Nawezaje kuwa programmer wa kike?

Nawezaje kuwa programmer wa kike?

Huu uzi una comments nyingi za ku care, nahisi kwa sababu ni "Female" programmer

Sasa niweke utani pembeni, hakuna "Female programmer", just programmer, naona upo interested na programming
Kwa jinsi ninavyo iona trends, focus kwenye area hii ya Natural Language Processing (NLP)

Hakikisha unafahamu basics concepts za Artificial intelligence na Machine Learning kwa ufupi then nenda moja kwa moja kwenye NLP

Kwenye NLP, focus zaidi kwenye Transformer Neural Network, na uanze ku expand knowledge yako kwanzia hapo, ndani ya miaka 4 au 5 ijayo utakua hot kwenye market cause AI Native Apps haswa language models zitakua part ya services nyingi online

Language Pekee unayohitaji kujua sasa ni Python, then itafatiwa na Machine Learning library na framework kama TensorFlow, Keras na nyingine utakazo kutana nazo

Point ni kwamba AI ni new big thing kwa sasa, kuna app na web devs wengi lakini AI devs haswa wa NLP kwetu ni kama hakuna wakati kuna potential kubwa sana kwenye eneo hilo, kubwa sana haswa kwa hapa
 
Huu uzi una comments nyingi za ku care, nahisi kwa sababu ni "Female" programmer

Sasa niweke utani pembeni, hakuna "Female programmer", just programmer, naona upo interested na programming
Kwa jinsi ninavyo iona trends, focus kwenye area hii ya Natural Language Processing (NLP)

Hakikisha unafahamu basics concepts za Artificial intelligence na Machine Learning kwa ufupi then nenda moja kwa moja kwenye NLP

Kwenye NLP, focus zaidi kwenye Transformer Neural Network, na uanze ku expand knowledge yako kwanzia hapo, ndani ya miaka 4 au 5 ijayo utakua hot kwenye market cause AI Native Apps haswa language models zitakua part ya services nyingi online

Language Pekee unayohitaji kujua sasa ni Python, then itafatiwa na Machine Learning library na framework kama TensorFlow, Keras na nyingine utakazo kutana nazo

Point ni kwamba AI ni new big thing kwa sasa, kuna app na web devs wengi lakini AI devs haswa wa NLP kwetu ni kama hakuna wakati kuna potential kubwa sana kwenye eneo hilo, kubwa sana haswa kwa hapa
The great and the last advice end here.


May be go here, wewe dada wewe!



And this one isome hii article

 
Je, nawezaje kuwa female programmer? Naanza kusoma vitu gani Kwanza? Kuna vitu vya kusoma kabla ya coding? Je natakiwa nijue languages zote za computer au nikijua python na java zinatosha?

Zingatia: Sio kwenda chuoni au course centres Fulani, naongelea self-taught. Kujifunza mwenyewe maana napenda kuwa programmer lakini sijasomea mambo ya computer, nipo Nasoma vitu vingine lakini programming ndio hobby.
Umesha pata utajifunza wapi mimi ni mwalimu wa java 0682329852 tuwasiliane nilijifundisha mwenyewe naweza kupa mwongozo
 
Back
Top Bottom