DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
PichaSasa mm namshukuru Mungu sina hayo mambo kabisa, nna 28 lkn hata ndevu sina. Mana n bora nisiwe na hayo makitu kabisa kuliko kuwa hvy kama mtoa mada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PichaSasa mm namshukuru Mungu sina hayo mambo kabisa, nna 28 lkn hata ndevu sina. Mana n bora nisiwe na hayo makitu kabisa kuliko kuwa hvy kama mtoa mada
Dah mm n mbavu tuu zimechomoka hapa kifuani, sasa ntasababisha watu kukimbia humu 😎Picha
😁😁😁😁😁Uko wapi.....
Eva vp imekupa genye, maana nyie wanawake mna mambo ya ajabu. Kuna manzi mmoja aliwah nambia mbona garden love yako sio kipilipili, eti yeye anapenda zenye kipilipiliUko wapi.....
Bora vya mtoa mada kuliko wewe sasa, yani wewe hutaki ndevu na huna ili upakwe makeup au halafu wanaume msio na ndevu wambea mbea sana nyieSasa mm namshukuru Mungu sina hayo mambo kabisa, nna 28 lkn hata ndevu sina. Mana n bora nisiwe na hayo makitu kabisa kuliko kuwa hvy kama mtoa mada
Mm n mbea nikiwa na girl wangu, juzi kati kuna mmama hapa mtaani amesutwa halafu demu wangu hakuwepo sasa jana hapa ikabidi nimsimulie ilibidi nivae dera lake ili umbea unoge 😎Bora vya mtoa mada kuliko wewe sasa, yani wewe hutaki ndevu na huna ili upakwe makeup au halafu wanaume msio na ndevu wambea mbea sana nyie
Na usivyo na ndevu basi ulikuwa pisi kali kuliko demu wako😆😆Mm n mbea nikiwa na girl wangu, juzi kati kuna mmama hapa mtaani amesutwa halafu demu wangu hakuwepo sasa jana hapa ikabidi nimsimulie ilibidi nivae dera lake ili umbea unoge 😎
Hapo Sijajua sasa 😎Na usivyo na ndevu basi ulikuwa pisi kali kuliko demu wako😆😆
Hy ndo nzuri unakuwa unaipapasa tuu ht haiumizi mikono 😂😹😹😹 Weee hapana kuwa na mtu km sokwe kifuani nehi nehi karungi..!!
Nilivyo muoga sasa.!!!? Naweza nikapiga yowe
Naogopa aiseee.!! 😹😹😹Hy ndo nzuri unakuwa unaipapasa tuu ht haiumizi mikono 😂
😂😂 DahNaogopa aiseee.!! 😹😹😹
Kuna siku hun wangu hakupitisha topaz, shanga si zikakamata vuzi alipiga ukunga nusu anizabue kofi… sasa awe na hiyo minyoya kifuani si ataniua 🤣🤣
Slow slow mbele kuna mteremko mkali 😹😹😂😂 Dah
Em njoo jaribu kwangu mm ambaye sina ht hilo vuzi