Nawezaje kutoa hela kwenye laini ya mzazi aliyefariki

Nawezaje kutoa hela kwenye laini ya mzazi aliyefariki

Lakini ni kosa kutoa hiyo pesa baada ya muhusika kufariki, hivyo fuata taratibu
Kama nazijua passcode za mzee wangu natoa tu then naweka mezani tunagawana pasu pasu.
Huko mtandaoni Nako nasikia si salama maana Kuna michezo mingi sana pindi ukishawapa taarifa za kifo huwa wanapiga panga kiaina mzee utaambiwa Salio lililopo ni 75K au 51K wa kati mzee Kaacha tumilioni kadhaa.
 
Mambo si rahisi kama unavyodhani bwana mdogo huwezi kufanya mambo kihuni hivyo,halafu umejuaje kama kwenye line ya baba yako kuna hela?,ulienda kwa waganga wa kichawi?
Kujua kama laini ya mzee wake ina oesa ni rahisi sana! Anaenda kwa wakala anaiwekea pesa hiyo namba anaeza weka hata buku tu , huku kwemye simu ya mzee itakuja sms inayoelezea pesa iliyowekwa pamoja na salio jipya.
 
Wakeup habari za wakati huu,

Samahani sana Nina jambo lakuwashilikisha hapa jamani. Mimi ni kijana nimefiwa na wazazi wangu wote kwa kufatana yaan alitangulia Baba ikapita wiki moja na Mama pia akafariki 😪😪😪. Dah!

Sasa suala langu so Hilo ila nilipenda ni rejee kidogo . SWALI:Je Nawezaje Kutoa Hela kwenye Akaunti ya Laini ya Marehemu Baba mzazi.
Nadhani mpaka upeleke cheti kifo na kufuata utaratibu.
Labda uwapigie ujifanye ndo yeye umesahau password watakuuliza tarehe ya kuzaliwa, muamala wako wa mwisho na issue kama hizo kama ukipatia watareset password.
 
Wakeup habari za wakati huu,

Samahani sana Nina jambo lakuwashilikisha hapa jamani. Mimi ni kijana nimefiwa na wazazi wangu wote kwa kufatana yaan alitangulia Baba ikapita wiki moja na Mama pia akafariki 😪😪😪. Dah!

Sasa suala langu so Hilo ila nilipenda ni rejee kidogo . SWALI:Je Nawezaje Kutoa Hela kwenye Akaunti ya Laini ya Marehemu Baba mzazi.
Pole. Je wewe ndio uliyeteuliwa kama msimamizi wa mirathi ya mzazi wako?
 
Wakeup habari za wakati huu,

Samahani sana Nina jambo lakuwashilikisha hapa jamani. Mimi ni kijana nimefiwa na wazazi wangu wote kwa kufatana yaan alitangulia Baba ikapita wiki moja na Mama pia akafariki 😪😪😪. Dah!

Sasa suala langu so Hilo ila nilipenda ni rejee kidogo . SWALI:Je Nawezaje Kutoa Hela kwenye Akaunti ya Laini ya Marehemu Baba mzazi.
Hiyo ni miradhi huwezi kuitoa pesa kichwakichwa
 
Kama ni account ya bank nenda bank utapewa taratibu zote

Kama ni mtandao wa simu na upo dar es salaam nenda makao makuuu kama Voda nk
Ila cheti cha kifo lazima kiwepo wathibitishe kuwa amefariki
ONgezea na yeye amereuliwa na mahakama kuwa kama.mrithi/msimamiz wamali za marehemu.
so anatakiwa aanzie mahakamani aende na waeaka wa kikao cha familia cha ndugu kumchagua.msimamizi wa mali za marehemu
 
Ndo ulichokuwa unasubiri sikuzote?
hahah kwamba suala la wazazi kuondokewa kwa kufatana si jambo lililomleta hapa means hata pole mkimpa ni kama mnamchanganya yeye mpeni mbinu tu aweze kutoa maokoto hayo
 
Tangu lini msimamizi wa mirathi akateuli na mahakama, ni sheria mpya au
Hata mm layman nimeshangaa sna ila nikasema niendelee kujifunza mpk nilipokutana na ujumbe huu kuwa na ww unashangaa
 
Kujua kama laini ya mzee wake ina oesa ni rahisi sana! Anaenda kwa wakala anaiwekea pesa hiyo namba anaeza weka hata buku tu , huku kwemye simu ya mzee itakuja sms inayoelezea pesa iliyowekwa pamoja na salio jipya.
Kubabake we mshenzi nakutukana lakini umefungua kodi za kumuangamiza adui dahhh kweli wenye akili wapo big uppppp
 
Hakikisha unapata cheti cha kifo kinapatikana LITA, hakikisha unapata barua rasmi ya kupewa mirathi ya familia hii kikao kikae na ndugu zako watie saini na muhuri wa mwanasheria baada ya hapo piga copy nenda kwenye mitandao.
LITA ❌❌❌
RITA ✅✅✅
 
Hakikisha unapata cheti cha kifo kinapatikana LITA, hakikisha unapata barua rasmi ya kupewa mirathi ya familia hii kikao kikae na ndugu zako watie saini na muhuri wa mwanasheria baada ya hapo piga copy nenda kwenye mitandao.
Mkuu umemaanisha RITA???
 
Lakini ni kosa kutoa hiyo pesa baada ya muhusika kufariki, hivyo fuata taratibu
Acha ujinga wewe nchi yenyewe tanzania utapeli mpaka kwenye hiyo serikali umejaa unasema ni kosa mtu kutoa pesa kwenye laini ya mzee wake aliefariki
 
Back
Top Bottom