Nawezaje kutoa hela kwenye laini ya mzazi aliyefariki

Nawezaje kutoa hela kwenye laini ya mzazi aliyefariki

Kama ni account ya bank nenda bank utapewa taratibu zote

Kama ni mtandao wa simu na upo dar es salaam nenda makao makuuu kama Voda nk
Ila cheti cha kifo lazima kiwepo wathibitishe kuwa amefariki
Wewe unaonekana ni professional 👍🏾
 
Kama ni account ya bank nenda bank utapewa taratibu zote

Kama ni mtandao wa simu na upo dar es salaam nenda makao makuuu kama Voda nk
Ila cheti cha kifo lazima kiwepo wathibitishe kuwa amefariki
Halafu zitaingia kwenye utaratibu wa mirath.Hivyo sidhani kama utaweza kujichukulia tuu zikawa zako peke yako.
 
Wakuu habari za wakati huu,

Samahani sana Nina jambo lakuwashilikisha hapa jamani. Mimi ni kijana nimefiwa na wazazi wangu wote kwa kufatana yaan alitangulia Baba ikapita wiki moja na Mama pia akafariki 😪😪😪. Dah!

Sasa suala langu so Hilo ila nilipenda ni rejee kidogo . SWALI:Je Nawezaje Kutoa Hela kwenye Akaunti ya Laini ya Marehemu Baba mzazi.
Kaenibkikao Cha ukoo ateuliwe msimamizi wa miradhi, uende mahakaman kudhibitishwa ,alaf utakua na access ya akaunti tajwa either benk ,simu,na hata hisa kama alikua nazo
 
Mchiz magakama haiteuwi mtu ,ila inadhibitisha kikao Cha ukoo waliye mteua
Msimamizi wa mirathi aliyeteuliwa na mahakama ndiye mwenye mamlaka ya kukusanya na kuzigawa mali za marehemu.Hata kama ni mzazi wako kama hujateuliwa na mahakam huwezi kuzitoa, na kufany hivyo ni uhalifu kama uhalifu mwingine.
a
 
Ukijua namba ya Siri hakuna shida, wengine tunakopa sasa hapo, Iwe MGODI, Songesha n.k, kama madai wamdai Marehem.
 
Kama una uhakika foji kila kitu hz mahakama zetu zinapokea rushwa sna na kampuni nayo za simu zinapokea rushwa
 
Back
Top Bottom