Nawezaje kuwa na furaha na amani ya roho?

Kitabu nimekisoma hichi.... Niwe mkweli kilinisogeza karibu na Mungu Wangu...Japo nichadini tofauti na Yangu...wamesisitiza Sana kusali..japo sikukimaliza
Vizuri sana...

Jaribu na hichi...how to use your hidden power of your subconscious mind,kizuri Sana kipo simple na kina pages 90 tu hakichoshi.

Ushauri wangu:-

1. Tafuta eneo lililotulia,muda ambao hakuna movement za vitu/watu...usiku au alfajir itakuwa vzur zaid.

2. Weka nia moyoni unataka kufanya jambo fulani.

3. Tia udhu, (tawadha kwa ajili ya kuswali).
4. Swali rakaa mbili za sunnah.

5. Leta nyiradi zako then omba chochote ulichokinuia kwa mola wako.
6. Kuwa na matumaini ktk kile ulicho kiomba.... feel as if u have already received that things.

7. Ukishamaliza fanya meditation as much as u can....
.......................

Jijengee tabia kila ukiamka asubuhi useme maneno mfano wa haya.

1. Alhamdulillah kwa kuamka salama mwenye afya,ninafuraha,nina mafanikio makubwa,ninaujasiri wa kufanya mambo yangu,nimetimiza ndoto zangu, n.k

Our greatest power is the power to choose... either happiness or sadness.
 
Huenda "upweke wa kuwa peke yako"! Mungu akasema, si vyema huyu mtu kuwa peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana nae.

Nyie endeleeni tu kuwa peke yenu, cha moto mtakiona.
 
Sahau yote anza upya, Usiwabebe watu katika moyo, achia kila kitu, Chukua ufagio fagia duku duku lolote ndani ya nafsi yako, Jisamehee wewe mwenyewe kwa mahali uliposhindwa samehe na wote waliokukosea kwa moyo mkunjufu, hakika utaona mabadiliko katika moyo.
 
Wakukukaza unae??
Au ndio unashindia dildoo??[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hapana! hata ivyo valium haina athari kama utatumia vyema na ushauri wa doctor utazingatiwa ipasavyo..
Basi ntaenda kwa doctor kuomba ushauri...Naona madoctor wakipa Stress kidogo wanajituliza na madawa...Sasa aijyi wafamasia
 
Pole sana. Hizo pia ni dalili za depression. Nishawai onja hicho kikombe.
 
This is Real
 
Umeongea kitu cha maana sana.. na kina ukweli asilimia [emoji817]
 
Nimesoma comment zote na hadi sasa bint CreditAnalyst ameshapatiwa ushauri mpana sana wa kuamua yey mwenyewe achague kipi..

Tatizo nnaloliona ni kwa bint hataki KUTUAMBIA ktk yaliyosemwa mengi kama Ushauri lipi hasa ni Tatizo lake ili asaidiwe

Wengine hapa ni Wanasaikolojia angeweka wazi angle ya tatizo lake basi tungempatia solition directly

Hauwezi msaidia mtu kama hujui chanzo cha tatizo, utabaki hisi ni hiki au kile
 
Ushauri bora
 
There is no correlation between the very first paragraphs and the last one.

I suspect something, you saying "(even this language I'm using is within my learning/improving program." And then followed by the use of wrong words in your last paragraph while you picked and used very right words in your previous paragraphs brings about suspicion.

Not to say much, but your English is much much much better than most of us.
 
hata mm nina hali kama hiyo natafta mchumba jaman nile tunda najua nitapona tu,
 
Ooh thanks for correcting me. I didn't get time to proofread the thread i wrote.
I got tired writing that's why the last paragraph looks awful.
 
Hii hali mimi pia huwa inanitokea mara kwa mara. Najikuta nakosa furaha na naona bora kufa tu kuipumzisha nafsi yangu. Nakua sioni hata sababu maalumu ya kuishi hapa Duniani. Nimeajiriwa na ninafamilia ya watoto wawili.

Nilijaribu kumshirikisha wife hili jambo wiki kama mbili zilizopita lakini alihisi kama namtania maana jibu lake lilikua "achana na mawazo hayo, unataka kukimbia majukumu!?"

Sikutaka kuendelea kumsimulia kuhusu hiyo hali ila kwa sababu ulikua ni muda wa kulala tupo kitandani tayari, nilimalizia kwa kumsihi aliweke hilo jambo akilini na anikumbuke kwenye maombi yake ya mara kwa mara.

Ee Mungu tusaidie. Utusaidie kujua nini makusudio yako ya kutuleta hapa duniani..😭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…