PichaSasa mm namshukuru Mungu sina hayo mambo kabisa, nna 28 lkn hata ndevu sina. Mana n bora nisiwe na hayo makitu kabisa kuliko kuwa hvy kama mtoa mada
Dah mm n mbavu tuu zimechomoka hapa kifuani, sasa ntasababisha watu kukimbia humu πPicha
πππππUko wapi.....
Eva vp imekupa genye, maana nyie wanawake mna mambo ya ajabu. Kuna manzi mmoja aliwah nambia mbona garden love yako sio kipilipili, eti yeye anapenda zenye kipilipiliUko wapi.....
Kiukweli Eve nimekushindwa! πππ»Uko wapi.....
Bora vya mtoa mada kuliko wewe sasa, yani wewe hutaki ndevu na huna ili upakwe makeup au halafu wanaume msio na ndevu wambea mbea sana nyieSasa mm namshukuru Mungu sina hayo mambo kabisa, nna 28 lkn hata ndevu sina. Mana n bora nisiwe na hayo makitu kabisa kuliko kuwa hvy kama mtoa mada
Mm n mbea nikiwa na girl wangu, juzi kati kuna mmama hapa mtaani amesutwa halafu demu wangu hakuwepo sasa jana hapa ikabidi nimsimulie ilibidi nivae dera lake ili umbea unoge πBora vya mtoa mada kuliko wewe sasa, yani wewe hutaki ndevu na huna ili upakwe makeup au halafu wanaume msio na ndevu wambea mbea sana nyie
Na usivyo na ndevu basi ulikuwa pisi kali kuliko demu wakoππMm n mbea nikiwa na girl wangu, juzi kati kuna mmama hapa mtaani amesutwa halafu demu wangu hakuwepo sasa jana hapa ikabidi nimsimulie ilibidi nivae dera lake ili umbea unoge π
Hapo Sijajua sasa πNa usivyo na ndevu basi ulikuwa pisi kali kuliko demu wakoππ
Hy ndo nzuri unakuwa unaipapasa tuu ht haiumizi mikono ππΉπΉπΉ Weee hapana kuwa na mtu km sokwe kifuani nehi nehi karungi..!!
Nilivyo muoga sasa.!!!? Naweza nikapiga yowe
Naogopa aiseee.!! πΉπΉπΉHy ndo nzuri unakuwa unaipapasa tuu ht haiumizi mikono π
ππ DahNaogopa aiseee.!! πΉπΉπΉ
Kuna siku hun wangu hakupitisha topaz, shanga si zikakamata vuzi alipiga ukunga nusu anizabue kofiβ¦ sasa awe na hiyo minyoya kifuani si ataniua π€£π€£
Slow slow mbele kuna mteremko mkali πΉπΉππ Dah
Em njoo jaribu kwangu mm ambaye sina ht hilo vuzi