Nawezaje kupata Tsh. Milioni moja?

Mawazo chanya sana, tuwasiliane pm
Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu anzia hapohapo hata kama una elf ishirini. Ilishawahi kunitokea nina 50,000 kwenye account then nina familia nilifikiria sana namna ambavyo naenda kufedheheka. Nilifumba macho nikatumia 20usd (23980tsh) nilipambana hadi kuifikisha 3.9M ndani ya wiki moja. Anything is possible.
NB. huu ni ushuhuda wangu for motivational purposes only na sio kumshawaishi mtu.
 
Duh! Ulipambanaje mkuu kutoka 23980/= mpaka 3.9 mil kwa mda wa wiki moja tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ebu tupe ushuhuda ndugu
 
Unachokiongea ni kweli uaminifu ni changamoto bila kumbana mtu unaambulia hola kweli, ila hao vijana nilishawahi fanya nao kazi sema tukaja kuacha wote maana mwenye jiko alikua anataka tufanye kazi bure (tusijilipe) tumkuzie Kwanza mtaji wake ukikua ndo tuanze kujilipa, na hapo hapo kazi ni kuanzia saa moja asubuh mpaka saa sita usiku, na bado akila yeye bili halipi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu $20 ni karibia 46000 na kitu mbona umeweka 20000?
Au ulitumia $10?
 
Huwezi kukopa.
Huwezi kuomba kwa ndugu.
[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…