Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
Kuna kanuni yangu moja nimeitunga ambayo naitumia maishani kwamba "I'd rather suffer my own consequences than someone's."
Yaani ni bora niumie kwa maaamuzi yangu mwenyewe kuliko kwa maamuzi ya mtu mwingine sababu nitaumia mara mbili na lawama juu.
Pili mzazi hatokuwepo milele sasa kama siku hayupo nani atakuamulia na nani utamlaumu mambo yakienda kushoto?
Mtoto wa kiume sio mtu wa kupangiwa itafikia hatua ni lazima ajifunze kuwa na misimamo na maamuzi binafsi na kama ukikosea basi utakula consequences zako mwenyewe na hakuna wa kumlaumu.
Sasa kama unataka misimamo basi tambua kamwe kwenye Misimamo hakuna Amani.
Yaani ni bora niumie kwa maaamuzi yangu mwenyewe kuliko kwa maamuzi ya mtu mwingine sababu nitaumia mara mbili na lawama juu.
Pili mzazi hatokuwepo milele sasa kama siku hayupo nani atakuamulia na nani utamlaumu mambo yakienda kushoto?
Mtoto wa kiume sio mtu wa kupangiwa itafikia hatua ni lazima ajifunze kuwa na misimamo na maamuzi binafsi na kama ukikosea basi utakula consequences zako mwenyewe na hakuna wa kumlaumu.
Sasa kama unataka misimamo basi tambua kamwe kwenye Misimamo hakuna Amani.