Nawezaje kupata Tsh. Milioni moja?

Nawezaje kupata Tsh. Milioni moja?

mkuu anzia hapohapo hata kama una elf ishirini. Ilishawahi kunitokea nina 50,000 kwenye account then nina familia nilifikiria sana namna ambavyo naenda kufedheheka. Nilifumba macho nikatumia 20usd (23980tsh) nilipambana hadi kuifikisha 3.9M ndani ya wiki moja. Anything is possible.
NB. huu ni ushuhuda wangu for motivational purposes only na sio kumshawaishi mtu.
Explain it how ??
 
Nikikupatia mtu wangu wa karibu wa kukupa hio pesa, malipo yatakuaje? Nikimaanisha unategemea kuirudisha ndani ya muda gani? Hats kama in Kwame mafungu, haye mafungu yatakuaje?

Mie in ke na nimeolewa na na sihitaji chochote kutoka kwako zaidi ya kukusaidia, na malipo yawe fedha taslimu na si vinginevyo, ila nahitaji kujua utalipaje nikikudhamini sehemu.
 
Nikikupatia mtu wangu wa karibu wa kukupa hio pesa, malipo yatakuaje? Nikimaanisha unategemea kuirudisha ndani ya muda gani? Hats kama in Kwame mafungu, haye mafungu yatakuaje?

Mie in ke na nimeolewa na na sihitaji chochote kutoka kwako zaidi ya kukusaidia, na malipo yawe fedha taslimu na si vinginevyo, ila nahitaji kujua utalipaje nikikudhamini sehemu.
Asante , kurejesha inakua ndani ya miezi 10, kuhusu kiasi kwa kila mwezi inategemea na riba itakua kiasi gani dada.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
uliforex wewe tena ulivoforex v75 😂😂😂😂
mkuu anzia hapohapo hata kama una elf ishirini. Ilishawahi kunitokea nina 50,000 kwenye account then nina familia nilifikiria sana namna ambavyo naenda kufedheheka. Nilifumba macho nikatumia 20usd (23980tsh) nilipambana hadi kuifikisha 3.9M ndani ya wiki moja. Anything is possible.
NB. huu ni ushuhuda wangu for motivational purposes only na sio kumshawaishi mtu.
 
hakuna pair naeshimu kam hiyo aisee kuna kipind kodi ilikata bhana then nilikuwa na dolar 3 nikaplace zangu sell v100 ile hf ikajisell mpka dolar 9 jumla zinakuw 12 bhna nikajilipua na v75 nikazima smu nikasem liwalo na liwe nakuja kuwasha smu naenda kw mt5 kw mashaka roho juu juu niliplace buy mida ya asubuh hv wee nakuja kukuta v75 imepandaaa hatar kucheck kw buy order yangu kitu kinarun dolar 900 waaaiiih nikastop order chap nikawithdrw nikalipa kodi😂😂😂😂
View attachment 1391256
angalia deposit ni 20usd vs profit na hiyo ni only two days tar 27 hadi 29.
 
Nyie wehu na wajinga sanaaa mnawezaje kuchati kwenye uzi wa mtu namna hii hebu nendeni PM acheni ujinga.
Punguza hasira ndugu mjinga, Pambana na Corona, usioneshe ujinga wako hapa
 
naomba elimu kidogo
mkuu anzia hapohapo hata kama una elf ishirini. Ilishawahi kunitokea nina 50,000 kwenye account then nina familia nilifikiria sana namna ambavyo naenda kufedheheka. Nilifumba macho nikatumia 20usd (23980tsh) nilipambana hadi kuifikisha 3.9M ndani ya wiki moja. Anything is possible.
NB. huu ni ushuhuda wangu for motivational purposes only na sio kumshawaishi mtu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unashida na hiyo millioni ni pm ila kweli uwe ni ke na pili shida kweli iwe ni million 1 sio zaidi ya hapo njoo na business plan yako chonde chonde kama ni mke wa mtu hapana siitaji

Sent using Jamii Forums mobile app


Huu ujinga mm umenifanyaga nikaonekanaga mwanamke jeuri..jaman utumie jinsia yake kisa msaada? Dah ....
Hii ndo inanipaga hasira sana kukubali mvua au jua..arghhhh
 
mkuu anzia hapohapo hata kama una elf ishirini. Ilishawahi kunitokea nina 50,000 kwenye account then nina familia nilifikiria sana namna ambavyo naenda kufedheheka. Nilifumba macho nikatumia 20usd (23980tsh) nilipambana hadi kuifikisha 3.9M ndani ya wiki moja. Anything is possible.
NB. huu ni ushuhuda wangu for motivational purposes only na sio kumshawaishi mtu.


Bora utoe ushuhuda ww mkuu anything is possible mkuu!mradi kuw n subira na uvumilivu! Na discpline kama zote
 
Nikikupatia mtu wangu wa karibu wa kukupa hio pesa, malipo yatakuaje? Nikimaanisha unategemea kuirudisha ndani ya muda gani? Hats kama in Kwame mafungu, haye mafungu yatakuaje?

Mie in ke na nimeolewa na na sihitaji chochote kutoka kwako zaidi ya kukusaidia, na malipo yawe fedha taslimu na si vinginevyo, ila nahitaji kujua utalipaje nikikudhamini sehemu.


Be blessed mona!
 
Back
Top Bottom