Nay wa Mitego aeleza kwanini alinunua sanamu ya shetani kwa shilingi milioni 5

Nay wa Mitego aeleza kwanini alinunua sanamu ya shetani kwa shilingi milioni 5

Kama ni mfuasi wa shetani sema tu hakuna shida, yaani unaposema unaipendatu kuliko vitu vyote ndani kwako ina maanisha kama wewe ni mkristo au msilam unaipenda hiyo sanamu zaidi ya maandiko matakatifu.
Jinga kabisa hili

Aseme Mara ngapi mkuu... Kuna moja kati ya nyimbo zake ashasemaga ye ni mfuasi wa shetani,kama wimbo Huo unaitwa,Nasema nao.

Tufanye kumuwazia mema na kumuombea pengine ataacha kukipenda hicho kinyago cha shetani na kupenda vitabu na maandiko ya mungu.inawezekana!
 
Angalia signs alizotumia kwny nasema nao,angalia wmbo wte wa mr nay af tafta cd yyt inayoongelea wasanii na freemason utajua nnachomean
Aiseee! Kumbe unaamini propaganda za kijinga vile? Kile ni kitu ambacho yeyote anaweza kufanya.Mbona huku JF kuna watu wana avatar za ishara za Freemason unataka kusema nao ni Freemason kwa kigezo cha kutumia nembo zao?
 
Aiseee! Kumbe unaamini propaganda za kijinga vile? Kile ni kitu ambacho yeyote anaweza kufanya.Mbona huku JF kuna watu wana avatar za ishara za Freemason unataka kusema nao ni Freemason kwa kigezo cha kutumia nembo zao?

Mbna unamtetea sana ni binam ako nn
 
Kuna uhusiano wowote wa hiyo sanamu na ibada tusiyoifahamu/isiyowazi?
 
Aiseee! Kumbe unaamini propaganda za kijinga vile? Kile ni kitu ambacho yeyote anaweza kufanya.Mbona huku JF kuna watu wana avatar za ishara za Freemason unataka kusema nao ni Freemason kwa kigezo cha kutumia nembo zao?

We una uhakika gani kama si mfuasi na nani alishajitokeza akaleta na vithibitisho? Nisaidiwe tafadhali
 
Freemason hyo hakuna jngne kwnn acnnue sanam ya yesu au ya k2 chcht mpk annue ya shetan tena gharama kubwa hvo...jaman e mkubal au mkatae nay ni freemason kama unabisha jiulze kwnn anapendaga kusema nine double six yan 966 hyo 9 ukiigeuza chin unapata 6 so inakua 666 au angalia ule wmbo wa mr nay utapata majb
Nani alikuambia YESU ni sanamu?

YESU yupo hai na kila mahali haitaji kikaragosi au kinyago chochote cha kumfananisha na yeye sababu yeye sio kinyago Wala kikaragosi yupo hai na anaishi hata sasa.
 
Na kuna wajinga wanaamini eti ni kweli na yeye ni Freemason. Huyu anataka kutushika tu akili zetu ila atawapata hao hao wajinga wenzie wa manzese huko.
Kwani kuwa Freemason ndio ujanja au ndio kama prestige au rank fulani kuubwa sana ambayo inakupa Utofauti wa maana sana na watu wengine mbona ni jambo la kipumbavu tu wa kawaida yeye ndio anaona ni fahari na uniqueness while ni creepy cheaply lunatic.
 
sanamu%2Bla%2Bshetani.jpg

Nay wa Mitego ni mtu wa maamuzi na mapenzi tofauti na wengine. Ndio maana ukiingia ndani kwake utakutana na sanamu isiyo ya kawaida – ni sanamu ya shetani!

Rapper huyo ameiambia Bongo5 kuwa sanamu hiyo ni moja ya vitu anavyovipenda zaidi ndani mwake.

“Mimi naipenda na niliinunua hela nyingi tu, ni dola elfu tatu,” amesema Nay.

“Nilitokea tu kuipenda, ni moja kati ya vitu muhimu ninavyovipenda ndani ya nyumba yangu. Kuna sehemu niliinunua sio Tanzania. “Mimi nilitokea kukipenda yaani naipenda sana tena sana na hata ukiingia ndani kwangu utaanza kuiona hiyo,” amesisitiza rapper huyo

Hamna cha ufuasi wa shetan wala nn mbwembwe tuu Freemason kwa maisha gani??
 
Kwani kuwa Freemason ndio ujanja au ndio kama prestige au rank fulani kuubwa sana ambayo inakupa Utofauti wa maana sana na watu wengine mbona ni jambo la kipumbavu tu wa kawaida yeye ndio anaona ni fahari na uniqueness while ni creepy cheaply lunatic.

Hahahaaa,basi kuna wajinga wanaamini na kumuona wa maana na mjanja sana.
 
Back
Top Bottom