Judithkaunda
Member
- Aug 21, 2022
- 90
- 231
Habari Wana JF,
Naombeni ushauri ndugu zangu namna ya kuishi na mtu mwenye stress over.
Nimeshagundua rafiki yangu anatatizo la afya ya akili kwasababu.
Ni mtu mwenye hasira muda mwingi Hana furaha kwasababu mnaweza kukaa siku nzima usione anachekaa.
Muda mwingi analalamika hata likitokea jambo la kawaida atalamika tu.
Anamawazo ambayo hapati majibu na hakuna dalili za kupata majibu haraka.
Anamawazo hasi muda wote najitahidi kumshauri vitu vizuri.
Nafanikiwa kwa muda tu, lakini mkikutana Tena kesho hali ni Ile Ile najikuta namuonea huruma na hapo ndio naanza kujisikia vibaya kwakiasi ameanza kuniambukiza huzuni yake, Kila tukiwa pamoja najikuta Sina mzuka wa kazi, siwazi vitu vizuri najisikia kukata tamaa.
Natamani nikae na mtu mwenye mawazo yakufika mbali anipe hamasa lakini mazingira na kazi vinanilazimisha kuwa karibu nae na siwezi kumkwepa ni ndugu wa karibu na tunaishi pamoja. Natamani kumsaidia na wakati huo hali yake isiniathili.
Naombeni ushauri ndugu zangu
Naombeni ushauri ndugu zangu namna ya kuishi na mtu mwenye stress over.
Nimeshagundua rafiki yangu anatatizo la afya ya akili kwasababu.
Ni mtu mwenye hasira muda mwingi Hana furaha kwasababu mnaweza kukaa siku nzima usione anachekaa.
Muda mwingi analalamika hata likitokea jambo la kawaida atalamika tu.
Anamawazo ambayo hapati majibu na hakuna dalili za kupata majibu haraka.
Anamawazo hasi muda wote najitahidi kumshauri vitu vizuri.
Nafanikiwa kwa muda tu, lakini mkikutana Tena kesho hali ni Ile Ile najikuta namuonea huruma na hapo ndio naanza kujisikia vibaya kwakiasi ameanza kuniambukiza huzuni yake, Kila tukiwa pamoja najikuta Sina mzuka wa kazi, siwazi vitu vizuri najisikia kukata tamaa.
Natamani nikae na mtu mwenye mawazo yakufika mbali anipe hamasa lakini mazingira na kazi vinanilazimisha kuwa karibu nae na siwezi kumkwepa ni ndugu wa karibu na tunaishi pamoja. Natamani kumsaidia na wakati huo hali yake isiniathili.
Naombeni ushauri ndugu zangu