fexcash
JF-Expert Member
- Jul 30, 2017
- 447
- 831
Bila shaka ni RITAMkuu umemaanisha RITA???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka ni RITAMkuu umemaanisha RITA???
Wewe unaonekana ni professional 👍🏾Kama ni account ya bank nenda bank utapewa taratibu zote
Kama ni mtandao wa simu na upo dar es salaam nenda makao makuuu kama Voda nk
Ila cheti cha kifo lazima kiwepo wathibitishe kuwa amefariki
Halafu zitaingia kwenye utaratibu wa mirath.Hivyo sidhani kama utaweza kujichukulia tuu zikawa zako peke yako.Kama ni account ya bank nenda bank utapewa taratibu zote
Kama ni mtandao wa simu na upo dar es salaam nenda makao makuuu kama Voda nk
Ila cheti cha kifo lazima kiwepo wathibitishe kuwa amefariki
Tangu lini msimamizi wa mirathi akateuli na mahakama, ni sheria mpya au
Kaenibkikao Cha ukoo ateuliwe msimamizi wa miradhi, uende mahakaman kudhibitishwa ,alaf utakua na access ya akaunti tajwa either benk ,simu,na hata hisa kama alikua nazoWakuu habari za wakati huu,
Samahani sana Nina jambo lakuwashilikisha hapa jamani. Mimi ni kijana nimefiwa na wazazi wangu wote kwa kufatana yaan alitangulia Baba ikapita wiki moja na Mama pia akafariki 😪😪😪. Dah!
Sasa suala langu so Hilo ila nilipenda ni rejee kidogo . SWALI:Je Nawezaje Kutoa Hela kwenye Akaunti ya Laini ya Marehemu Baba mzazi.
aMsimamizi wa mirathi aliyeteuliwa na mahakama ndiye mwenye mamlaka ya kukusanya na kuzigawa mali za marehemu.Hata kama ni mzazi wako kama hujateuliwa na mahakam huwezi kuzitoa, na kufany hivyo ni uhalifu kama uhalifu mwingine.
Hiyo password kuibadili nayo ni kazi kubwa vile vile.Kama laini unayo badili password then toa
Unataka kumpiga jamaa senti ya marehemu,huko PM afuate nini sasa siko na nia ovu