Nawezaje kuwa programmer wa kike?

Nawezaje kuwa programmer wa kike?

[emoji4][emoji120]
Na ili umake it kwanza nikushauri usisome ma pdf achana nayo kabisa. Pdf lina page 400 eti linafundisha libraries mbili tu za python pandas na matlib ya kazi gani wakati python ni lugha ya vilaza unaiandikiaje page 400 [emoji3][emoji3][emoji3]. Na ninakwambia hivi sababu I'm a programmer ambae ni self taught.

Nikwambie kitu programming is all about problems solving. The easier the solution the better.

Nitakupa mfano kuna jamaa tulikuwa tunajadili jinsi ya ku scrap data from various web sources kuzi clean na kuziweka kwenye database yetu. Then ku analyse hizo data na kuzitumia kutatua matatizo yanayokabili biashara za sekta flani as consultancy.

Tukabishania methods, moja ilikuwa ngumu moja simple. Yeye anataka ile ngumu sababu ni mtabe wa programming. Mimi nilikuwa nataka ile nyepesi sababu sio mtabe sana.

Tukachukua yake komaa komaa na wewe mwezi mzima nikamwambia haya time is over twende na yangu. Tukapiga wiki mkeka umekamilika. Unalala ukiamka unakutana na dashboards mpya zenye full analysis.

Jamaa mpaka leo hii hakubali tena kutumia njia ngumu kusolve issue kama kuna nyepesi.
 
We jamaa upo kumkatisha tamaa tu dada wa watu.
Hapana , Ila ndo ukweli
95% ya Self-taught huwa wanaacha

Coz hauna wa kumuuliza error au gumu linapotokea

Ila - uzuri wa Self-taught - wengi hua na project kubwa na hujifunza kwa haraka
 
Je nawezaje kuwa female programmer? Naanza kusoma vitu gani Kwanza? Kuna vitu vya kusoma kabla ya coding? Je natakiwa nijue languages zote za computer au nikijua python na java zinatosha...
Algorithm ni mhim kuanza nayo japo sikuisoma.
1. Algorithm
2. Basic CSS na HTML
3. C
4.Java(OOP) hapa utajifunza basic za java then utaenda hizo OOP(polymorphism, Inheritance, na zingine mbili)
5. Ukiopenda utaend Advanced OOP( servlet nk.)

Huo ni mtiririko ambao nilitumiwa kugundishwa programming na naona kama umenisaidia.

Nimeweka C(pure structural programming languag) na Java(pure object oriented).

Hizo unaweza kujifunza language yeyote kwa sababu muundo unafanana syntax.

Sijaiweka php, php, SqL na Xammp au wampp soma basic kidogo then usome kwa kufanya project kama kuchukua project YouTube na kuifanya kwa kuifuatisha.

Baada ya hapo tafta unataka kuwa programmer wa nini games, embedded system, mobile application, system application nk.

Then chagua language ina yofanya kwa ufanisi na urahisi unachotaka kufanyia programming mfano system labda php na laravel frame work.

Sijaiweka python kwa sababu Python rahisi na ukianzia kuisoma yenyewe kushift kwenda kwenye language kama Java ni mtihani ila ni rahisi kushift kutoka Java kwenda language yeyote.

Na kuanzia hapo uwe unasoma kwa kufanya project hata za kuigilizia YouTube utaona concept mpya na zitakusaidia kujua code za wenzako then itaanza project zako mwenyewe na kama language unayotumia ina framework basi tumia frame work kama ni php tumia Laravel kwa mfano
 
Na ili umake it kwanza nikushauri usisome ma pdf achana nayo kabisa. Pdf lina page 400 eti linafundisha libraries mbili tu za python pandas na matlib ya kazi gani wakati python ni lugha ya vilaza unaiandikiaje page 400 [emoji3][emoji3][emoji3]. Na ninakwambia hivi sababu I'm a programmer ambae ni self taught.

Nikwambie kitu programming is all about problems solving. The easier the solution the better.

Nitakupa mfano kuna jamaa tulikuwa tunajadili jinsi ya ku scrap data from various web sources kuzi clean na kuziweka kwenye database yetu. Then ku analyse hizo data na kuzitumia kutatua matatizo yanayokabili biashara za sekta flani as consultancy.

Tukabishania methods, moja ilikuwa ngumu moja simple. Yeye anataka ile ngumu sababu ni mtabe wa programming. Mimi nilikuwa nataka ile nyepesi sababu sio mtabe sana.

Tukachukua yake komaa komaa na wewe mwezi mzima nikamwambia haya time is over twende na yangu. Tukapiga wiki mkeka umekamilika. Unalala ukiamka unakutana na dashboards mpya zenye full analysis.

Jamaa mpaka leo hii hakubali tena kutumia njia ngumu kusolve issue kama kuna nyepesi.
Anhaa ...[emoji4][emoji120] Thanks . Ngoja nikomae na njia nyingine nje ya pdf.
 
Algorithm ni mhim kuanza nayo japo sikuisoma.
1. Algorithm
2. Basic CSS na HTML
3. C
4.Java(OOP) hapa utajifunza basic za java then utaenda hizo OOP(polymorphism, Inheritance, na zingine mbili)
5. Ukiopenda utaend Advanced OOP( servlet nk.)
Huo ni mtiririko ambao nilitumiwa kugundishwa programming na naona kama umenisaidia.
Nimeweka C(pure structural programming languag) na Java(pure object oriented)
Hizo unaweza kujifunza language yeyote kwa sababu muundo unafanana syntax.
Sijaiweka php, php, SqL na Xammp au wampp soma basic kidogo then usome kwa kufanya project kama kuchukua project YouTube na kuifanya kwa kuifuatisha.
Baada ya hapo tafta unataka kuwa programmer wa nini games, embedded system, mobile application, system application nk.
Then chagua language ina yofanya kwa ufanisi na urahisi unachotaka kufanyia programming mfano system labda php na laravel frame work.
Sijaiweka python kwa sababu Python rahisi na ukianzia kuisoma yenyewe kushift kwenda kwenye language kama Java ni mtihani ila ni rahisi kushift kutoka Java kwenda language yeyote.
Na kuanzia hapo uwe unasoma kwa kufanya project hata za kuigilizia YouTube utaona concept mpya na zitakusaidia kujua code za wenzako then itaanza project zako mwenyewe na kama language unayotumia ina framework basi tumia frame work kama ni php tumia Laravel kwa mfano
Anhaa asantee[emoji4][emoji120]...ilikuchukua mda gani kumaliza mafunzo?
 
Ila - uzuri wa Self-taught - wengi hua na project kubwa na hujifunza kwa haraka

Umemalizia vizuri sana hii sentence ya mwisho.

Wa kumuuliza kuna ChatGPT, kuna forums kama stack overflow, github, reddit, quora, discord, etc.

Muhimu aanze kwa usahihi tu. Mfani mi nilipoanza projects zangu nyingi nilikuwa naziweka github yaani right from scratch ile Hello world ni github ili kurahisisha kupata msaada nikikwamba nam add mtu ananiangalizia. Pia kuna wakati nilikuwa natangaza kazi freelancer.com nachukua mtu anaicheck code anarekebisha tunalipana tunaachana ($5 - $20) kutegemea complexity.
 
Umemalizia vizuri sana hii sentence ya mwisho.

Wa kumuuliza kuna ChatGPT, kuna forums kama stack overflow, github, reddit, quora, discord, etc.

Muhimu aanze kwa usahihi tu. Mfani mi nilipoanza projects zangu nyingi nilikuwa naziweka github yaani right from scratch ile Hello world ni github ili kurahisisha kupata msaada nikikwamba nam add mtu ananiangalizia. Pia kuna wakati nilikuwa natangaza kazi freelancer.com nachukua mtu anaicheck code anarekebisha tunalipana tunaachana ($5 - $20) kutegemea complexity.
Anhaaa . Ulikuwa unachukua tutorial YouTube unapoanza kujifunza au means gani nyingine? Pia kama ulichukua tutorial unaweza recommend za nani?
 
aah nitajie starter pack tutorials Nzuri na pdf pia roadmap yanku flow
Kwa kukusaidia Google - ujue ipi inakufaa

Torrent - kwa baadhi ya PDF zipo na tutorial nyingi za udemy ,
Na YouTube - free tutorial na errors
 
Anhaa asantee
emoji4.png
emoji120.png
...ilikuchukua mda gani kumaliza mafunzo?
Mkuu kama uko serious na uko focused na unapassion miezi mitatu unaweza ukawa umemaliza huo mtiririko kulingana na wepesi wa kichwa chako.

Mhimu ujue unatakiwa usome vile vya msingi tu vingine utavijua ukiwa unafanya project site kama tutorial point, Java point na w3c school nk. vinaweza kupa muongozo wa kusoma.

Kanuni ni master the law master the game mfano unataka ujue artificial intelligence (deep learning, machine learning, data science or mining) jua Statistics, calculus, Probability, linear Algebra.

Jua ni nini unatakiwa ukijue afu tafta material sahihi.

Na hapo ni mwanzo tumkuu ukijua hivyo sio ndio umekuwa programmer inabidi upambane zaidi.
Binafsi nimesoma chuo hivyo vyote
 
Anhaaa . Ulikuwa unachukua tutorial YouTube unapoanza kujifunza au means gani nyingine? Pia kama ulichukua tutorial unaweza recommend za nani?
Mostly YouTube yes na w3schools. Kurecommend itategemea career ulochagua. Mfano kama unataka kuwa mobile applications developer then kuna tutorials za Java, Kotlin, Swift, c, c++, js, etc na unakuta mwenye tutorials nzuri za java hana za swift na kadhalika.

Kama unataka kuwa data scientist then kuna tutorials za python, r, sql, julia, matlab, etc.

Ngumu sana kuwa na one channel yenye tutorials nzuri za kila language na kila career.

Nikupe mfano C++ imetumika kutengeneza adobe systems kama photoshop, illustrator, etc. Hadi microsoft windows yenyewe kwa asilimia kubwa imetengenezwa kutumia C++.

Lakini pia hiyo hiyo C++ imetumika kutengeneza financial softwares nyingi including QuickBooks, etc.

Sasa huwezi chukua mafunzo ya kuunda Operating System kwa kutumia C++ ukamfundisha mtu anaetaka kutengeneza Financial Software labda kama unataka awe engineer sawa ila kama unamfundisha ki commercial zaidi then unampotezea muda.
 
Mkuu kama uko serious na uko focused na unapassion miezi mitatu unaweza ukawa umemaliza huo mtiririko kulingana na wepesi wa kichwa chako.
Mhimu ujue unatakiwa usome vile vya msingi tu vingine utavijua ukiwa unafanya project site kama tutorial point, Java point na w3c school nk. vinaweza kupa muongozo wa kusoma.
Kanuni ni master the law master the game mfano unataka ujue artificial intelligence (deep learning, machine learning, data science or mining) jua Statistics, calculus, Probability, linear Algebra.
Jua ni nini unatakiwa ukijue afu tafta material sahihi.
Na hapo ni mwanzo tumkuu ukijua hivyo sio ndio umekuwa programmer inabidi upambane zaidi.
Binafsi nimesoma chuo hivyo vyote
[emoji23]anhaa... Hesabu hazinisumbui Sana. Nadhani hapa pataniwekea urahisi. [emoji120]
 
Mostly YouTube yes na w3schools. Kurecommend itategemea career ulochagua. Mfano kama unataka kuwa mobile applications developer then kuna tutorials za Java, Kotlin, Swift, c, c++, js, etc na unakuta mwenye tutorials nzuri za java hana za swift na kadhalika.

Kama unataka kuwa data scientist then kuna tutorials za python, r, sql, julia, matlab, etc.

Ngumu sana kuwa na one channel yenye tutorials nzuri za kila language na kila career.

Nikupe mfano C++ imetumika kutengeneza adobe systems kama photoshop, illustrator, etc. Hadi microsoft windows yenyewe kwa asilimia kubwa imetengenezwa kutumia C++.

Lakini pia hiyo hiyo C++ imetumika kutengeneza financial softwares nyingi including QuickBooks, etc.

Sasa huwezi chukua mafunzo ya kuunda Operating System kwa kutumia C++ ukamfundisha mtu anaetaka kutengeneza Financial Software labda kama unataka awe engineer sawa ila kama unamfundisha ki commercial zaidi then unampotezea muda.
[emoji4] Ntalizingatia hili [emoji120] asante
 
Kwanza tujue umrii ili umake msaada kwa kundi unalorandana nalo

Karibu anza na web development mpk ukimalza kwenye vitu vingine utateleza
 
@pimk
Anza na kuchagua the right career kwenye programming tena the right career kwa kuzingatia kuwa iwe commercial kwa bongo.

Mimi nilichagua Artificial Intelligence na humo humo ndani ya AI nikajikita kwenye Data Science manake hata hiyo AI ni mziki wa miaka mitatu kuiva kila kitu ila kama unasoma for a purpose then you pick and proceed.

Actually kwa beginner nategemea swali lake kubwa liwe career gani itanifaa kwenye programming. Hili swali gumu sana usilichukulie poa. Watu wamesoma soma tu na hawana ajira sababu ya kutopata jibu sahihi la the right career.
 
Back
Top Bottom