Nay wa Mitego aeleza kwanini alinunua sanamu ya shetani kwa shilingi milioni 5

Nay wa Mitego aeleza kwanini alinunua sanamu ya shetani kwa shilingi milioni 5

Nani alikuambia YESU ni sanamu?

YESU yupo hai na kila mahali haitaji kikaragosi au kinyago chochote cha kumfananisha na yeye sababu yeye sio kinyago Wala kikaragosi yupo hai na anaishi hata sasa.

Cjasema YESU ni sanam ila nmesema kua kwnn acweke sanam ya YESU nia yang ni kwamba aoneshe kua YESU yupo jana,leo na hata milele na co shetan anaemuabudu
 
Mkuu hizo ni propaganda tu!hao wanaouza hizo CD nao wanatafuta kula mjini hapa!
Hapana Freemasonry ipo usikatae sababu kuna maelfu ya vitabu duniani yanaongelea Freemasonry na hata Wikipedia ipo na inaeleza kwa kina juu ya hiki chama kama wewe sio mvivu wa kusoma download e-books na websites zinazoelezea Freemasonry utaelewa usipinge usilolifanyia uchunguzi.
Hata kwenye jumba la makumbusho la Zanzibar kuna vitu vya Freemasonry na history yake East Africa katafute.
 
Neema anapenda sana kuwapa watu imagination, wakati akifanyacho kinamprofile as extremely un-intelligent.. Kwa wale wenye mawazo chanya !

Kyala atutule !
 
Hapana Freemasonry ipo usikatae sababu kuna maelfu ya vitabu duniani yanaongelea Freemasonry na hata Wikipedia ipo na inaeleza kwa kina juu ya hiki chama kama wewe sio mvivu wa kusoma download e-books na websites zinazoelezea Freemasonry utaelewa usipinge usilolifanyia uchunguzi.
Hata kwenye jumba la makumbusho la Zanzibar kuna vitu vya Freemasonry na history yake East Africa katafute.

Mkuu natambua uwepo wa hiyo jumuiya...nakataa vitu vinavyozungumziwa humo kwenye hizo CD kwani ni vyakuokoteza kwenye magazeti ya udaku!
 
Hajaona aibu kusema hivyo...kuna kinachompa hicho kisanamu.

Ngoja kivunjike tuitasikia
 
Shetani ni mwanamme?
Alafu shetani ni mweusi? Kwanini unafikiri shetani ni mweusi? Alafua ameinama?
 
Freemason hyo hakuna jngne kwnn acnnue sanam ya yesu au ya k2 chcht mpk annue ya shetan tena gharama kubwa hvo...jaman e mkubal au mkatae nay ni freemason kama unabisha jiulze kwnn anapendaga kusema nine double six yan 966 hyo 9 ukiigeuza chin unapata 6 so inakua 666 au angalia ule wmbo wa mr nay utapata majb

Sanam ya Yesu?
Sasa ataipata wapi sanam ya Yesu wakati hamna alowahi kumwona yesu kwa macho kati yetu? Zile sanam za wazungu.
 
Aseme Mara ngapi mkuu... Kuna moja kati ya nyimbo zake ashasemaga ye ni mfuasi wa shetani,kama wimbo Huo unaitwa,Nasema nao.

Tufanye kumuwazia mema na kumuombea pengine ataacha kukipenda hicho kinyago cha shetani na kupenda vitabu na maandiko ya mungu.inawezekana!

Anafanya vile kuweka kifikra.
Sio lazima kila mshirikina awe freemasson
Uchawi wa bagamoyo wa kupewaajin ya kukutajirisha kwa kafara na matunguli mnaita freemasson.
 
Cjasema YESU ni sanam ila nmesema kua kwnn acweke sanam ya YESU nia yang ni kwamba aoneshe kua YESU yupo jana,leo na hata milele na co shetan anaemuabudu

Sanam ya Yesu?
Sasa sanamu la Yesu ni la nini? Sanam ni sanam tu.Tuache kumdhalilisha huyu Yesu jamani.
 
Na nyie mlivyo wapumbavu mkaamini kuwa hiyo ni sanamu ya shetani

Mimi ndo nmeshangaa sana? Shetani ndo yuko vile kumbe? Mweusi tii afu kainama kama anayeanza kuhesabia kutaka kupaa.
Cheap minds dont reason.
 
Back
Top Bottom