Nawezaje kuwa programmer wa kike?

Nawezaje kuwa programmer wa kike?

@pimk
Anza na kuchagua the right career kwenye programming tena the right career kwa kuzingatia kuwa iwe commercial kwa bongo.

Mimi nilichagua Artificial Intelligence na humo humo ndani ya AI nikajikita kwenye Data Science manake hata hiyo AI ni mziki wa miaka mitatu kuiva kila kitu ila kama unasoma for a purpose then you pick and proceed.

Actually kwa beginner nategemea swali lake kubwa liwe career gani itanifaa kwenye programming. Hili swali gumu sana usilichukulie poa. Watu wamesoma soma tu na hawana ajira sababu ya kutopata jibu sahihi la the right career.
Mhimu ujue una target kufanya nini na hiyo programming kutengeneza startup yako, soko la nje au ndani nk.
Na hakuna kitu kigumu kama kuchagua career kama ulivyosema kuna wakati unapenda aina flan ya programming lakini soko lake unaona kama gumu kulifikia ni mtihani kwa kweli.
 
@pimk
Anza na kuchagua the right career kwenye programming tena the right career kwa kuzingatia kuwa iwe commercial kwa bongo.

Mimi nilichagua Artificial Intelligence na humo humo ndani ya AI nikajikita kwenye Data Science manake hata hiyo AI ni mziki wa miaka mitatu kuiva kila kitu ila kama unasoma for a purpose then you pick and proceed.

Actually kwa beginner nategemea swali lake kubwa liwe career gani itanifaa kwenye programming. Hili swali gumu sana usilichukulie poa. Watu wamesoma soma tu na hawana ajira sababu ya kutopata jibu sahihi la the right career.
[emoji4] Thanks naomba nilirudishe hili swali pia?
Nilikua nastrugle na selection....unaweza ukanipa advice. Basically kwenye soft ware development...Kati ya web developer/ Mobile app developer, games developer .

Kwa interest napenda Sana video games na ilikua ndoto nisiishie kuwa end user nije kudevelop game langu pia.. lakini kwenye ways za ajira is it promising? Kama haipo promising unanishauri nichukue carrier gani nyingine ndio nianze kiupambania? Ndani ya programming.
 
Mhimu ujue una target kufanya nini na hiyo programming kutengeneza startup yako, soko la nje au ndani nk.
Na hakuna kitu kigumu kama kuchagua career kama ulivyosema kuna wakati unapenda aina flan ya programming lakini soko lake unaona kama gumu kulifikia ni mtihani kwa kweli.
Kwa upande wa soko natamani kitu nitafanya kitaifa na kimataifa....bila limitations.

Ni mfano kama E-sports players ambao pia mainly ni programmers. Sio kama ndio nimechagua kuingia E sport moja Kwa moja. ni mfano tuu vile.... Mtu anweza kuswitch mda wowote akafanya kazi ndani na nje with exactly same knowledge.
 
Kwa upande wa soko natamani kitu nitafanya kitaifa na kimataifa....bila limitations.

Ni mfano kama E-sports players ambao pia mainly ni programmers. Sio kama ndio nimechagua kuingia E sport moja Kwa moja. ni mfano tuu vile.... Mtu anweza kuswitch mda wowote akafanya kazi ndani na nje with exactly same knowledge.
Ni vizuri mkuu tambua tu programming ni art and science ukiwagusa watu na bidhaa yako ikawa bora watakulipa tu.
Kuna maprogrammer wengi wazuri lakini wana struggle . kuwa best programmer ni kitu kimoja na kutengeneza relevant product ni kitu kingine
 
Kwa upande wa soko natamani kitu nitafanya kitaifa na kimataifa....bila limitations.

Ni mfano kama E-sports players ambao pia mainly ni programmers. Sio kama ndio nimechagua kuingia E sport moja Kwa moja. ni mfano tuu vile.... Mtu anweza kuswitch mda wowote akafanya kazi ndani na nje with exactly same knowledge.
Mhimu fanya research ya hiyo field uijue vizuri
 
[emoji4] Basically kwenye soft ware development...Kati ya web developer/ Mobile app developer, games developer.

Unatakiwa kusoma trend ya IT inaelekea wapi.

Unatakiwa kujua kuwa kuijua front end is a by the way kwa programmer na lazima ujifunze pole pole. Nina maana kitu kama a website where your software can interact with users ni kitu ambacho ni basic kwa kila programmer.

Hizo ulizotaja hapo ni vitu ambavyo utavijua automatically mana utavisoma kwenye ile by the way. Ila huwezi sema my career is a game developer ama web developer ama mobile app developer. To me a web or a mobile app is where you present your software to the front end users.

Mfano to me a website kama sofascore.com ni data science type of website cause iko to sophisticated data analytics engine.

Hata games nyingi nilizowahi cheza nikicheki naona kabisa in the backend kuna data science imejificha without which zile games zingekuwa za hovyo kabisa.
 
Vile wanawake wa JF wanapita mbali na kuuchungulia huu uzi kwa mbali bila ya kuchangia chochote👇😁😁😁
downloadfile-6.jpg
 
Umri Kwa sasa Nina Miaka 22. Nimechelewa Sana kuanza ? [emoji849]
Siku katishi tamaa ila kwa hiyo age ulosema, nahisi uko Chuo unasoma course ambayo hukuipenda, hapo ukiwa still chuo kufocus ni rahisi, ukija mtaani stori itabadilika,

1- Umri unaenda hujaolewa (Hili ndo kubwa (Kama huna mpango wa kuolewa bahati yako😁😁😁)).

1.5- Mara umepigwa mimba na wahuni.(Siombei hivo ila probability ni hamsini hamsini.

2-Swala zima la Pesa. (Hili halikwepeki, labda kwenu muwe mboga 9).

Mpaka hapo stori za programmer girl zimeishia hapo.
 
Siku katishi tamaa ila kwa hiyo age ulosema, nahisi uko Chuo unasoma course ambayo hukuipenda, hapo ukiwa still chuo kufocus ni rahisi, ukija mtaani stori itabadilika,

1- Umri unaenda hujaolewa (Hili ndo kubwa (Kama huna mpango wa kuolewa bahati yako😁😁😁)).

1.5- Mara umepigwa mimba na wahuni.(Siombei hivo ila probability ni hamsini hamsini.

2-Swala zima la Pesa. (Hili halikwepeki, labda kwenu muwe mboga 9).

Mpaka hapo stori za programmer girl zimeishia hapo.
Kibongo bongo programming inabidi uwe na high emotional intelligence.
Unamaliza chuo unakosa hata hela ya vocha unaanza kuona real life mtaani linataka pesa tu na programming haikulipi kwa siku moja au mbili na bado inahitaji resources ili kuendelea kuwa programmer kwa familia zetu ni mtihani unless ulijiandaa vizuri
 
Siku katishi tamaa ila kwa hiyo age ulosema, nahisi uko Chuo unasoma course ambayo hukuipenda, hapo ukiwa still chuo kufocus ni rahisi, ukija mtaani stori itabadilika,

1- Umri unaenda hujaolewa (Hili ndo kubwa (Kama huna mpango wa kuolewa bahati yako[emoji16][emoji16][emoji16])).

1.5- Mara umepigwa mimba na wahuni.(Siombei hivo ila probability ni hamsini hamsini.

2-Swala zima la Pesa. (Hili halikwepeki, labda kwenu muwe mboga 9).

Mpaka hapo stori za programmer girl zimeishia hapo.
[emoji23][emoji23][emoji23]Ni kweli lakini sio kweli pia...course nayosoma ipo very general inaingia basically sehemu kama zote .. na nilichangua hii sababu nilikua bado sijajipata nataka nini .....

Pia swala la kuolewa bado Sana... career comes first. No man wants a broke lady right[emoji23] so dreams comes first. ...[emoji23]

Swala la pesa ndio nkawaza kwamba nikimaliza mwakani hiki nachosoma Wenda nikipata kazi nitumie mshahara kubost kuendeleza programming ambayo tayari Nina foundation Mpaka mda huo...maana technology inakua kila siku after 3 years hata specials zinaweza geuka basic.

Haya ni mawazo yangu am not sure how much am right though [emoji120][emoji4]
 
Kibongo bongo programming inabidi uwe na high emotional intelligence.
Unamaliza chuo unakosa hata hela ya vocha unaanza kuona real life mtaani linataka pesa tu na programming haikulipi kwa siku moja au mbili na bado inahitaji resources ili kuendelea kuwa programmer kwa familia zetu ni mtihani unless ulijiandaa vizuri
Lakini pia niliambiwa ukimaster some basics...ni rahisi hata kupata part time jobs..
Pana ukweli hapa au ndio Mpaka ufike high level programming
 
Mkuu, pia jaribu kuangalia unataka kufanya programming kwenye field gani, mfano Web development, mobile applications, Machine Learning / data science, desktop applications developemt au hardware programming.

Baada ya hapo katika hiyo field angalia lugha ambayo ina trend kwenye kupata support na kazi, anza kujifunza polepole.

Kwenye kujifunza nzuri ni kucheki tutorials za video hasa za Udemy na Youtube.

Tutorial za Udemy ni nzuri maana ukimaliza unapata cheti ambacho utaweza kukiweka kwenye resume yako.

Jiunge na Linkedin uweze kuungana na professionals mbalimbali, ambapo pia unaweza kushare ujuzi wako na unaweza kupata kazi pia.

Kingine kikubwa zaidi ni jenga portfolio yako, fanya projects nyingi ziweke Github au uzi deploy kabisa, na share Linkedin pia.

Kama haujaanza kabisa kujifunza programming language yeyote, napendekeza uanze na Python maana ni rahisi na ina uwanja mpana.
 
Lakini pia niliambiwa ukimaster some basics...ni rahisi hata kupata part time jobs..
Pana ukweli hapa au ndio Mpaka ufike high level programming
Kuna too much exaggeration kwenye hii industry kwa bongo kampuni za software kibongo bongo bado zina jitafta kwa sababu soko bado changa na haziaminiki sana.
Kupata unaweza kupata lakini malipo pia sio mazuri, kwa wenzetu ni kada ambayo ni undisputed.
Ila kama unaweza anzisha kampuni yako au startup yako unaweza faidi japo pia kodi ni changomoto na vijana ni waoga sana kujitegemea.
In short challenge zipo ukizishinda unaweza kufanikiwa.
Ukifuatikia story ya Elon Musk utaiona challenge sio bongo tu hata ulaya japo zinatofautiana
 
Lakini pia niliambiwa ukimaster some basics...ni rahisi hata kupata part time jobs..
Pana ukweli hapa au ndio Mpaka ufike high level programming
Soma programming ki commercial zaidi hauta jutia. Programming gurus ni watu wanafanya hip hop. Commercial programmers ni watu wanafanya bongo fleva. Choose wisely.
 
Mkuu, pia jaribu kuangalia unataka kufanya programming kwenye field gani, mfano Web development, mobile applications, Machine Learning / data science, desktop applications developemt au hardware programming.

Baada ya hapo katika hiyo field angalia lugha ambayo ina trend kwenye kupata support na kazi, anza kujifunza polepole.

Kwenye kujifunza nzuri ni kucheki tutorials za video hasa za Udemy na Youtube.

Tutorial za Udemy ni nzuri maana ukimaliza unapata cheti ambacho utaweza kukiweka kwenye resume yako.

Jiunge na Linkedin uweze kuungana na professionals mbalimbali, ambapo pia unaweza kushare ujuzi wako na unaweza kupata kazi pia.

Kingine kikubwa zaidi ni jenga portfolio yako, fanya projects nyingi ziweke Github au uzi deploy kabisa, na share Linkedin pia.

Kama haujaanza kabisa kujifunza programming language yeyote, napendekeza uanze na Python maana ni rahisi na ina uwanja mpana.
Thank you [emoji4][emoji120]
 
Kuna too much exaggeration kwenye hii industry kwa bongo kampuni za software kibongo bongo bado zina jitafta kwa sababu soko bado changa na haziaminiki sana.
Kupata unaweza kupata lakini malipo pia sio mazuri, kwa wenzetu ni kada ambayo ni undisputed.
Ila kama unaweza anzisha kampuni yako au startup yako unaweza faidi japo pia kodi ni changomoto na vijana ni waoga sana kujitegemea.
In short challenge zipo ukizishinda unaweza kufanikiwa.
Ukifuatikia story ya Elon Musk utaiona challenge sio bongo tu hata ulaya japo zinatofautiana
[emoji120] Hivi inahitaji watu kuanzia wangapi kufanya startup?
 
Soma programming ki commercial zaidi hauta jutia. Programming gurus ni watu wanafanya hip hop. Commercial programmers ni watu wanafanya bongo fleva. Choose wisely.
Sawa [emoji23] thanks [emoji120]
 
Female programmer tupeane namba tuanze kujifunza wote maana nataka nianze JAVA naona uvivu, ngumu, ugumu Kama vipi unda kakundi tuanze nikijua kutengeneza App then Nina pesa nakaa geto tu na launch app zangu kutegemea developer daah
Ni pm nikufundishee
 
Back
Top Bottom