Oppomall
JF-Expert Member
- Feb 8, 2017
- 3,683
- 3,966
Mawazo chanya sana, tuwasiliane pm
Sent using Jamii Forums mobile app
Naamini mmeamshwa vyema wakuu.
Niende kwenye mada, nina shida sana na Tsh. Milioni moja, naihitaji kwa ajili ya mtaji, (kuna jiko la kupikia chakula sehemu ya bar nataka kulichukua niweke vijana wapike) nikisema kukopa sina cha kuweka dhamana, ukisema uombe kwa ndugu hamna kila mtu anasema hana.
Nikiwaza maisha ndo hivo yanaenda kasi bila kuwekeza wekeza hufanikiwi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app