungu wako tu nyumbani kila siku hadi atakapo kubali maombi yako.
 
Mkuu sicocell ni ugonjwa wa kichawi na kiganga
Daah karne hii ya 21
Basi sawa
 
Masheikh ndio wana uelewa na hivyo viumbe.
 
Tiba rahisi Sana ya jini Kula kitimoto alaf pale mlangoni au chumbani week mfupa was kitimoto Kama ni muislamu kuleni kwa dawa kidogo tu na mkeo ajipake mafuta yake majini hayapendi watu wachafu kitimoto kwa imani yenu ni uchafu alaf asipake perfum ya kunukia Sana Wala manukato nyumbani kwenu anzia hapo ulishindwa nipigie uje Lushoto
 
Mbona yaliwaingia nguruwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…