Rudisha hivyo vyeti huko ulikosoma wakurejeshee ada yako!Ndg nawezaje kupata mkopo wa tsh Milion 1 na laki 2 tu, kwa dhamana ya vyeti vyangu? Cheti cha Diploma-CBE, cheti cha Degree-TIA, ikiwa pamoja na vyeti vingine mf cha form 4, cha kuzaliwa n.k
Ni vyeti original kabisa pia bado navihitaji kwani sijakata tamaa kuhusu Ajira, hivyo sio kwamba navitelekeza hapana. Kiukweli nina shida nahitaji msaada.
Niko tayari kulipa kwa riba na kuandikishana kwa mwanasheria, kwasasa nipo Mkoa wa Pwani ya Kibaha.
Naomba kuwasilisha kwenu wana JF.
Hiyo ilikuwa zamani babuUnadhani cheti kinaokotwa,cheti kinagharamiwa yaani mtu analipa ada ili akipate hicho cheti husika,unachokidharau.
Siyo suala la kudharau cheti bali ni kuwa cheti hakina faida yeyote kwa third party , na kama muhusika yeye anaona kina faida basi akigeuze kimpatie hicho kiwango cha pesa anachokihitaji, msitafute sympathy kwenye mambo yaliyo waziUnadhani cheti kinaokotwa,cheti kinagharamiwa yaani mtu analipa ada ili akipate hicho cheti husika,unachokidharau.
Acha dharau. Umri na maneno yako havina uwiano. Mtu anapozungumza jambo litafakari. Utu, hekima busara viwe mbele. Nadhan una watoto... Kuna beba mawazo ya mtu kw mtazamo chanya usipayukeKama unadhani hivyo vyeti vinathamani kuliko pesa basi nenda Bank ukakope uweke bond hivyo vyeti, na aliekushauri hvo mwambie akusindikize
Ukitoka bank uje na mrejesho
Yote hayo yanaletwa na ukosefu wa ajira kama ulivyosema.Leo hii mtu hajasoma anadharau kila msomi,kisa hana ajira na anatokea familia maskini.Sio kweli. Changamoto ya ajira ni chanzo chakuona elimu hazina maana lakin kla kitu kna nafas yake mahali pake. Pia jembe kamwe halimtupi mkulima
Endelea kushirikisha ubongo wazo la cheti ni la hadhi ya chini sana. Omba kwenye ukoo wenu wanaokufahamu, ongea na ndugu wauze mashamba, waweke rehani mifugo, nyumba, na chochote chenye thamani, vyeti, NIDA, Leseni...ukimpa mkopaji ni Zero value hawezi kuvitoa akapata pesa yake[emoji848][emoji848]Sure, japo hakina monetary value kuwa dhamana lakini cheti ni cha thamani sana, tunapitia magumu thats why inafka mahal tunaomba msaada, dunia ya leo mtu kukusaidia n kaz sn. Na kimfaacho mtu chake ndio maana naomba msaada kwa kigezo cha vyeti niktambua kbs hakfai kuwa dhamana, ila kw msamalia atayeguswa anisaidie angalau bas niweke vyet tu ishara kuwa nitalipa deni, bado navhtaj hv vyet sijavikatia tamaa lkn kw sasa napitia uhitaj wa hicho kias cha fedha na sina msaada nikaona niweke mawazo yng JF
Usilete mtazamo chanya wakati wewe unaleta vitu ambayo haviwezekaniAcha dharau. Umri na maneno yako havina uwiano. Mtu anapozungumza jambo litafakari. Utu, hekima busara viwe mbele. Nadhan una watoto... Kuna beba mawazo ya mtu kw mtazamo chanya usipayuke
Cheti kina thamani zaidi ya hio millioni moja lakini kwa mwenye cheti sio mwengine pesa hio million 1 ina thamani kwa watu wote Duniani, elimu ndogo tu Hapo ni makaratasi tu kwa mtu mwengine.Unadhani cheti kinaokotwa,cheti kinagharamiwa yaani mtu analipa ada ili akipate hicho cheti husika,unachokidharau.
Jibu swali....vyeti na tsh million moja kipi orijino?Unadhani cheti kinaokotwa,cheti kinagharamiwa yaani mtu analipa ada ili akipate hicho cheti husika,unachokidharau.
Muulize tukimpa achague Kati ya milioni moja na cheti cha certificateJibu swali....vyeti na tsh million moja kipi orijino?
Mkuu hata kingekuwa cha digrii....bado pesa ni pesa tuuMuulize tukimpa achague Kati ya milioni moja na cheti cha certificate
Yeye atachagua nini
Nitachagua cheti mkuu. Sbb bdo ninakihitaj si kwamba nimekata tamaa kwny ajira. N msaada tu naomba kwenu watu baki. Ili kuweka kauzto kdg sbb mtu kkupa for free n kaz nikaleta ishu za chet. Mbal na hvyo nikufahamiana nakujua ukwel khs mm nakunisaidiaMuulize tukimpa achague Kati ya milioni moja na cheti cha certificate
Yeye atachagua nini
Sbb bdo ninakihitaj si kwamba nimekata tamaa kwny ajira. N msaada tu naomba kwenu watu baki. Ili kuweka kauzto kdg sbb mtu kkupa for free n kaz nikaleta ishu za chet. Mbal na hvyo nikufahamiana nakujua ukwel khs mm nakunisaidiaCheti kina thamani zaidi ya hio millioni moja lakini kwa mwenye cheti sio mwengine pesa hio million 1 ina thamani kwa watu wote Duniani, elimu ndogo tu Hapo ni makaratasi tu kwa mtu mwengine.
Sawa.30 years. Pwani, kibaha
Naona umejiona umeachiwa vyeti unaenda polisi wanakushangaa na kukuambia katafutie kazi sasa 😄Sijui kwanini nimecheka
Sawa endelea kusubiri msaada kupitia chetiNitachagua cheti mkuu. Sbb bdo ninakihitaj si kwamba nimekata tamaa kwny ajira. N msaada tu naomba kwenu watu baki. Ili kuweka kauzto kdg sbb mtu kkupa for free n kaz nikaleta ishu za chet. Mbal na hvyo nikufahamiana nakujua ukwel khs mm nakunisaidia