EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Password inabadilishwaga kirahisi hivyo kama kumshika mwajuma kalioKama laini unayo badili password then toa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Password inabadilishwaga kirahisi hivyo kama kumshika mwajuma kalioKama laini unayo badili password then toa
Kama marehemu hakufuta ujumbe wa mwisho wa muamala kujua kiasi ni rahisi sana.Mambo si rahisi kama unavyodhani bwana mdogo huwezi kufanya mambo kihuni hivyo,halafu umejuaje kama kwenye line ya baba yako kuna hela?,ulienda kwa waganga wa kichawi?
yeah hamnaga ugumu wowote , kama tigo pitia app ya tigo pesa halotel nkPassword inabadilishwaga kirahisi hivyo kama kumshika mwajuma kalio
Tangu lini msimamizi wa mirathi akateuli na mahakama, ni sheria mpya auMsimamizi wa mirathi aliyeteuliwa na mahakama ndiye mwenye mamlaka ya kukusanya na kuzigawa mali za marehemu.Hata kama ni mzazi wako kama hujateuliwa na mahakam huwezi kuzitoa, na kufany hivyo ni uhalifu kama uhalifu mwingine.
Tapele at workIpo shs ngapi? Estimate? Ni PM chap na haraka
Nadhani alitaka kumaanisha "kuthibitishwa na mahakama" maana ninavyofahamu familia hukaa kikao cha kumteua msimamizi wa mirathi ila kisheria ni mpaka athibitishwe mahakamani.Tangu lini msimamizi wa mirathi akateuli na mahakama, ni sheria mpya au
Hata ukijaribu kuitumia hela kdg inakuja meseji ya salio loteKama marehemu hakufuta ujumbe wa mwisho wa muamala kujua kiasi ni rahisi sana.
tuma hata buku kwa namba hiyo inakuja meseji ya salioMambo si rahisi kama unavyodhani bwana mdogo huwezi kufanya mambo kihuni hivyo,halafu umejuaje kama kwenye line ya baba yako kuna hela?,ulienda kwa waganga wa kichawi?
Huyu Kama muislam lazima apitie taratibu za mirathi kama mkristo sijui sheria zake. Ila nadhani kama ana ndugu huyu nao wana haki yao pia.Kama ni account ya bank nenda bank utapewa taratibu zote
Kama ni mtandao wa simu na upo dar es salaam nenda makao makuuu kama Voda nk
Ila cheti cha kifo lazima kiwepo wathibitishe kuwa amefariki
Kwahyo unataka uwapige bao wenzio au sio...?mimi nafahamu jinsi ya kutoa lakin sikuelekezi mpaka nione barua ya mirathi
Nataka nimchukue maelezo wapo wangap na why afanye hivo instead ya kufuata utaratibu sasa cyo poa kuuliza hadharani mkuu na pia usikute cyo mtt wa marehemu ni muhuni fulani tuu kaotea lineNachojua mimi kama huna password ya account ya pesa za kwenye simu ya line husika inakuwa blocked,sasa njia unayotaka kuitumia wewe na mtoto wa marehemu ni kui-hack au utai-swap?
Mleta mada kuwa makini.
Je yeye ndio amechaguliwa kama msimamizi wa Mali na madeni ya marehemuKama ni account ya bank nenda bank utapewa taratibu zote
Kama ni mtandao wa simu na upo dar es salaam nenda makao makuuu kama Voda nk
Ila cheti cha kifo lazima kiwepo wathibitishe kuwa amefariki
anathibitishwa na mahakamaTangu lini msimamizi wa mirathi akateuli na mahakama, ni sheria mpya au
Lakini ni kosa kutoa hiyo pesa baada ya muhusika kufariki, hivyo fuata taratibuMimi nilikuwa na namba za sili za wazazi wangu toka nilipo ingia secondary
Trust issues